Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Huu mwaka wa kuchanganyikiwa kweli! Huyu mrembo tangu niwe nae kwenye mahusiano simuelewi kabisaa! Bora tu nijikatae au mapenzi sio vitu vyangu. Huyu mrembo nilimblock miezi kadhaa nyuma kwa...
14 Reactions
52 Replies
1K Views
Ni nani ajitokeze awaambie ukweli hawa wanawake? Hali inatisha kila siku wanalilia kulipiwa mahari na harusi, yaani siku hizi mwanamke anahitaji harusi (sherehe) kuliko anavyohiyaji ndoa (kuishi...
7 Reactions
21 Replies
2K Views
Never heard of her before! But I guess she’s an OnlyFans entrepreneur. So what’s her claim to fame? Getting ran through by 101 men in less than 24 hours. But that wasn’t enough, apparently! Now...
2 Reactions
5 Replies
591 Views
Hii huwa naona kwenye vyumba vya kubadirishia nguo (changing room) hasa kabla na baada ya kazi mnapojiweka sawa ili mrudi ma kwenu. Hata chuo ma bwenini nilikuwa naona sana wanaume wa aina hii...
13 Reactions
50 Replies
2K Views
Kaka ni miaka miwili Sasa hatuja wasiliana Nilikukera Sana kwa simu za mara kwa mara . Nisamehe bro Kuna hali nilikua napitia iliniumiza Sana Lkn bro kwanini ulinitafuta na kutaka kujua mipango...
7 Reactions
15 Replies
838 Views
Nipo kwenye mahusiano na dada fulani, tunaweza kusema hii kazi alinipigia promo sana, ni sekta binafsi ila ukweli ni innocent girl (hana makuu). Tupo taasisi moja ila branches tofauti najua...
6 Reactions
40 Replies
579 Views
Mwanamke makini anaejitambua na mwenye mvuto na vionjo vitamu hawezi kuchepuka. Ila ukiona anachepuka ujue ndio basi tena ashakuwa scraper usimshangae. Pang Fung Mi
4 Reactions
14 Replies
401 Views
Habari ndugu zangu, Kuna watu wapo kwenye mahusiano ya urafik, uchumba, ndoa na wapendwa wao ambao pengine kabla ya kujuana hawakuwahi kuwa na mazoe kabisa na walikuwa wakionana mara Kwa mara...
9 Reactions
72 Replies
1K Views
Habarini wadau Yapata miezi kadhaa sasa tangu nipate mwenza, lakini ugomvi wake na mimi ni pale nitakapo acha kuswali swala moja tu kwa siku, hapo lazima nitoe maelezo na kununiwa. Yeye ni...
6 Reactions
65 Replies
760 Views
Nimeamua kushare hapa hiki kisa cha kweli kilichonitokea kwenye maisha yangu. Nikiamini wengi mtajifunza na kuburudika pia. NB: Majina ya watu na baadhi ya Majina ya sehemu yatakuwa sio halisi...
43 Reactions
508 Replies
117K Views
Tukiweka kujifariji pembeni ukweli utabaki kuwa umri sio namba tu bali zinazungumza kitu na tena kwa kumaanisha hivyo sio vizuri kupuuza. Ipo mifano ya wachache ambayo inatembea ikiwemo ya...
12 Reactions
14 Replies
457 Views
Ndugu wanajamvi, Katika harakat za kutafuta mtu wa kuanza naye maisha kuna yule uliyemchumbia au aliyekuchumbia kwa mara ya kwanza. Je, kipi kilikufanya usimuoe /kuolewa naye?
1 Reactions
0 Replies
101 Views
WanaMMU kwema, natumaini nyote hamjambo, kama hauko poa nakuombea uwe sawa, Amen! Mapenzi Mapenzi Mapenzi Kwenye mahusiano huwa inatokea kusaliti na kusalitiwa kimapenzi wengine hadi wanafikia...
9 Reactions
102 Replies
3K Views
Nimekuja tena mzee wa fact naanza kwa salamu habari zenuu !!!? Twende mbele turudi nyuma HAKUNA mwanaume mwenye kibamia , Early 1999s mpaka late 2009s hakuwa kabisa na haya mslalamiko kutoka kea...
7 Reactions
51 Replies
9K Views
𝘏𝘢𝘣𝘢𝘳𝘪 𝘻𝘦𝘯𝘶, 𝘸𝘢𝘱𝘦𝘯𝘥𝘸𝘢, 𝘔𝘪𝘮𝘪 𝘯𝘪 𝘬𝘪𝘫𝘢𝘯𝘢 𝘢𝘨𝘦 26. 𝘕𝘪𝘮𝘦𝘱𝘢𝘯𝘨𝘢 𝘴𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘧𝘭𝘢𝘯 𝘵𝘶𝘱𝘰 𝘸𝘢𝘱𝘢𝘯𝘨𝘢𝘫𝘪 𝘬𝘢𝘥𝘩𝘢𝘢, 𝘸𝘰𝘵𝘦 𝘩𝘢𝘸𝘢𝘫𝘢𝘰𝘭𝘦𝘸𝘢 𝘯𝘢 𝘩𝘢𝘬𝘶𝘯𝘢 𝘢𝘭𝘪𝘺𝘦𝘰𝘸𝘢 𝘛𝘶𝘱𝘰 𝘸𝘢𝘯𝘢𝘶𝘮𝘦 𝘸𝘢𝘸𝘪𝘭𝘪 𝘯𝘢 𝘸𝘢𝘯𝘢𝘸𝘢𝘬𝘦 𝘸𝘢 3 𝘪𝘭𝘢 𝘸𝘰𝘵𝘦 𝘮𝘢 𝘴𝘪𝘯𝘨𝘭𝘦 𝘮𝘰𝘵𝘩𝘦𝘳...
5 Reactions
31 Replies
1K Views
Team Kataa Ndoa Mpo? Sidhani kama kuna haja ya kusalimiana. Kama kuna mtu ana lolote anaweza akasema linalomsibu kwenye nafasi niliyoiacha hapo juu. Najua humu jukwaani kuna movement ya Kataa...
4 Reactions
6 Replies
331 Views
Ngono ni tamu sana, lakini inaweza kuharibu maisha yako na mustakabali wako mzuri. Somo la kwanza – Uume wako si rafiki yako; unaweza kuwa adui mkubwa mpaka utakapojifunza jinsi ya kuudhibiti...
10 Reactions
18 Replies
941 Views
Leo nimegombana na rafiki yangu wa damu, "hustler" mwenzangu. Juzi kati aliniambia anataka kumuoa mwanamke mzee, "kibibi" mwenye umri wa miaka 28, ambaye kazaliwa mwaka 1997 kama sijakosea . Huyu...
5 Reactions
20 Replies
547 Views
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma? Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake.. Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake...
15 Reactions
212 Replies
4K Views
Umekuwa omba omba wa upendo, unahitaji mtu wa kukupa upendo lakini upendo wenyewe ni asili Unaye muomba upendo kosa huanza hujui ni namna gani anajipenda, nikweli ana upendo lakini hufahamu...
1 Reactions
0 Replies
87 Views
Back
Top Bottom