Hali ndivyo ilivyo, hata kwenye urafiki wa kujuana na watu kawaida tu kuna yule mtu hata akijenga nyumba porini bado atatembelewa ila kuna yule aliejenga sehem ya karibu ila hatembelewi mpaka...
Mtanisamehe kama kuna mtu dada yake ni mlengwa ila hapa tupo kupeana uzoefu.
Iko sawa kabisa siku ukishikwa na ashki naunataka kuosha rungu chap kwa haraka wewe chukua contact za hawa wadada...
Nichukue nafasi kuwajuza kuwa sikuzote kuna ME wa aina mbili kuu.
Type1.Wapole
Type2.Wakaksi/Kavu
Type 1:
Hili kundi la ME wako Loyal na emotional, huyumbishwa sana kwenye mapenzi na huvumilia...
Wasalaam,
Kati ya vitu vingi mbavyo wanaume wengi huwa wanakosea ni pale wanatumia 'Nguvu' kubwa sana kuwapata hawa wanawake, hasa ikiwa ana malengo naye ya future.
Kama ni mwanamke...
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa. Licha ya Harmonize kupitia changamoto nyingi hakika amefanikiwa kumrudisha Kajala kwenye himaya yake tena. Licha ya kukataliwa na kublokiwa kwenye mitandao ya...
Habari za uzima wana familia ya JF wenzangu,
Naomba ushauri juu ya hili sidhani kama napendwa kweli hapa bali nachunwa tu. Nimepita katika mahusiano mawili ya wanawake wa aina moja kwa kufuatana...
za mda huu wadau,
Niende kwenye mada moja kwamoja, tofauti na zamani ilivyokuwa, yaani mwanaume akitaka kuoa anatatafuta dogo dogo amkuze mwenyewe.. na wengi ilikuwa dogodogo wa kipindi hicho...
Wale wanaume mnaotogoza wake za watu watakubaliana ni mimi hapo mwishoni kwa msimamo wangu,mimi ni muoga sana kutembea na mke wa mtu na huwa sina kujiamini kabisa.. ila katika pitapita huwa...
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale nimependa niwape mkasa ulionipata Jana.
Npo mtaa x sasa Jana jioni kuna sehemu nilikuwa naenda sasa njiani nikakutana na demu mmoja mkali kinoma ana...
Ilitokea huku kwetu Kwatogole, dada wa kazi kwenye familia ya mume mke na mtoto wa kike wa miaka miwili. Siku ya kwanza mtoto alikua analia baada ya kula, mama alitoa ki tub kidogo cha ice cream...
Natamani kila mtanzania angekuwa kajiunga jf ili apate ujumbe huu.
Naandika haya baada ya kupokea simu/sms nyingi za ndugu, jamaa na marafiki either wakiomba au kukopa vihera vidogo vidogo, elf...
Aiseee haya mambo sometimes ( mda mwingine ) huwa yanachosha sana, Jana nipo na mpenzi wangu ambae naishi nae toka mwaka 2019 ila cjamuoa ni single mother namkubali sana sababu ya uzuri wake...
If you wanna be happy for the rest of your life
Never make pretty woman your wife
So from my personal point of view
Get un ugly girl to marry you.....
A Pretty woman makes her husband look small...
Salute! Hivi makalio makubwa yana faida gani hasa? Mimi naona kabisa, na sio mimi tu, bali hata wataalamu wengi wanakiri hayana faida kwa wewe mwanaume.
Ukipenda sana makalio jitathmini. Aidha...
Habarini wana jukwaa,
Nisaidieni niko kwenye wakati mgumu.
Nimeolewa miaka 14 iliyopita. Nilikutana na mwenza wangu mkoa flani baada ya mimi kupangiwa kituo cha kazi mkoa huo, kwa kipindi hicho...
Nianze kwa kujielezea kuwa mimi ni kijana kauzu hapa mtaani, sinaga umama, mazoea na vibinti mwiko! Kuna binti alileta mazoea ya kiwaki nikamnasa makofi! Hata nikikutana nao ni no salamu, no...
Habarini ndugu zangu....! Kama kilivyo kichwa Cha habari hapo juu.
Nisitake tuchishane ....,
Ipo hiviii wanawake wamekua jeuri Sana hivi karibuni na kujifanya wao ndio wao wanaume kwao ni si...
Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.