Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari za mchana wapendwa Kutokana na watu wengi kutoa Maoni mengi kuhusu thread ya #gendar nimeona ni vyema Leo niwalete ya sex ambapo ukisoma utakuwa na uwezo wa kutofautisha Kati ya gender na...
1 Reactions
1 Replies
908 Views
Ilikuwa mwaka jana! Baada ya kuona mazoea yamezidi, mara anione aniite ite, anikumbatie mbele ya watu, vizawadi zawadi vya hapa na pale, nikajua hii papuchi naichakata soon! Nilivyompanga...
12 Reactions
28 Replies
4K Views
Pisi ina Siku Tatu inajifanya ipo busy kichizi ooh narudi usiku mara blabla nyingi weee (huyu ni mchepuko Nina demu wangu mzuri sana kuliko Demu yoyote Yule hapa Duniani) Kila nikiomba tuonane...
21 Reactions
195 Replies
9K Views
Habari ndugu zangu Nina rafiki yangu kama Pete na kidole, huyu rafiki yangu amekuwa akiniomba ushauru maranyingi sana kuhusu nda yake mume wa huyu rafiki ajatulia hata kidogo kuna kipindi alikua...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
UNDERSTANDING YOUR WOMAN!!! Many men make the mistake of wanting their wives/women to be like them, forgetting we were not created with the same raw materials. A man was formed from the dust but...
10 Reactions
36 Replies
2K Views
Kwema Wakuu! Nisikilize mke wangu, nisikilize vizuri Kabisa, sipo hapa kumwakilisha yeyote Yule isipokuwa Nafsi yangu na Yule aliyenipa Nafsi hii. Usiniangalie Kwa macho yako mabaya Kama ya...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Leo ndo nimeamini kweli siku hizi akuna mapenzi ya kweli tena. Wanawake wengi wana penda pesa saana Nilikuwa na mwanamke wangu ambaye. Nilifikiri ana ni penda saana kumbe mwenzenu nilikuwa na...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Salaaaaaaam.! Hii imekaaje wakuu.! Mwanamke akikutaka kwa kukushawishi au kukutongoza kabisa ila ukamkatalia kuwa nae hata kwa njia za kistaarab na kiuungwana lazima ajenge chuki juu yako.!?
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Traumatized women have the potential to become the most powerful people in this world. The most ignorant members of society call this type of woman “damaged.” But she is the most powerful type...
5 Reactions
54 Replies
4K Views
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, ni kawaida sana kwa Mwanaume kusema Mke wangu hivi na vile, au hata kutambulisha huyu ni Mke wangu lkn kinyume chake ni nadra sana kusikia Mwanamke...
7 Reactions
38 Replies
5K Views
Iko hivi, katika familia moja yenye mabinti watatu na kijana mmoja wa pekee wa kiume siku moja paliingia tafrani. Kijana wa familia alipofikia umri wa kuoa wazazi na dada zake walihakikisha kijana...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimesoma jana thread ya kijana mmoja inayohusu kutukanwa na mdogo wake wa kike, nikaumia sana. Sasa vijana nalazimika kuongea yafuatayo[emoji116][emoji116] Ukitumia jicho la tatu utagundua...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti mmoja kwa Kisambaa, natamani japo anizalie katoto, mimi ni kijana sijaoa ila nina mpango wa kuoa apo mbeleni... Lengo langu ni kumuoa huyu binti...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwema wakuu? Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe. "Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka...
20 Reactions
253 Replies
15K Views
Kuna uvumi mwingi sana wakutumia mizizi katika mapenzi? Wapo wengine wana imani kuwa akitumia mizizi anaweza akampata kwa mfano hata mke wa mtu au mpenzi wa mtu kama Nyamayao au Belinda au...
0 Reactions
74 Replies
61K Views
Nakumbuka mwaka 2013 nikiwa machimboni huko Geita, machimbo mapya ambayo yalikuwa ndo kwanza yameibuka na hivyo kulikuwa na ukame wa totoz. Mademu waliokuwepo walikuwa wakitoa huduma kwa kuringa...
10 Reactions
16 Replies
4K Views
Batuli na Ashura walisoma pamoja mikoani, kufika darasa la sita Batuli alihamia jijjni na kukaa na shangazi yake. Alisoma mpaka chuo na kuajiriwa na bank moja mjini. Alipata a mume na kuolewa...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Nakuhusia Wewe mwana..... Mwanangu nisikufiche watu wengi huchangia sherehe ili waje kula na kunywa na kuoneshana fahari, ukoo wa Mume Vs ukoo wa mke hawa kwenye Send-off na hawa wanajibu...
9 Reactions
17 Replies
5K Views
Nimefanya tafiti japo siyo ramsi kwa kugawa wanaume katika mazingira matatu kwa kuzingatia aina ya malezi na makuzi yao, makundi yenyewe ni haya 1. Wanaume waliolelewa na mama tu katika utoto na...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Jamani mkuje na mawazo ya kuokoa jahazi huku, nipo na jamaa yangu grosary flan hivi! Alikuja mitaa hii kumtembelea manzi wake, kwa bahati mbaya hakumkuta akaamua kujisogeza hapo grosary kupata...
8 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom