Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Siku ya jana maza akanipigia simu kunipa taarifa za msiba wa ndugu wa ukoo. Kwa wiki sasa ninauguza mdogo wangu. Kutokana na changamoto ya kuuguza maza akaniambia mwanangu wala usitume rambirambi...
79 Reactions
79 Replies
6K Views
Mwanamuziki maarufu nchini Nigeria Yemi Alade alaani vikali wanaume wenye uume mkubwa wasiojua kuutumia ipasavyo kwa kuwaridhisha wenza wao kitandani. Kwa mujibu wa Yemi Alade, mmoja kati ya kitu...
7 Reactions
45 Replies
6K Views
I am very stressed about and suspicious of my wife with her gym trainer mara sijui mwalimu. I have no other place to turn for advice. I appreciate that what im about to say could be construed as a...
17 Reactions
170 Replies
13K Views
Jamani nimenuniwa leo. Mchepuko wangu ni wakala wa Tigo pesa, Mpesa na Airtel Money. Sasa Mchepuko mpya ukataka nifanye muamala. Bila hiyana nikauambia ule wakala nisaidie kutuma elfu 20 kwenye...
7 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu, Iko hivi uko kwa Biden bana kuna jamaa aliyefahamika kwa jina la Richard Hoagland, ambaye alimuoa mwanamke aliyetambulika kwa jina Linda Iseler na walibahatika kupata watoto...
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Nahitaji mnisaidie juu ya hili nimekua napatwa na uoga na hofu wakati wa kufanya mapenzi haswa wakati nakutana na manzi mpya. Wakati mwingine nikikutana na msichana pisi kali ndo napata uoga...
3 Reactions
74 Replies
12K Views
Wanawake waliowengi, huwafanya wanaume kama chanzo cha mapato 'source of income'. Na inapotokea mwanaume kushindwa kumuhudumia ipasavyo mwanamke, kuna uwezekano mkubwa wa kuachana; au kufanyiwa...
67 Reactions
207 Replies
12K Views
Hapa naweza kurushiwa mawe ila mara nyingi mimi huwa napenda kuwaambia watu ukweli. Hakuna ndoa ya mume na mke kuishi sehemu tofauti kwa kipindi kirefu bila sababu za msingi. Ni vyema kama mume na...
37 Reactions
117 Replies
16K Views
Habari Wana wa JF... Mimi ni muhanga wa kutalakina. Kesi yangu ya talaka ilifunguliwa tokea 2018 mpk Leo Bado haijaisha. Ilianzia primary court mpk Sasa ipo high court tusijadili maana ndo mambo...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Kesho tutakuwa na mahafali ya postgraduates hapa UDSM, mimi na rafiki yangu (foreigner) tutakuwa na sherehe fupi majira ya jioni, bahati mbaya hatuna marafiki wa kujumuika nasi kutokana na...
7 Reactions
150 Replies
5K Views
Habari wana jamvi Kwa wale waislam hongereni kwa kuendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kwa wale ambao ni waislam na hamkufanikiwa kufunga kwa sababu za maradhi Mwenyezi Mungu...
2 Reactions
66 Replies
11K Views
Mapenzi ni kitu kizuri lakini yanaumiza sana Betrayed Kuna wakati unapenda lakini bahati mbaya unayempenda hayupo tayari kwa upendo wala kuelewa hisia zako, inaumiza sana. Mbaya zaidi una...
5 Reactions
62 Replies
5K Views
Wakati nikiwa hapa kwenye mashine ya kutengeneza unga wa sembe huku nikisubiri gunia kadhaa zipakizwe juu ya pick up ili nipeleke mzigo nilikoagizwa, nimemshuhudia mdada mdogo mdogo mrembo wa aina...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu nahisi msichana niliye wahi kuwa naye kwenye mahusiano then nikamuacha kuna michezo ya kiswahili kanifanyia. Kwani baada ya kumuacha alinilaani Sana na aliniambia nitamkumbuka Sasa mambo...
4 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu kwema Hii siyo mara ya kwanza daa! Sasa this time anaomba kabisa niwe nae nisimuache anadai ananipenda… Najua mwanamke anatakiwa awe hivi kwa mwanaume wake kwamba mwanamke atoe upendo...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Watalaamu wamebainisha kwamba upigaji wa kelele wakati wa tendo, kwa wanawake haihusiki na kufika kileleni au kupata raha kwa sababu pindi wanapokuwa wanapiga kelele hizo wanao uwezo wa...
5 Reactions
94 Replies
11K Views
Amekuzimia? Anakupenda Kweli? Nini Kina Ashiria?. Kumuelewa mwanamke kama amedata na wewe inahitaji ujanja mwingi. Zifuatazo ni dalili 13 akikuonyesha mwanamke, kuna uwezekano mkubwa amekuzimia...
17 Reactions
70 Replies
85K Views
Siku zote najinasibu ni mtu wa gambe, yes napiga tungi kwelikweli na hapa napost hii. Nimerudi nimemkuta mke wangu Muanglican anasali rosali. Nimefunguliwa na Dada Wa kazi, kanipakulia mke yupo tu...
9 Reactions
36 Replies
4K Views
Mimi ni muokovu safi, nasali kanisa X hapa DSM(samahani sijatoa salamu). Kama nilivyokwisha kusema awali napenda minyama uzembe, basi huyu mama ana nyama uzembe kama zote, hasa za tumboni na...
10 Reactions
75 Replies
4K Views
Wakuu, Wakati nikiwa kwenye mawazo ya ahadi ya jinsi gani nitaipata laki mbili na nusu ndani ya wiki ijayo ili kumnunulia baby Infinix note something niliyomuahidi baada ya kunipatia penzi la...
10 Reactions
29 Replies
2K Views
Back
Top Bottom