Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habarini wana JF hasa jukwaa hili. nimependa kushare habar hii japo kwa ufupi na nyinyi. Kuna rafiki yangu wa kiume alikuwa na rafki yake wa kike (mchumba) ambae awali walikubaliana kuwa...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
The conventional wisdom holds that older men prefer dating younger women so they can relive their glory days of youth. Some people believe that if an older man is seen with a younger woman, it's...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana JF Niliingia katika mtandao wa Badoo kwa kutumia jina na picha fake. Nika search girls between the age of 20 to 35 nearby. Akatokea dada mmoja mzuri kumbe ni mhasibu wa hapa hapa...
14 Reactions
26 Replies
4K Views
Nashukuru nimefika salama Dodoma nikitokea Iringa ambapo nilipata penzi motomoto, nimeamua kufikia Lodge moja hivi pande za Kisasa, hii ni kutokana na kuwa na miadi na demu wangu wa Facebook...
5 Reactions
38 Replies
3K Views
Miruzi imekuwa mingi, na kila mmoja anavutia kwake. Walio wengi hawataki kukoselewa na walio wengi hawautaki ukweli. Ukweli lazima usemwe bila kujali utamuumiza nani na bila kujali lawama za...
9 Reactions
89 Replies
4K Views
Mdogo wangu, mkewe amekua kero kwa kweli ana pata hasira kwa vitu vidogo vidogo paka kuharibu vitu vya thamani, Jana alimpigia simu, kwasabb alikua anaongea na watu hakuipokea, baada ya Mda...
10 Reactions
64 Replies
4K Views
Kisa kiko hivi Mshikaji wangu kaniomba ushauri wa mawazo,kanihadithia issue nzima ilivyo,ila point ya msingi ni kwamba mkewe ameleta housegal nyumbani pasipo kumshirikisha, anasema hapafahamu...
7 Reactions
63 Replies
4K Views
Sikia hii habari INTRO Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku. FLASH BACK Nilianza kumjua 2019 baada ya...
38 Reactions
111 Replies
7K Views
Wasalaam Wakuu, Aisee naomba niende kwenye mada husika moja kwa moja juu ya wanawake kujibinua makalio yao wakiwa kwenye Bodaboda hasa hapa jiji la Joto- Darusalama Hii imekuwa ni kama fashion...
8 Reactions
90 Replies
8K Views
Mimi nimsiba wa baba yangu na nilikuwa na daiwa ada.
0 Reactions
3 Replies
620 Views
NAANDIKA KWA NIABA YA DADA YANGU MMOJA MUHANGA ANAYEPITIA HILI,NIMEONA NISHEE ILI KUPATA USHAURI WA PAMOJA JINSI YA KUMSAIDIA. Tulikutana Facebook na ni Mwaka wa nne sasa tangu tufahamiane,alikua...
12 Reactions
80 Replies
6K Views
Wakuu bila kupoteza muda naomba nijikite kwenye mada husika. Mimi ni mfupi wa futi 5, na nimekua nikipenda dating na girls warefu.Mpaka sasa nimeshakua kwenye love relationship na wanawake warefu...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
1. They are scared of her Well, maybe you’re not. But most men are scared of their girlfriend/wife leaving them. This shows that she overpowers you in your relationship. You are a weak person. 2...
4 Reactions
8 Replies
767 Views
Kwema Wakuu! Taikon ni Kaka, mume, Baba mtarajiwa, lakini pia inawezekana nikawa mchepuko mtarajiwa ( hili sitaki litokee Ila Kwa hizi pisi naona Kama najiongopea). Pia ni Babu mtarajiwa, nikiwa...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukiwa na mpenzi au mwenza wako kwenye marital bed, ni busara kuweka simu kwenye vibration. Mihangaiko ya mchana kutwa inachosha, na usingizi ni njia pekee Mwenyezi Mungu alituwekea kupunguza...
1 Reactions
2 Replies
849 Views
Hatimae nimepambana nimefanikiwa kupata buku la bando ili tu nilete huu uzi, Kwanza habari za humu wanaJF wenzangu. Natumai mko poa kabisa. Mada yangu kama inavyosema hapo juu, Mimi nakumbuka...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
I was having a conversation with my little cousin, she’s 23. She asked me “why does a woman’s past matter ?” I asked her “Tell me one thing that’s exciting about a woman’s future, that benefits...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
KARMA says; You'll certainly fall in love with someone who doesn't love you at all. Infact you'll be his/ her pet hate...she/ he will hate you with a great passion ....Just because you didn't...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Za saizi watanganyika wenzangu! Kuna mwanamke niko na mahusiano nae,ila nimekua mbahili sana kumpa hela.vijipesa ninavyompa ni hivi vya nauli tu za kuja na kuondoka ghetto kwangu akiwa ananiletea...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Kweli uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Huyu dem anakaa mitaa ya temeke pile Sasa tulikutana kwenye mitaa ninayo kaa yeye akawa anaulizia nyumba moja hivi ikabidi niombe namba lakini pia...
7 Reactions
38 Replies
4K Views
Back
Top Bottom