Kama kichwa cha maada tajwa hapo juu je kwa mustakabali wa ndoa na familia je maisha hayo yanafaa au yana athari kwenye saikolojia na hisia?
Binafsi nimewaza Hilo Jambo nikavutiwa nalo natamani...
Habari zenu wakuu.
Kuna jamaa hapa anafanya kazi katika kampuni ya insurance mjini. Pale anapofanya kazi yeye ni subordinate na ana supervisor wake mwanamke. Jamaa alitokea kumpenda supervisor...
Miaka kama mi 4 nyuma kuna mpangaji wetu alitembelewa na mdogo wake kutoka Singida, nikatokea kumpenda sanaa huyo mdogo wake, nikamtongoza akakubali akamwambia na dada yake nae akasema fresh tu...
Wasalaam!!
Hivi hii kauli inayosemwa na wanawake hasa mkiwa na migogoro eti "nimekuheshimisha unaitwa baba" inakua na maana gani kwenu nyie wanawake!!?
Hivi wee mwanamke unapojiona upo juu na...
Aisee kupigwa chini kunauma Sana.
X awaletea maharusi zawadi ya Bomu na kuwalipukia 😂😂😂😂.
Ukute huyo demu alikuwa Sana vya jamaa kabla ya kumbwaga na jamaa kaamua liwalo na liwe tukose wote 👇
MARRIAGE IN SOUTH SUDAN MEANS 4 YEARS OF FREEDOM FOR BRIDE
Today we tour the Dinka custom of marriage. Despite payment of dowry that ranges from 100 to 500 cows, women are treated godly.
Once a...
Kuna rafiki yangu kipenzi sana tupo kama ndugu, ni msomi mzuri sema amekosa connection ya kupata kazi ya maana. Ni muda sasa amekuwa akiishi kwa mama mmoja ana watoto wawili kila mmoja na baba...
Mi naona kama nina gundu. Sijui kwa nini, sipendwi na mademu wakali. Najaribu sana kutengeneza mazingira ya mimi pia kupendwa lakini wapiiiiiiiiiii nakutana na mademu tu wa kawaida kabisa. Kuna...
Hi guys,
Mwajionaje na hali? How's weekend outta there? Natumaini mnaendelea tu poa, so am I.
Nimejiuliza nikashindwa kupata jibu hivi ni kwanini pale tunapoumizwa na kupatesekea sana ndo pahala...
Huu utaratibu wa kupigiana simu mara kwa mara kwenye mahusiano huwa yanashusha upendo.
Asubuhi unapiga simu zaidi ya mara tano, mchana na usiku ni hivyo hivyo, kinachoongelewa ni nakupenda...
Hii Ni baada ya kuangukiwa kitu kizito kutoka juu ya shelve na kuumia bega la kushoto na michubuko kadhaa shingoni. Hali Iliyonipelekea kulazwa kitandani kwa Siku 3 hospitali.
Sasa Siku ya 1...
Wakuu Poleni na Songombingo la Ma Headmaster January hii.
Wakuu nakuja mbele yenu kupata busara zenu na namna mnavyoshughulikia Changamoto za kifamilia.
Mimi ni kijana wa miaka 34 ambaye ni...
Habari wana JF?
Nina mdogo wangu amepata post ya kazi mkoani Tanga baada ya safari ndefu ya kusaka elimu. Ni mwaka na miezi sasa imepita tangu aende kuanza maisha hayo ya kujitegemea.
Hivi...
Habari za jumapili wana jukwaa, bila shaka najua mnaendea vizuri na matatizo yenu.
Kuna hili jambo haliongelewi sana ila linatesa sana vijana. Iko hivi nna rafiki zangu Kama wanne wamezaa tu na...
Wakuu.
Habari naomba Tupeane Mikasa ulifanyaje ulipompa Demu/binti mimba katika muda ambao haukujiaandaa.
Naona kitu kizito kimetua kichwani maana kuna Bo
Binti nimesababisha Tayari
Habari za Jumapili njema wapendwa, sifa zote apewe Mungu muumba mbingu na nchi. Amina.
Soma kwa makini kuna fundisho hapa
Jamani nimekuja humu ndani kupata suruhisho la masaibu yanayo nisumbua...
Shebby si mwanangu kiviile sema anahusika sana kunipa mapande mbalimbali. Mchizi wangu kibonge Suddy ndo zinapanda sana japokokuwa hana mchongo wa maana hapa town. Huwezi amini majuzi kati...
Wakuu heshima kwenu,
Bila kupoteza muda niwe straight. Nipo kwenye mahusiano na msichana ambaye kimsingi ana maadili, mzuri wa sura na maumbile yake, tabia zake, anajua mapishi, ana akili kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.