Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Rafiki yangu Leo nimemsikia akiniambia sauti anazotoa yule mke wangu chumbani zinaweza kuniua. Fikiria nyumba moja mmegawana vyumba wewe na aliyekuwa mkeo baada ya kuachana. Wamepatana kila mtu...
34 Reactions
197 Replies
19K Views
Hili ni swala la kukumbushana tu, sikuhizi watu wanajivika vitu vya thamani si haba na wala si dhambi,lakini kumbuka ndani yako ndio inajenga nje yako! Nje yako unajisitiri na nguo za gharama...
3 Reactions
6 Replies
661 Views
Habari zenu wanandugu watanzania wenzangu. Niende moja kwa moja kwenye mada kama inavosomeka hapo juu.Ni siku chache toka nifike hapa Dar nikitoka zangu mkoani pia nimepata kutembelea sehem...
1 Reactions
47 Replies
9K Views
Watu wanaikosa sana hii huduma,yaani ile huduma ya kusingwa mpaka mwili unakuwa mwepesiiiii.Unakuta umekaa kwenye kiti ofisini siku nzima,mgongo umeganda na kuuma hata ujinyooshe bado mwili mzito...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari wanajamvi, Wacha niende moja kwa moja kwenye hoja. Mimi ni mke wa mtu nina miaka kadhaa kwenye ndoa zaidi ya kumi, namuheshimu mume wangu na nampenda sana pamoja na watoto wetu, naye...
19 Reactions
240 Replies
24K Views
Kwasasa usitegemee mwanamke anaweza kukuonea huruma wewe mume wake, haijalishi unapambana vipi kwa ajili ya familia yako, anytime anaweza kukufanyia tukio la hatari. Kwasasa hawa viumbe tuliozoea...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Unapokuwa binadamu mwenye uwezo mzuri wa akili lazima ujue kuchuja vitu na lakuongea si kila jambo nilakutiririka tu!. Kuhusiana na mtu ni sehemu ya utimilifu wa hisia pamoja na akili. Baadhi ya...
10 Reactions
30 Replies
2K Views
Kufanya mapenzi ni jambo muhimu sana katika mahusiano. Huwakutanisha na kuwaweka pamoja wewe na mpenzi wako. Mapenzi hulifanya penzi lenu kuwa hai. Kufanya mapenzi ni kichocheo muhimu cha kuamsha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani za weekend natumai nyote ni wazima na buheri wa afya Ndugu zangu aisee nimekamatika najuta kukatongoza katoto ka kinyamwezi. Yapata mwaka mmoja tangu niwe kwenye mahusiano na huyu mtoto...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Wanawake wamekuwa wanatulaumu sana kwamba huwa wanatuvumilia sana kwenye mahusiano tunapokuwa hatuna kitu yaani apeche alolo,juu ya mawe!,lakini tukipate pesa tunaenda kwa wanawake pisi kali na...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Nahisi uvumilivu umemshinda Katokea sehemu wanaongea kifaransa kwenye story za hapa na pale kwao kuna WANAUME WANAOJIUZA yaani kama ilivyo kwa wadada nimeshangaa sana Kwamba inawezekanaje
5 Reactions
42 Replies
7K Views
Ni ngumu sana kupata mwanamke ambaye. 1. Ana akili 2. Ana rangi nzuri 3. Ana sura nzuri 4. Ana body nzuri 5. Anajiheshimu Nimeshauriwa hapo nioe wanawake tofauti tofauti kama watano au zaidi...
0 Reactions
5 Replies
766 Views
Salamu zenu nyote. Niende moja kwa moja kwenye mada. Katika kuperuzi mitandao nimekutana na mtu mmoja mwenye mtoto alie na cancer ya damu. Lakini pia mke wake alishafariki miaka ya nyuma so ni...
2 Reactions
6 Replies
848 Views
70% ya wamarekani wameshafanya "casual sex" na mtu fulani japo mara moja na hata takwimu zinaonyesa na na za UK, naamini pia hata kwa hapa kwetu. Kubali au kataa, kwa sasa tunaishi ulimwengu...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Hivo kwa nini mtu akitoa post yake mnamponda nakutoa maneno mabaya raja yenu nini? A. Hatujawaomba uoe wanawake wasiowapenda wasiowadhamini au wanaume wasiowadhamini maana ndio stress zipo hapo...
1 Reactions
6 Replies
399 Views
Habari wanajf Mimi ni mkristo moja kati ya ndoto zangu ni kuwa na wake wawili mmoja muislamu mwingine mkristo. Hii kitu imekuwa ikija kichwani hivi karibuni kwasababu nimekuwa na bahati ya kupata...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Sasa kama ana mke si atulie na mke wake kwa nn anatomba tomba ovyo watoto wa watu ona sasa kaingia cha kike
1 Reactions
0 Replies
409 Views
Natumai siku imeenda vizuri! Moja kwa moja kwenye mada, katika jamii yetu ya Kiafrika kuwa na wake zaidi ya mmoja (ndoa ya mtaala) ni jambo la kawaida toka enzi. Changamoto iliyojitokeza ni ujio...
18 Reactions
101 Replies
9K Views
Hapa nataka kuongea na vijana wanao jipanga kuvuta majiko au walio vuta majiko mabovu. Nikisema mwanamke mwenye njaa namaanisha mwanamke asie na kazi au mwanamke asie taka kujishughulisha...
12 Reactions
65 Replies
4K Views
Habari watu wa JF Mimi ni msichana 23yrs sikuwahi kuingia kwenye mahusiano, ila 2019 nilianza mahusiano na kijana fulani yeye ni 31 yrs, ni mwanaume wa kwanza kwangu alinipenda sana na mimi...
14 Reactions
67 Replies
5K Views
Back
Top Bottom