Utakuta mdada ulikuwa ukimpenda sana na kumtimizia mahitaji yake kadri ya uwezo wako lakini ghafla huyo keshakugaya anakwenda kujishikiza kwa kamsela kimbaumbau kisa kanamiliki visilver vya...
Safari yangu ya kuelekea Uganda imekaribia na licha ya kujifunza humu kuwa kuna fursa nzuri ya biashara kule nimeona nikatafute mke mwema huko nirejee naye Tz niagane na ubachela.
Si kwamba kwetu...
Katika kanisa ninalosali kuna Baba mzazi mmoja Ana binti yake wa kwanza, japo mama wa binti huyo alifaliki baada ya kumzaa binti huyo. Baba akaoa mwanamke mwingine.
Hila huyo binti anamiaka 36...
The word "Karma" gets thrown around a lot, yet most people have no real understanding of the concept
Most people think of it like Newton's 3rd Law:
"For every action there is equal and opposite...
Kuna rafiki angu kanieleza yanayomsibu katika ndoa yake nikastaajabu kidogo. Hadi sasa sijui cha kumshauri. Ipo hivi jamaa katika ndoa yake amebahatika kupata watoto 2 na yeye na mkewe wote...
Hope mko poa, nipo kwenye mahusiano na huyu binti since 2019.
Tumedumu kwa huo muda japo Kuna milima na mabonde tumepitia, but now tumekomaa, Mimi Ni Graduate Sina kazi, but nilifanya kazi kwa...
Katika pita pita zangu mitaani, nilikutana na mdada mwenye uzuri wake; ni mtu mzima mwenye miaka 38, na ana mtoto mmoja.
Kama mjuavyo tena wakuu, macho hayana pazia, na moyo ukatokea kumpenda kwa...
Sikilizeni ninyi Wakristo, hasa mlio washiriki au communicants wa Roman Catholic, Anglikana, Moravian na Lutheran.
Kanisa hufungisha ndoa kwa Wakisto walio washiriki (communicants). Kanuni na...
Ningependa kujua je wale wanaume wenzetu wanaoishi na wake wawili je wana changamoto kama ya ndoa ya mke mmoja? Je, hao wanawake hawaoneani wivu? Kwa kimila yangu unaweza kuishi nao hata ndani ya...
Niko sehemu, napata chai ya Tangawizi.
Wamekuja watu wawili, wakakaa meza ya Jirani yangu [kwa muonekano ni wapenzi], kiumri ni 20s. Sababu walikuwa mbele yangu, nilikuwa nikitazama yanayojiri...
Kijana usioe mwanamke ambaye unaona una mpenda saana mpaka una kosa raha. Fanya kila liwezekanalo huachane na huyu mwanamke. Hata kama utaumia kiasi gani ukiachana naye my bro wewe kaza moyo tu...
Umebahatika kusoma mpaka umekua mtu mzima,umejijenga kwa kifupi upo vizuri ukaamua kutafuta mwenza na umefanikiwa kupata mwenza. Mwenza wako umemzidi more than 15yrs yeye under 20.Jua
1.Kwanza...
Ni mtu mwenye umbo kubwa na mwenye haiba ya kuwa hata ofisa wa polisi anayeweza kupambana na wahalifu, lakini leo hii ni mwathirika wa ukatili wa kijinsia.
Katika hali ya kawaida na tamaduni zetu...
Ukienda kusalimia ukweni muda wa wiki moja kuna tabia ambayo shemeji zako wanazo wanaamka saa 11 alfajiri halafu wanasogoea karibu na mlango wa chumba ulicholala wanagonganisha majembe, hii ni...
Natumai mu wazima wa afya
Kuna huyu dada nadhani maisha yake ya ndoa yanakaribiana na yangu. Sijui hawa wanaume siku hizi wamekuwaje, mi nimeamua kuwa mpenzi mtazamaji akisema kitu mi ndio mzee...
." Hakikisha una mridhisha mkeo Kwenye Tendo la ndoa Na usiwe na muda maalumu wa kurudi nyumbani, namna utakayomzoesha mkeo siku ukibadilisha hata kwa dharura italeta matatizo. Ni bora usieleweke...
Shaloom....shaloom..!!
Baada ya kupitia tafiti nyingi za ndani na nje ya nchi,ingawa binadamu hutofautiana kwa mambo mengi,lakini ukweli ni kwamba mapenzi ni starehe inayoongoza dunianj kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.