Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Heri ya mwaka mpya. Nina mchepuko wangu single mother now ana kama miaka 23 hivi Huyu binti nimeanza nae kitambo na tunakua na migogoro ya hapa na pale ila bado alikua ananipa papuchi. Anajua...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Anzani Kwa kutoa wosia Kwa chibaba wangu mpya .
3 Reactions
60 Replies
3K Views
Mwaka 2018 nilipendana na binti fulani kwenye fb binti huyo alikuwa hanijui na mimi si mjui kabisa si mnajua mapenzi ya fb na tulikuwa tunaishi nchi tofauti yeye TZ mimi nipo katika nchi za...
2 Reactions
15 Replies
894 Views
Jana siku yangu nzima haikwenda sawa, nilipotoka nikapitia bar, nikanywa bia kadhaa ili kutuliza kichwa mpaka nafika home ni saa 5 usiku. Frustration za Hapa na pale kichwani nikajikuta nalala saa...
11 Reactions
105 Replies
7K Views
Wasalaam JF Katika harakati zangu za ubatizo wa kimahusiano, utamaduni wangu hua navaa low profile yaani mithili ya mtu asiejiweza kipesa, kupitia hili mahusiano yangu mengi yanakufa chap kwa...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Kuingia Kwenye ndoa ni ndoto ya matamanio ya mwanamke ambayo huanza kujijenga tangu akiwa msichana mdogo sana. Na ndoa ndiyo hubadili maisha na mwenendo wa matukio yote yaliyotokea nyuma yawe...
3 Reactions
5 Replies
671 Views
Nadhani wote jioni tukutane kwenye ukumbi wa rose garden hapa majengo Moshi mjini tuna kikao chetu sisi kama team kataa ndoa. Huyu kaka angu katufanyia usaliti mkubwa sana, sote tumekubaliana...
7 Reactions
52 Replies
3K Views
Watu wengi wako kwenye ndoa na watu ambao si matarajio/malengo yao. je wewe ambaye bado hujaingia huko, umejipangaje ili usifanye kosa hilo? Ili umpate mke wa ndoto zako hakikisha hauruki hatua...
24 Reactions
112 Replies
5K Views
Heri ya mwaka mpya bandugu. Mwaka ndo umeanza hivyo,mambo ni mengi,mengi kweli kweli. Mungu atusaidie. Asubuhi ya Leo nimepata habari flani kuwa X kawa chizi..mmh nikashtuka kulikoni huu uchizi...
11 Reactions
25 Replies
2K Views
Nina demu wangu ambaye kwasasa tuna miezi takribani 8 hivi kwenye mahusiano. Huyu demu wangu yupo tofauti kabisa na wanawake wengine ambao nilitoka nao before. Najaribu kusoma tabia yake lakini...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Mama mwenye ujauzito wa miezi minne Jamila Hamisi (34) mkazi wa mtaa wa Remtula kata ya Elerai Jijini Arusha, amedai amejeruhiwa macho yake kwa kupigwa ngumi za uso na mume wake baada ya kutokea...
6 Reactions
80 Replies
3K Views
Kama wewe ni mwanaume na unaamini sifa inayokutambulisha ni ndevu au uzito wa sauti ama kuwa tu na viungo vya kiume,kuna kitu kikubwa umepungukiwa. Labda nikwambie jambo jamaa yangu , umezaliwa...
0 Reactions
3 Replies
875 Views
Kabla ya kuasi shetani alikuwa malaika mkuu wa Mungu yani ni kama kiranja mkuu ama waziri mkuu.... Kwahiyo zile chembe chembe za uungu bado anazo mpaka Leo hii.... Chooni panachukuliwa kama...
138 Reactions
433 Replies
75K Views
Ndugu zangu kila mtu ana wake anayempenda kwa dhati mke/ mume au mchumba. Hembu jivunie hapa mazuri yake toka umekuwa nae. Nianze mimi, mama watoto wangu Anna nakupenda mno aiseeh, miaka mitano...
13 Reactions
73 Replies
4K Views
Wangapi mahusiano yetu hayajauona mwaka ?
0 Reactions
30 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, herini ya mwaka mpya. Bila kupoteza mda niende moja kwa moja kwenye mada. Miaka mitatu iliyopita nilifahamiana na binti mmoja kupitia social media na niyeye alienitafuta, awali...
16 Reactions
77 Replies
5K Views
Mabadiliko ni kama sheria kiasili, lakini huwa hayapendwi na watu katika kila kitu. Katika mahusiano huwa hatupendi mabadiliko haswa yale ya kitabia hayapendwi kabisa. Imegundulika kuwa wanawake...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Tukiwa tumebakiza siku au masaa kadhaa kuuaga mwaka 2022 nakuja mbele yenu na hiki kisa: Kuna kabinti flani kalikuwa kanasoma chuo flani hapa Dom nilikuwaga na mahusiano nako miaka ya nyuma badae...
8 Reactions
177 Replies
11K Views
Kwenye mahusiano ni haki kila mpenzi kuzungumza aonacho hakipo sawa katika upande wa mwenziye. Wapo wasiojua kuzungumza badala yake huwa ni watu kulalamika, kila siku ni watu wakulalamikiana juu...
4 Reactions
12 Replies
904 Views
Hello, Story kwa ufupi, duniani hakuna mjanja aloshindikana, kila penye nyumba na nyufa ipo. Katika hali iliozoeleka inaonekana kutoka na mke au mume wa mtu ni ushujaa sana mithili ya kubeba...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom