Habari zenu wanajamii Forums.Poleni na majukumu ya kazi
Kwa miaka ya hivi karibuni,MAHUSIANO yamekuwa kama biashara.Mahusiano yamekuwa kama miradi ya kumnufaisha mtu fulani ili aweze kukidhi...
Niliwahi kusafiri mkoani kwenye basi nikakaa siti mkabala na binti mlemavu wa miguu.
Binti mrembo ana sura nzuri ana akili za darasani na za maisha. Tulipiga stori tukapeana namba.
Binti...
Ushauri kwa dada zangu, seminary na madrasa boys ndio husband material.Japokuwa hili kundi la wanaume waaminifu ndio linalo ongozwa kuumizwa na mapenzi mpaka kuchukua hatua ambazo sometimes zina...
Kumuuliza mpenzi wako kuhusu historia yake ya ngono inaweza kuwa kama kutazama filamu ya kutisha, unataka kujua kinachoendelea lakini pia hutaki kujua.
Wataalamu wa mahusiano wanaeleza kuwa...
Umefanikiwa kujenga kibanda cha vyumba viwili, chumba chako ni master bedroom na chumba cha pili ni cha kawaida. Unapata uhamisho, kwa sababu za kiusalama unamtafuta kijana wa kukaa. Chumba...
Hakuna cha salamu, siku takribani saba nimekuwa nikisikitika mno kwa mambo kadha wa kadha.
Leo moyo umepiga 'paaa' baada ya kuangalia 'list' ya majina ya wanafunzi kumi bora kitaifa waliofanya...
Huu ndo ukweli wanawake walio wengi wanaingia katika mahusiano au ndoa kutafuta angalau unafuu wa maisha.
Katika mahusiano na ndoa wanawake wengi hutumia kama opportunity chance ya kupunguza...
Hello wakuu!,
Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na...
Tuambie ikiwa wewe umeoa bikra je kweli bado mna amani ametulia miaka yote maana yake wanawake na shetani ni kama mahusiano ya chatu na mbwa.
Mimi kuna kahaba nataka kuoa sijali bikra hizo...
Miaka inazidi kuyoyoma, nmetimiza miaka 30 mwaka huu, sina mtoto hata wa kusingiziwa...
Wakati nazidi kukazana kutafuta tonge mdomoni ila pia nmepoteza muda mwingi na sasa sina mtoto, sina hata...
Sura yako ya ucheshi ndio tatizo pekee unalo niacha nalo. Kwani sidhani kama ni vyepesi kuiondoa mawazoni.
Nilikuwa sifahamu ni nini nahijati kwa mwanamke mpaka pale macho yangu yalipo hifadhi...
Your name starts with letter A. whenever you are right now and reading this, just know that this letter is for you. it is coming from your first boyfriend who took away your virginity.
It has...
Kumekuwa na maombi mengi humu lakini ukiangalia muombaji unaona kabisa Kuna mzaha mwingi na walio wengi hawatoi ushirikiano hata wakifuatwa pm.
Hivi mtu anasema anatafuta mke......stage za mdada...
Ndugu zangu habari zenu. Wadogo zangu 'mambo?', rika la wanangu(najua hawapo) wazima?
Ninahisi kuwa na hatia mno, kwa mengi niliyofanya. Kubwa ikiwa ni kuwakataa makumi ya wasichana waliopiga...
Hili ni jambo ambalo kwa upande wangu nalitizama kwa utofauti kidogo watu wengi wana ingia kwenye matatizo ya kisheria ambayo yanawapelekea mpaka kifungo cha maisha JELA sababu ya usaliti wa...
Naomba kufahamishwa na wanawake jinsi ya kujisafisha kwenye papuchi(mwanaume atakaye shauri naomba awe doctor au mwenyewe experience ya kutosha kuhusu maumbile ya mwanamke)
Mimi huwa nikienda...
I want to let you know that love is something eternal; the aspect may change but not the essence. Love asks me no questions and gives me endless support. Through love I want to express whole...
Wakuu salaam,
Mara kadhaa mama amekuwa akimtuhumu mzee kujihusisha kimahusiano na mama fulani ambae ni shemeji yake. Mama amejaribu kufanya jitihada za kuwaachanisha kwa njia ya mazungumzo lakini...
Nilichogundua katika maisha yangu ya Tongozo hapa na pale, kumshawishi mwanamke awe manzi yako wakati mwingine tunapitiaga wakati mgumu sana.
Yaani hawa dada zetu kuna kipindi wanakuwa hawataki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.