Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna jamaa yangu alikuwa na demu wake mzuri kweli, ila demu akasema hataki sex mpaka waoane. Jamaa yangu akaona sio hiyana akaamua kumwoa, sasa katika usiku wa fungate wakiwa huko Kruger...
10 Reactions
92 Replies
7K Views
Habari ya asubuhi wapendwa, Jana usiku babu wa Kasie amenibembeleza kiaina yake, nilikuwa kila nikijigeuza usingizi hauji, kila nikigeuka huku usingizi unagoma nikamwambia babu mie sipati...
14 Reactions
286 Replies
45K Views
Asalam wana jamii! poleni na majukumu ya hapa na pale! . Niende moja kwa moja kwenye hoja! . . Ukisoma nyuzi nyingi za hapa jamii forum zinawaongelea vibaya sana wanawake ambao wameajiriwa na kuwa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Said alimpenda mkewe kiasi Cha kupitiliza akafika stagi ya kuwa na wivu mapaka kumzuia asiwe anatoka home. Said inaonesha alifika stage alikuwa anashidwa kujicontrol yeye Kama yeye akiwa na...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Sasa hivi ndo naamka kutoka usingizini huku moyo wangu ukiwa bado umejawa na hasira za tukio la jana jioni! Nilikuwa nimekaa kwenye kibenchi cha nje ya duka moja huku nikiwaza kesho ifike niamkie...
11 Reactions
47 Replies
3K Views
Kwako mpenzi, Najua unatembelea jamii forum mara kwa mara, Nimekutafuta sana ila sina uwezo wa kukupata ulipo ili niuwakilishe huu wimbo live kwako. Mimi kwangu nimeona hapa ndio mahali sahihi...
0 Reactions
8 Replies
918 Views
Miaka hiyo nipo zangu chuo ndio tupo dakika za mwishoni kukibwaga chuo. Basi Kuna huyo manzi alinivutia hivyo sikutaka niende kwa kumtongoza , nikaamua nianze na huduma kwanza then ndio nije...
10 Reactions
73 Replies
6K Views
  • Closed
Wakuu asalaam Aleikum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, nawasalamu kwa jina la Jamhuri ya Muungano. Nije kwenye mada mimi ni mwanaume ambaye kidogo nimeshavuta vuta umri kiasi (niko...
10 Reactions
160 Replies
13K Views
Japo kwa uchache jitahidi kupata private moment ya kufanya tafakuri wewe mwenyewe (saivi wanasema wewe kama wewe), ukiwa kwenye utulivu mbali kabisa na makelele ya binadamu mwingine awaye yeyote...
3 Reactions
4 Replies
890 Views
Huyu Jamaa kapata mwanamke mzuri na mimi i wish to get such Woman. Mwanamke anayekomaa na we A part of challenges u face she is right woman. Nb simpendi Sabaya ila napenda nipate mwanamke kama...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Asilimia kubwa ya mada nyingi humu zinazungumzia kuchapa k na kulala mbele. Je, somo la mapenzi liingizwe mashuleni maana wanaume tunakosa uvumilivu wa kuishi na ke Je, wazee wetu waliwezaje...
2 Reactions
5 Replies
606 Views
Imekua almost a few month now tangu niwe katika Hali hii back to my point I have been through hell in relationship so sijui ndo hii Hali nayojiskia ndo imetokana na hivyo I don't...
9 Reactions
129 Replies
11K Views
Umeenda mahala kula mzigo na una hamu kinyama na binti mrembo na anakubali umtafune na umvue nguo zake. Lakini ukimvua tu nguo unakutana na chale mwili mzima za kila aina. Hapa unapata picha...
1 Reactions
103 Replies
10K Views
Pamoja na zawadi ya £60m Brad pia ameinunua nyumba waliyoishi na Jeniffer wakiwa wanandoa na kumpa Jennifer kama zawadi. Nyumba hii iliuzwa kama sehemu ya makubaliano ya talaka. Brad aliongea na...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Huyu jamaa angu mzee wake alifariki akiwa mdogo wakiwa wameachwa watoto watano yeye na watoto wengine. Mzee aliacha asset kias kwa hyo bi mkubwa akawa anazismamia. Baada ya baba yao kufariki mama...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu heri ya mwaka mpya, naamini mmeanza mwaka mpya kwa utulivu kabisa, maake najua stress za karo tushaachana nazo tangu 2021 Dec. Leo imeniuma sana baada ya kujikuta usiku wa leo natembea na...
25 Reactions
139 Replies
17K Views
Nishawahi kuandika humu kuhusu mahusiano sugu humu mkanipuuza Saizi mnaishi humo mnashindwa ku move on Mmegeuka watumwa wa wapenzi ambao hamuoni future kwao Kila siku ni vilio vya hasara ya...
0 Reactions
2 Replies
466 Views
Ni rafiki yangu tumejuana miaka kadhaa iliyopita, anaishi na mwanamke ila hawajafunga ndoa, though ana watoto naye, wawili... Kimbembe kinakuja, pamoja na kuwa na huyo mke ambaye hajafunga naye...
29 Reactions
140 Replies
8K Views
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 naishi Tabata Jijini Dar es salaam, nimejitokeza kwenu kuomba ushauri, Mimi na mpenzi wangu ambae amenisomesha toka form one hadi sasa nipo chuo kwani...
12 Reactions
917 Replies
76K Views
(1) Kuomba pesa; Hiki ndiyo kipimo cha kwanza ambacho mabinti wengi wanakitumia, wanaamini mwanaume akikupa pesa basi anakupenda. Utasikia “Muombe pesa ujue kama yuko siriasi na wewe au la?”...
27 Reactions
118 Replies
6K Views
Back
Top Bottom