Mwezi uliopita, nilienda kumtembelea mpenzi wangu wa zamani Kahama; baada ya kufika, nikatafuta sehemu nzuri ya kupumzika. Nikamjulisha sehemu nilipofikia; na baada ya muda akawa amefika...
Guys mambo vipi, mimi nipo kwenye mahusiano na mdada ambaye amenizidi elimu yaani yeye ana bachela ya mambo ya elimu lakini mimi ni form 4 tu and tuna mpango wa kuja kuoana je kutakuwa na mapnzi...
Habari za asubuhi wote mlio hai humu!!!
Jana nikiwa natoka kazini nikawa natembea kwa mguu kutoka maeneo ya Posta kwenda kupanda treni kulekea Pugu kwa kutumia treni ya TAZARA (ndio zangu daily)...
Habari wanajamii forums hope mko poa sana.
Kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuhusu mapenzi yana ladha gani? Kiujumla nimeshindwa kupata jibu la moja kwa moja kuhusu mapenzi. MAPENZI NI MATAMU...
Siku ukipata matatizo utakuja kufungua huu uzi na kukumbuka haya niliyoandika leo..
Mke, watoto na ndugu wa kuzaliwa ndio ndugu zako, maana hawa wanawake tunaowaita michepeko wapo na wewe muda...
Sijui kwanini linapokuja swala la kufunga ndoa wanaume wengi huwa wanaogopa kuoa wanawake wanaojitanbua na wapambanaji.
Wanaume wengi wakigundua nature ya mwanamke anaetaka kumuoa ni msomi ana...
Mimi ni kijana in my 20's miaka michache iliopita nilikuwa tongoza tongoza na nilikuwa nabadilisha sketi, nkaacha, badae nikawa na tabia ya kununua makahaba wanaojiuza barabarani, baada ya muda...
Je ni kweli kwamba Mwanaume huwa hachagui mwanamke wa kufanya nae Mapenzi na Mwanamke anafanya Mapenzi na Mwanaume anayempenda?
Lakini mambo ni tofauti linapokuja swala la ndoa. Mwanaume akitaka...
Salaam wakuu....
Juzi nimeshiriki kumuhifadhi rafiki yangu tuliyesoma nakufanya nae kazi katika nyumba yake yamilele. Rafiki huyu kabla ya kifo chake alibahatika kufunga ndoa na mkewe ambapo...
ILI USIMUUE MKEO AU MCHUMBA WAKO UKAJIWEKA MATATIZONI FANYA YAFUATAYO
Anaandika, Robert HERIEL
Kuua ni kosa kisheria pia ni dhambi kubwa kidini. Hivyo ili kujiepusha na kosa hilo hasa Kwa...
Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijini Dar es Salaam. Katika maeneo tofauti tofauti kwenye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry...
Habari
Ni hakika ya kwamba kila Mtu anatambua kwamba kila kitu katika Maisha Yetu ni Mungu kwanza.Kumbe hata katika Mahusiano ambayo badae huzaa ndoa ni Matamanio ya Wanawake wengi. Nasema...
Hii ndiyo Siri kubwa iliyopo na inayowatafuna wanandoa.Umeoa au umeolewa Kwa harusi yenye mbwembwe kibao huku mmefichiana makucha...kimbembe mmeanza kuishi uliyedhani ni maria mama mtakatifu kumbe...
Jamani kuna mshkaji hapa akitafuna ile kitu lazima alie kwa sauti tena kubwa mpaka ina leta taharuki kwa jamii, akifika kileleni sasa ndio anatoa lisauti likubwa mpaka majirani tunashangaa kuna...
Kwa hali ilivyo ya sasa aisee inasikitisha Sana tumekuwa Malaya mno yaani wanawake wanajiuza balaa direct na indirect na hasa wake za watu siwadanganyi asee mwanamke ukimsumbua kidogo tu anakupa...
Katika mizunguko yangu, mwili ukiwa unavuja jasho, nimepauka hatari huku tumboni njaa ikinichapa. Ghafla ikasimama gari kali mbele yangu, kioo kikashushwa, huku nasikia jina langu linaitwa jay...
Tumeona watu wanaoana au wanatafuta majini kuwa wake/waume/wachumba zao. Hoja yangu kubwa ipo kwenye tendo la ndoa.
Je, majini nayo huwa yanahisi utamu au raha kufanya mapenzi na binadamu? au...
Hello bosses, weekend moja nzuri kabisa nikiwa nimetulia na kufanya tafakuri kwenye seat yangu nikielekea mkoa X, seat ya pemben kakaa mtoto fln hapa ni mzuri kila idara kwa kweli.
Nmemuangalia...
Aisee ngono siku hizi imekuwa overrated kiukweli. How can someone just dare have an intercourse with two or more women at the same time after consuming Viagra and expect northing terrible to...
Your highest folks!
Kuna jambo nalileta chamani muda huu, kuna binti ninasali naye, mcheshi, mpole, mstaarabu na mchapa kazi. Huyu binti ananipenda mno na ameweka mitego yote(ya heshima) ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.