Breaking: Mchezaji wa Orlando Pirates atimuliwa kwenye nyumba na kufilisiwa Mali zake alizoaziandika kwa jina la Mkewe.
Mchezajini wa Orlando Pirates Tendai Ndoro (36) amepoteza Mali zake zote...
Leo nimemkumbuka my rafiki yangu sio kipenzi kwa sababu alikuwa anakera sana.
1. Anaweza kuvaa brazia zako .
2. Kuvaa nguo zako hataka kama ni special kiasi gani .
Naakiharibu kitu anasema kwani...
Habari ndugu wapendwa
Katika maisha ya siku hizi kati ya wanawake 10 basi kuamini mmoja tena awe mama yako mzazi tu hawa wengine achana nao kabisa ni wezi na waongo.
Nimeamua kusema haya sababu...
Jamani mtu akiolewa kaolewa na ukoo mtu anakuja na familia nzima .
Yaani wazazi wote wawili , dada , kaka na wadogo zake ndani yanyumba halafu hawana hata haya yakukaa na wao ndio wamefika. Hata...
Kuna Jamaa alikuwa akiambiwa na mkewe, huyu Aisha vipi mbona anajiachia sana kwako hakuheshimu Kama Mjomba wake? Jamaa akawa anamjibu mkewe acha mambo ya kipumbavu, Sasa wewe unahisi nini mpaka...
Sijakosea kuleta huu Uzi kwenye jukwaa la mahusiano na si jukwaa la afya.
Mimi ni kijana 29yrs, nimekuwa kwenye mahusiano tofauti tofauti, na kitandani nilikuwa vizuri sana kitandani.
Mwaka 2020...
Jamani nimemmisi ex's wangu najaribu kumsahau ila haipiti week bila kuchungulia kwenye Account yake ya Instagram amepost nini, kila siku anazidi kupendeza kama vile nilikuwa namtesa, najaribu...
Wadau habari,
Mimi ni kijana wa Makamo nina maisha mazuri tu na sijaoa. Sasa kuna Dada mmoja tulikaa naye mtaani(familia zetu) baada ya muda mrefu tumeonana nae nae baada ya mimi kuhamishiwa...
Ni kwanini Wanawake wa nchini Uganda, Namibia na South Africa maumbile yao ya Kibaiolojia ( Mbunye ) huwa yanabana sana pindi unapokuwa unafanya nae Mapenzi na ' utelezi ' huwa unausikia kwa ndani...
Habari za mda huu wapendwa natumaini ni wazima na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kujenga taifa.
Kwa upande wangu nipo tayari kuhesabiwa.
Kuna watu wapo katika hali ya kukata tamaa kabisa...
Kuna baadhi ya bar mameneja wanajua kuchagua bana.
Na hapa nshakula wawili. Hawajijui. Nimekula watoto wa jikoni Hadi cashier. Kondomu ndio silaha namba Moja.
Acheni bana Kuna Watoto wazuri hapa...
Kama mada inavyojieleza hapo juu Ni Kwamba asilimia kubwa ya wanaume kamwe hawawezi kuwaoa wanawake/ wachumba wao waliosota nao kipindi kirefu. Wanaume tunafeli Sana kwenye hili suala.Binafsi...
Watu wa Jamii Forum Salaam, Naitwa Mfukuza Ndoto, Nina umri wa katikati ya ujana naishi mkoa fulani kanda ya kati. Basi bwana mnamo mwaka fulani nikiwa na 20+yrs nilitokea kumpenda binti fulani...
Mpango wa shirika la afya Dunia WHO hadi kufikia mwaka 2030 na kuendelea ni kuhakikisha wanauzuia maumbukizi mapya ya HIV Duniani Yani Kwa lugha rahisi ni kwamba kufikia hiyo mwaka shirika la afya...
Kwenye maisha yetu ya kila siku kila mtu ana vipendeleo vyake(preferences), mtu kusema preferences zake wala hakuna ubaya wowote. Mimi kwenye mahusiano siwezi hata kwa bunduki kutoka na aina hii...
Mimi ni mgeni kidogo hapa ingawa nimeanza kusoma threads za JF kitambo kidogo ila sikuwahi ku-sign in mpaka hapa juzi juzi tu nilivyoamua kufanya ivyo.
Maisha yangu kimahusiano sijapitia...
Mabinti Ni vizuri kujitunza kabla ya kuolewa hii italeta heshima kwa familia na mumeo ata kueshimu Sana, hata na jamii itakueshimu kwa sababu binti au mwanamke ni kama kioo kwa jamii, lakini hata...
Watu wengi ambao hatujawahi kupenda au kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi hatujawahi kuumia tunaishi kwa furaha na amani ya moyo, hivi ni kweli kama hujawah penda huwezi kuumia kwenye mapenzi ?
Habari wanabodi ni matumaini yangu mu wazima
Kama ada wana MMU, vipo visa vingi tunafanyiana wanandoa hasa mtu kuumizwa na mapenzi na mtu mwingine ilhali mtu una mke/mume.
Iko hivi Kuna kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.