Nilifanya mapenzi na mwanamke,ila kwenye process sijui kilichotoka ni sperm kidogo au semen. Wakati huo nikiwa chini mwanamke juu lakn baadaye sana nika P. Je hata kama zilitoka kidogo ni kwa...
Baby, you're the best
Sikuwa natafuta mpenzi wa kuwa naye, lakini nikajikuta niko mikononi mwako.
Nilijaribu kùjificha nisimulikwe na mwangaza wa penzi lako, lakini ni kama mbingu iliyoko juu...
Baada ya kutumia fomula hii kwa muda sasa nimeona sio vibaya kugawana maarifa. Fomula hii nilipata kuwapa baadhi ya marafiki zangu kama 13 hivi na wote kwa pamoja walitoa majibu yenye kufurahisha...
Zaasubuhi wanaJamii folams
Ni miezi 5 tangu nimefahamiana na huyu binti. Ni binti mwerevu,msomi(degree) na mchapakazi.
Tuliktana pub alikua anahudumu. At first sight tu macho yetu yalipogongana...
Habari za usiku ni mbaya!
Hivi mabaharia wa humu, kuunganisha bao 2 kunategemeana na nini? Function of what?
Na je vipi kutoa shahawa nzito sana?
Hoja ni hiyo aya kati kati.
Karibuni tujadili
Wakuu bila kuzunguka mbuyu wengi wetu tuna ma ex kabla ya kumpata yule ulieamua kuanzisha nae familia yani mke/mume, na kama hujaoa/olewa hii ni yako pia... hatuwatengi ma bachelor na single Madam...
Ndugu wanajamvi. Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Nimeamua kuacha na life hili la kisera na la kujiamulia nitakavyo na kuanza life litakalonifanya ku surrender na kuji limi au kulimitiwa...
Wakuu,
Anasema Mtume Muhammad (S.A.W) ya kwamba mwanamke anaolewa kwa vitu vinne;
1. Mali zake
2. Ukoo/familia aliyotokea
3. Dini yake
4. Uzuri wake
Kwa kifupi:
Mali zake
Mwanamke, yeye kama...
Kwa kweli poleni na majukumu..
Nataka ni muoe huyu mwanamke ila shida yake anaomba sana hela jamani, yani analia kila saa njaa mara maisha magumu
Najaribu kumzungusha kwa kila namna ili ni mpime...
Habari ya muda ndugu zangu,
Baada ya ndoto zangu za kuoa mwalimu kugonga mwamba sasa nina mpango wa kuoa mwanamke ambae ni nesi au daktari. Naombeni wenye uzoefu na wanawake / wenye wake ambao...
Wakuu habarini, Kuna kitu kipo ndani yangu, lila nikitaka kuoa moyo wangu unatamani sana kuoa binti daktari, ila mabinti wengi ninaokutana nao ni walimu, waliosoma biashara na wajasiliamali wadogo...
Mambo zenu vichaa wetu wanaume jf.
Sasa swali ni hili katika kupewa mechi za kirafiki maana wengi humu ni hamna hela ???
Mnapoonewa huruma ni wapi mnaenjoy mwanadada mwenye umri mdogo au...
Wasalaam JF,
Leo nataka niwafungue macho wanaume especially katika muktadha wa mapenzi, mahusiano na ndoa.
Mwanamke hana aibu kusema uongo kuliko ukweli na hawataki kukiri makosa kirahisi.
The...
Wakuuu
Mwanamke unamnunulia laptop alafu anaenda kuliwa na anayempigiaga window, unamnunulia ndinga anaenda kuliwa na fundi wake wa gereji, unamfungulia duka analiwa na bodaboda wake yaani...
Ukisikia mtu anapatwa na msongo wa mawazo ndiyo hapa Sasa. Nimesota Sana kumpata mtu sahihi (wife material).
Hivi karibuni nimekata shauri kumchumbia mdada fulani baada ya kuwa na vigezo karibu...
Shemeji yang nnaemzungumzia ndie yule niliwai mzungumzia siku moja humu jf kwenye Huu Uzi.[emoji116]
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/41201873
Ni kwamba wiki mbili zilizopita alikuja...
Hellow
Guys nina girl friend nampenda sana sana hivi juzi nilimwambia naomba meeting aje na rafiki yake home
Akasema no hawezi kuja labda mimi ndio niende kwake nikakubali kufika pale nakutana...
Jana shule zimefunguliwa dogo uniform hazimtoshi, mekua guafla anazidi kurefuka mno.
Likizo hii vibinti vya umri wake vilikuwa havikatiki nyumbani, tubinti tuzuri kweli, siku hizi inakuwaje...
Habari wana jukwaa wa JF na heri ya sikukuu ya mapinduzi Nawasalimu nikitokea hapa Ontario Canada mtaa naoishi sitautaja kwasababu za kiusalama.. Leo kabla ya kuamka nikasema hebu nishiriki nanyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.