Mosi,baba mtoto ni mtata muda wote anaweza kukataa mtoto kuwa si wake, hapa Mungu uamua kumaliza utata, angalia mimba zote zilizokataliwa watoto hufanana na baba zao.
Pili, mama ni mtata, yaani...
Salam! hapa jamvini tumekuwa tunapeana matukio yetu ya kila siku, mapenzi mahusiano, matatizo nk.
.
.
leo nimeamka na hilinla kuwapa moyo wapambanaji wanaoelekea kukata tamaa na maisha haya, kuwa...
Habari za Muda huu I hope mpo njema!
Ni hivi,
Kuna jamaa yangu anasaka mke wa kufanya nae maisha Now Ana Miaka 29 sasa katika harakati za kumsaka mwandani wake! Akakutana na binti anaefanana...
Habari,
Nimetengana na mzazi mwenza takribani wiki tatu sasa
Ila leo nimepata ujumbe ya kuwa kaenda hospitali kuchoma sindano sasa sijui hii kitaalamu inaitwaje.
Habari za saizi wakuu.."
Natumaini wote wazima
Nina miezi miwili nipo kwenye mahusiano na mpenzi mpya na ninampenda ila shida ni yeye mwanzoni aliniamboa ayupo kwenye uhusiano na mtu yoyote...
Nilikutana na mademu kama watatu ivi wenye breach kichwani nyakati tofauti tofauti na kufanikiwa kupata utamu wa asili kiraisi mno bila ata kutumia nguvu lakin sasa kimbembe hawa mademu ni shida...
Habari za jioni wanajamii,
Kichwa cha habari kinajieleza.
Hivi vitu kwa kweli, japo sijasoma tafiti, kwangu vinaongeza matamanio. Yaani mwanadada akiwa hana, labda itokee tu (kama sheikh), ila...
Habari,
Kwa masikitiko makubwa baada ya kugundua mke Wangu anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.
Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto...
Marriage can become unbearable when trust is broken which often leads to arguments, disagreements, and a total breakdown of law and order in a relationship. Conflicts are commonplace in marriages...
Habari wanajamvi,
Katika harakati nzima ya uchakataji mbususu kumekuwa na changamoto kutoka kwa wanawake kuhusu wanaume hasa katika suala zima la mapenzi!
Tumeweza kushuhudia katika social media...
Habari za mchana wanajamvi,
Kuna hiki kitu binafsi mimi sikipendi japo bado kimekuwa kigumu kutoka kwenye baadhi ya vichwa vya watu.Wiki moja iliyopita jamaa yangu ambaye ni mwenyeji wa mkoa wa...
Wakuu,
Nauliza tu kuwa kwa hapa Tanzania, familia zao zinapatikana sanasana maeneo au sehemu zipi mikoani?
Nawapenda sana hasa kwa mwonekano wao na ukarimu walio nao! Ukimpata ambae mzazi wake...
1.Uvivu
Mwanaume mvivu, omba omba ambaye hukaa juu ya kochi na kunyoosha mikono kuomba hela kwa mwanamke, hafanyi kazi yoyote yupo yupo tu anasubiri mwanamke wake amletee hela.
Biblia inasema mtu...
Nilishawahi mdanganya mwanafunzi IFM pale Kigamboni kwenye pantoni nasoma CPA kumbe ni darasa la Saba failure tu na kaingia kingi kweli ishu ilikuwa kakiomba kaje nikafundishe maana kalinambia...
Nyie si ndio huwa mnajisifu ni majebedali sasa kiko wapi? Mbona mna mioyo ndembedembe sana? Ulevi wa kupindukia ni nyie.
Unyanyasaji dhidi ya wake zenu ni nyie, kukatakata mapanga wenzenu eti...
Nikiwa mwanamke mzaliwa wa mkoa wa tanga kuna kitu nimejifunza kwangu mwenyewe na kwa wenzangu pia.
Wanaume wa bara wanatupenda sana, lakini kinacho haribu mahusiano yetu huwa ni wazazi wao...
Habarini wana jamvi. Natumai mu wazima wa afya kabisa.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kama kichwa cha habari kilivyosema. Wewe kama binadamu uliyekamilika kifikra na kihisia, unawezaje...
Huu ni mtihani mkubwa tunaopata sisi wafariji.
Kwa week sasa huyu dada yangu wa hiari nimekuwa nikimpa ushauri nasaha baada ya kupigwa tukio na mmewe. Nimekuwa nikimtia moyo apuuze na amsamehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.