Mama zetu, wanawake watu wazima, ambao hata biblia imewaasa kukaa na mabinti kuwafundisha juu ya kuomba na kuomboleza...ni muda umefika sasa wa kuwaambia binti zao ukweli wote.
Mimi sio writer...
Kuna kosa nilimkosea mpenzi wangu la kutumwambia ukweli kwa baadhi vitu vyangu hivyo baada ya muda aligundua nilikuwa namdanganya
Since alivyogundua amekuwa mkali kwangu mkorofi lakini pia...
Habari zenu?
Swali kwamba utajuaje kama mpenzi wako anafika kileleni muda unapokuwa unamsugua au hajafika kileleni hata kama kakuambia amefika. Au unatambuaje kuwa huu mguno wa mahaba ni kweli...
Habari za jioni wanajamii wote natumai mu wazima wa afya tele! Nakwawale ambao sio wazima wa afya MUNGU awajaalie mrejee katika afya zenu haraka!
Nina mpenzi wangu tuko naye kwenye mahusiano huu...
I mean ile situation uko na mtu ambaye si ndugu yako, na hamjawahi fanya mapenzi [emoji15][emoji15]
Tuseme labda kawatembelea nyumbani kwenu, may be akakukuta hapo nyumbani, akawa hataki hata...
Kuna Mwanamke mtaani ni anakaa jirani na nyumbani kwetu siku za mwanzo nilikuwa nikikutana naye dukani napokwenda kununua vitu ananichangamkia sana na kwenye kusalimiana ananiambia nikiwa napita...
Habarin, wana JF wezangu niko na ka kipande ka uzi nataka niwapatie.
Ilikuwa April 21. Mwaka 2020 niko zangu mishe mishe kipande fulani cha Moro na pambania 10 zangu.
Wachi wachi simu inaingia...
Kwa kweli kama kaka mtu nimehuzunika sana kupata habari hizi. Yaani binti badala ya kusoma na kumaliza elimu yake ya juu aje kuwa mwanasheria mzuri yeye anakimbilia kuolewa sasa ile ada niliyokuwa...
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye uhalisia wa Mada kuna kosa kubwa nimelifanya ukweni nalo ni kuzungumza uongo ambao umepelekea Baba mkwe kunikasirikia sana.
Uongo wenyewe ni kwamba...
Wazee nakuja kwenu nikiomba ushauri,
Kama kichwa cha habari kinavyosema japo mimi sio mtaalamu sana wa kuandika nitajitahidi kuandika machache na ya muhimu, mwaka 2018 nikiwa kwenye safari zangu...
Habar wakuu
Nimekuwa na shida kubwa sana ya kuwachukia wasichana wadodo wadogo under 30.. yaani hata sitamani kuwa nao kwenye mahusiano.
Najikuta tu nampenda majimama na masingle mother je hii...
Wakuu kuna demu mmoja nilimtongozaga yupo Kigamboni akakubari ila sasa maringo yakawa mengi ikawa Mimi ndio kama nafosi mapenzi basi nikakaa nae siku 5 Mimi naanza kumtafuta kila siku Mimi...
Wakuu Habari zenu.
Mchepuko bwana juzi ukanianza kunifokea ooh wewe mwanaume wa aina gani yaani unitafuti, upo kimya blablabla zilikuwa nyingi sana.
nikamuuliza so unaamajuaje maana kelele...
Habari ya asubuhi,
Kwa mawazo na fikra zangu sijawahi amini kuna mke anaweza kuwa mwema au ukapata mke sahihi katika makundi haya
1. Wanaofanya Jogging
Yaani hapa aisee kama una mke anafanya huu...
Khabari zenu...
Msaada kwenye tuta...ni ivi nimeoa naishi na wife but niko na mchepuko kitambo tu na nashukuru najua kukaficha ka mchepuk0 kangu na kamchepuko nako kanajua kujificha cuz anajua...
Siku hizi imekuwa kawaida kukuta haya madude kwenye mikoba ya kina dada ( usiniulize nilikuwa natafuta nini)
Je, tatizo ni sisi wanaume? Na je Serikali imeruhusu?
Issue nzima iko hivi,nilikutana na huyu mwansmke two weeks ago,nikachukua number tukawa tunachat,nikamtongoza akanielewa,basi bana tukawa tunachat sana huku tunanyegeshana.jana jion nikamuambia...
Wakuu, nimegundua kuwa nina kipaji cha hali ya juu cha kufanya mapenzi na wanawake na kuwaridhisha.
Hivi hii haiwezi ingia katika vitabu vya rekodi za dunia kuwa Kuna mwanaume anaitwa Bei Elekezi...
Habari za wakati huu watanzania wenzangu
Leo napenda kutoa ushauri wa bure kama ni mwanaume na umeoa mke zaidi ya mmoja au una mchepuko umezaa nao basi nakushauri andika wosia mapema isije tokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.