Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Demu tulikutana kwenye mishemishe za kutafuta Door, longtime ago , japo hatukutongozana ila tulikuwa na intimacy , jana namchek kama masikhara njoo ntembelee na akaja kwel tena usiku, demu...
8 Reactions
80 Replies
7K Views
Kama mnavyofahamu nyumba zetu za kupanga, unakuta nyumba ina vyumba kadhaa ndani vikiwa na milango inayotazama korido! Chumba changu kipo opposite na chumba cha mwanamama ambaye anaishi na...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Ukiona mwanaume yeyote analalamika kuhusu mwanamke hamuelewi, mara ohoo nipo sipewi unyumba, mara ohoo mwanamke wangu kabadilika Nasema ivi mwanaume mwenzangu unapokuwa na mahusiano na binti...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
Wasalaaam waungwana, Leo nijikite moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu mahusiano. Ni Mara nyingi sana watu hasa wapendanao kuwa na migogoro ya Mara kwa Mara na kupelekea kuchokana na kukinai...
43 Reactions
293 Replies
23K Views
Sifa moja ya mwanamke ni kujua kupika Kuna hii story ya Manka aliolewa na jamaa wa pwani akaachiwa mazagazaga na mumewe akaabiwa apike wali nazi. Alichofanya anakijua mwenyewe, nazi ikawekwa...
1 Reactions
5 Replies
771 Views
Mwenzenu nimepata mtoto mmoja hivi mkali ni mcheza komedi mtoto nipo naye kwenye mahusiano sasa hivi tuna kipindi cha mwezi Mbususu na chukuwa saana. Lakini hatuchokani. Najaribu kuleta za kuleta...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Na-Paste Text yake... Naombeni msaada wa ushauri ndugu zangu. Mimi ni msichana na Nina mpenzi wangu tumedumu kwa miaka mitatu sasa. Nilifahamiana naye nikiwa form six na kuanzia wakati huo...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Miezi minne ya mwanzo tokea huyu housegirl ameletwa rasmi nilikuwa nikiishi nyumbani, nimeishi nae nyumba moja kuanzia mwaka jana November hadi February baada ya hapo nikaanza maisha ya gheto...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Katika haya maisha binadamu tunapitia mambo mengi sana makubwa na mazito pia ambayo katika hali ya kawaida unaweza kukaa na kufikiria umewezaje kuchomoka salama? Eneo linaloongoza kwa vitimbi na...
9 Reactions
62 Replies
4K Views
Nina mke wangu tunaishi wote mwaka wa kumi na moja Sasa (hatujafunga ndoa lakini, kwasababu zangu maalumu)huyu binti nilifahamiana nae akiwa chuo cha ushirika Moshi. Tuna watoto watatu. Sasa...
13 Reactions
127 Replies
6K Views
Hili janga linazidi kuwa kubwa sana, hii ishu bado sijajua ni kipi hasa kinapelekea itokee. Huenda ni kuiga ama tamaa za hapa na pale. Hapa nazungumzia vile vi binti vidogo vidogo. Mtaani...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
tujitahidi tusome hii wale vijana wakiume
1 Reactions
10 Replies
797 Views
>UPDATES: Imeendelea kwenye reply #36 Kwanza kabisa nianze kwa kuwasalimu wale wote mliosoma katika shule za boarding kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... ama kweli, tuliupiga...
7 Reactions
54 Replies
10K Views
Habari za muda. Polen na majukum ya kujenga Taifa, kwa sisi tuliolala, tutawasaidia kupaka rangi huko mbelen, maisha yanaenda. Back to the Topic. Iko hivi, naleta huu uzi kutokana na uzoefu...
26 Reactions
79 Replies
9K Views
Wakuu, I'm hope you're fine, Huyu mwanadada ni pacha! Lakini wao ni mapacha wa kike wasiofanana sura! Ila huyu kanivutia kuliko kawaida! Nahisi kafahamu muda kuwa nimezimika kwake, kwa sababu...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
RIWAYA: Sitaisahau facebook MTUNZI: Emmy John P SEHEMU YA KWANZA "Isabela….Isabela…" nilisikia sauti ya mwanamke ikiniita, niligeuka mara moja maana sauti ile ni kama niliwahi...
14 Reactions
436 Replies
193K Views
Mazingira yapi yaliwakutanisha wewe na huyo mke&mume,mpenzi,mchumba, wako au mlikutana nae vipi na kuanzisha mapenzi yenu?? Watu wengi tumekalili kuwa mke&mume bora hupatikana katika nyumba za...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakati una kipato chako heshima na utii huwa unaonekana, ukipoteza kipato ndio utajua mkeo ni gaidi kwa kiasi gani. Inauma sana mke kukuona si lolote wala si chochote kisa tu huna mpunga.
28 Reactions
133 Replies
8K Views
Kama miezi miwili nyuma niliamua kisirisiri kuingia kwenye secta hii ya ufbi kuchunguza mwenendo wa bi wife na watu wengine huko nje. nikajipa zoezi la kuvumilia lolote litakalo tokea...
56 Reactions
160 Replies
17K Views
Habari za weekend wadau, Kwa wale ndugu zangu waislamu eid njema ambao mmetangulia kula Eid leo na wanaotarajia kula eid kesho basi sisi tunasema mwenyezi mungu na mtume wake ndo wanajua zaidi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom