Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wadau! Kiukweli na kiasilia mwanamke wa kiafrika ndio mwanamke wa kwanza (mzuri, mwenye upendo wa kweli na vigezo vya mke mwema)kuliko race yoyote Duniani,wazungu walilijua hili...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Watoto katika hatua zao za ukuaji na kujifunza wanakuwa na mambo flani flani ya kufurahisha sana yaani mwanao anaweza kukuvunja mbavu balaa. Mfano 1. Mwanangu (1.5years) anaweza kuwa anatazama...
153 Reactions
714 Replies
112K Views
Salaam!! Ee bana eeh haya maisha bana mambo hubadilika anytime Nakumbuka enzi hizo nikiwa chuo kikuu nilikuwa na rafiki ambae urafiki wetu naweza kusema ulifikia level za undugu kabisa, ni...
14 Reactions
27 Replies
4K Views
Salama wakuu. Naleta Uzi huu kwenu mnipe ushauri napata shida kufikiri Sana kwamba shanga zinaongeza mahaba kwa mwanamke kivipi? Au zimewekewa ashiki kuwa mwanaume akiziona dushe linatuna na...
4 Reactions
76 Replies
10K Views
Mwenyezi MUNGU tunusuru waja wako, Tunahitaji huruma yako na ututie nguvu ili tuwe na mwisho mwema. Iko hivii, Jana ilikuwa ni siku ya furaha kiasi, nimemaliza kazi zangu ndogo ndogo ofisini...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
Juzi jumapili nikasema ngoja niende kanisani kwanza japo nikashiriki na watu katika ibada ya hapa na pale nikachukua kagari kangu ka ist kabovu nikatoka magetoni kipati mbagala hadi keko kanisa la...
11 Reactions
22 Replies
2K Views
1. Ngono inaweza kubadili kila kitu Ngono ina tabia na kubadili vitu, na kama ukishiriki tendo la ndoa na rafiki yako wa karibu, aina you ya urafiki wenu hubadilika kabisa. Unapomtazama mtu ambaye...
7 Reactions
47 Replies
5K Views
Dada mdogo wa marehemu mke amesema dada yake alimwambia kashachoka kutukanwa na mumewe na hadhani kama ndoa ina manufaa, mdogo mtu aliendelea kumshinikiza amalize mgogoro kwani yeye anaona...
5 Reactions
51 Replies
6K Views
Wanaume wenzangu tunatafuta pesa kwa tabu sana, pia tukishapata pesa nazo zitutese kweli? Hawa wanawake tunaowaita pisi kali ni pasua kichwa, wanaume tukishapata mafanikio tunajinasibu kuwa sasa...
8 Reactions
17 Replies
885 Views
Heshima zenu wakuu? Ni tumaini langu kwamba hamjambo wote humu ndani na mnaendelea vyema katika mapambano ya kuyatafuta maisha yaliyo bora na mazuri. Wakuu kama mjuavyo, ujana una mambo mengi...
4 Reactions
33 Replies
5K Views
Katika Maisha yangu mimi kula vizuri kulala katika Godoro la Futi 10, Mboga za majani Nyama, juice Safi hayo ndo Maisha yangu napenda. So siwezi kuishi kwa kuwatengenezea Maisha watu watakaozaliwa...
12 Reactions
18 Replies
993 Views
Mpo wana MMU. Sikujua kama moja ya mambo wasiyoyapenda wanawake ni kuwa na Chogo, siku ya tatu leo amenipiga Pini kisa kumwambia anachogo, ni Mdada Pisi yakwenda, sikujua akinyoa kichwa chake...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Nina jamaa angu ambaye ni kama kaka angu ameajiriwa kama mwalimu ya shule ya msingi moja ya shule hapa jijini dar es salaam tangu mwaka 2004. Mwaka 2006 ticha alifanya kosa moja la kizembe sana...
12 Reactions
88 Replies
8K Views
Mara nyingi tunaposikia sheria za MUNGU tunaona kama vile zinatubania tu! Sio ajabu, ndio uongo wa nyoka tangu mwanzo alipomwambia Eva kwamba mkila hamtakufa, sio kwamba MUNGU kawakataza kula...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Hiyo couple ya awali tusiilaumu sana kwa kula lile tunda!,laiti wasingekula wao naimani kabisa kuna mwamba huko na pisi kali yake wangekula tu!.. just jiangalie hata we mwenyewe na huyo partner...
4 Reactions
19 Replies
883 Views
Pamoja na kuwa kuna wanawake husita kuolewa, lakini jambo hili si kubwa sana kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume. Kwa kiasi kikubwa katika suala la kutaka kuingia ndani ya ndoa, wanawake ni...
11 Reactions
34 Replies
5K Views
Jirani yangu Rosa alijaliwa mtoto mmoja wa kiume. Walimsomesha mtotoekatika shule za gharama na walimpa kila kilichokua katika uwezo wao. Rosa na mume wake walijenga nyumba nadhifu na mume...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
1. Baadhi ya jamaa zako wanangojea kwa siri kushindwa kwako. 2. Hakuna anayejali jinsi maisha yako yalivyo magumu isipokuwa wazazi wako tu. 3. Watu wengi hawabadiliki wanajifanyisha tu wawapo...
12 Reactions
18 Replies
900 Views
Shoo Shoo Kali ni Kali ! Kwa ufupi tu unapotaka kula njaa ni yako na kushiba ni jambo binafsi na kuridhika na msosi ni jambo binafsi hasa ladha ya ulimi wako, ubora wa meno, test ya chumvi...
3 Reactions
6 Replies
919 Views
Kumekuwa na wimbi la wanaume wengi kuwa na stress kiasi kwamba wanapopata msongo mwingi wa mawazo wanafikia hata kuongea barabarani peke yao kiasi kwamba ameshindwa wa kumshirikisha jambo lake...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom