Nywele mojawapo ya 'viungo' vya mwili ama mazao ya mwili ni mojawapo ya malighafi muhimu kiroho na kimwili pia.... Nywele hizi za kichwani huota toka kwenye ngozi ya kichwa ambapo ndani yake ndio...
Maeneo mengi ya bara la Afrika, mapenzi yanatazamwa Kama sehemu ya kuchumia Mali.
Mfano mahari kubwa, kuhonga Mali na wanawake kujiuza, haya yote yanadhihirisha kuwa wanawake wa kiafrika hawana...
Habarini wakuu Nataka kujua kwanini hasa wanawake wanapendelea kuuliza maswali Haya kwa wapenzi wao au watu wa karibu
1.umekula? Ukisema ndio linafuata swali lingine la umekula nini au chakula...
Aiseee leo nimepata majanga kuna demu mmoja nimejuana nae kama wiki tu hatuna mahusiano ila ni marafiki.
Leo nimempanga kaja ghetto nikamnunulia chipsi kala tukapige vijistori yaani nilitaka...
Nikipita social media unakuta kama mwanaume amepost kitu then kuna sehemu ya mkono, unaona baadhi ya wadada wanasema " unakucha nzuri, post mkono niuone" sasa nauliza inamaa mwanamke anaweza...
Nina muda kidogo tokea niwasili mkoa huu wa Mara kwa kazi maalum ambayo itaendelea kuniweka uku kwa miezi kadhaa.
Kabla sijafika uku na ata baada ya kufika, nlishapata taarifa nyingi kuwa mkoa...
Upande wa pili kwenye Simu "Ujue mtoto toka Jana homa imepanda sijampeleka hospitali kwasababu hujatuma hela''.
Mshikaji ''inamaana umeashindwa kupata buku la kumpeleka hospitali mpaka uningojee...
Habari yako wapendwa poleni na changamoto za usafiri kwa wale wanaowahi sensa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naomba moja kwa moja niende kwenye uzi husika bila kupoteza muda. Imekuwa ni tabia...
Tukubaliane kwamba ukimkuta binti wa watu mwaminifu mlokole hana mambo mengi ana future yake ya kuolewa na ana shida zake akakuelezea zitatue kibinadamu usimtongoze wala kutembea nae muache...
Kwa mpenzi wako au mke wako kua makini sana na marafiki, Bilionea Elon Musk atafuna mke wa mshikaji wake Bwana Sergey Brin ambae pia ni muanzilishi mwenza wa Google.
Baada ya Elon Musk kumtafuna...
Wazungu moja ya sehemu walio fanikiwa ni kwenye kutafuta pair, sisemi kwamba hawana changanoto kwenye ndoa ila atlest huwa wana minimize sana.
Wazungu huwa wakitafuta Pair huwa wanaweka wasi...
Nimeandika uzi huu kutokana na uchungu mkubwa niliokuwa nao.. Mimi si mwandishi mzuri.Natamani kama kisa hiki ningemsimulia mtu kama gudume aandike yeye.
Roho yangu inanisuta sana. Toka nimeoa...
Habar ya wakat huu ndugu zang wana JF?
Mimi ni kijana chin ya miaka ya miaka 35, Elimu yang ni ngaz ya kat na juu (diploma + degree), nimejiajiri, mchaga.
Nilipokuwa bado ktk masomo yang ya...
Last time hapa nilikuja na kuandika uzi mfupi tu, sikupata muda wa kusema yoteee
Kuhusiana na hili janga la dada zetu wengi kushindwa kusimama kama Mke wa mume fulani na kukaa na familia wa...
Wakuu za mida hii.
Nina mchumba wangu ambaye nilimtolea kishika uchumba, tulibahatika kupata mtoto wa kiume, alijifungulia nyumbani kwetu(Kazi zangu nafanya sehemu ambayo haikumruhusu...
Mwanaume ukiwa na hizi sifa, wanawake wote warembo utawapata na kudumu nao:-
Uwe na pesa ya matunzo
Ujue kepelekea moto
Uwe ni mtu mwenye swaga za kiume
Uwe unakunywa pombe kwa kiasi
Uwe ni mtu...
Nataka kujua huwa jamii huwa wanamchukuliaje kijana wa kiume ambaye amekaa muda mrefu bila mwenza pengine tangu amalize chuo atakaa ata miaka 3 - 5 hana demu wala mke hata mtoto wakuzingiziwa yeye...
Nimewaza tu hapa, Dem ni kama tayari unaona mmeshapatana upande wa pwani kinchosubiriwa ni kwenda baharini kuvua, Ila cha ajabu anakuja mpaka chumba unacholala au mnaenda lodge ila anakataa kutoa...
Habari wakuu ..
Ndoa ni kitendo Cha kumtafuta mwanamke akusaidie Kula pesa zako huku akikuzalia watu wengine watakao hakikisha wanaziponda Mali zako kisawa sawa na mwendo unakuwa umeumaliza hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.