Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kwa Usalama wa wewe na Mpenzi wako hasa unapokuwa umemuacha nyumbani peke yake au hata familia na wewe upo mbali nae,Kuna maswali ya mara kwa mara mnapaswa kuulizana ili kila mtu kujua Usalama wa...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wana MMU, Moja kwa moja niende kwenye mada, Wiki hii nilikutana na demu wangu kwa ajili ya mgegedo. Lakini tukiwa katika harakati hizo, alishangaa first round ikichukua kama dakika...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
Wakuu poleni na mihangaiko ya hapa na pale nimefungua ofisi kubwa sana hapa mjini ya kuchezesha game pes sasa hapa ofisini kuna mkusanyiko mkubwa wa biashara sasa kuna mdada mmoja hapa ana genge...
6 Reactions
40 Replies
3K Views
Leo nilikua sehem fulani asa nilikua nimekaa kwenye kiti wakati nimekaa nikawa naweka kitu kwenye meza iliokua nyuma yangu bila kugeuka kuangalia kwanza 😂 Kumbe karibu na ile meza kulikua na...
0 Reactions
7 Replies
695 Views
Mfumo dume unamtambua kama kiumbe dhaifu, asiye na nguvu.... Huu ni upotoshaji mkubwa labda nguvu hizi za kimwili na si kiroho.... Namheshimu sana mwanamke hasa asili yake kiroho na in fact...
22 Reactions
111 Replies
14K Views
Hello Wadau!! Huu ujumbe kwa waleee wanajijua wenyewe nasubiri comments zenu za makasiriko. Yani mpo kwa relationship Toka upo chuo ulivyokuwa na 22 Hadi Leo uko na 32 na eti wamsubiria mtu...
0 Reactions
12 Replies
928 Views
Dogo anaendesha boda boda mtaani kwetu, akapata demu mmoja pisi kiasi akamtokea demu akakubali lakini demu akatoa sharti kwa dogo kwamba Kila watakapoonana dogo ampe demu 20k Dogo akakubali...
44 Reactions
69 Replies
7K Views
Kiufupi mapenzi hayana Fomula Ni Bora kudeti na demu wa kawaida sura ya Baba kipindi ukiwa katika hard moment ili kusoma upepo wa. Maisha na kuitafuta Kesho iliyo Bora . Sura ya Baba hawana...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwanini ni rahisi hili neno kuambiana mwanamke na mwanaume na pia mwanamke kwa mwanamke ila sasa ikija kwa mwanaume kwa mwanaume inakuwa vigumu kibongobongo? Je, mwanaume unaweza kumwambia...
10 Reactions
97 Replies
9K Views
Helloo.jamani natumaini mnaendelea vizuri wote,sasa kilichonileta ni kutaka kujua kua: katika familia mara nyingi wanaume humchagua mtoto mmoja wakiume miongoni mwa watoto wengine. Huyu kazi yake...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nani kama mama ni msemo maarufu sana tangu zama za kale hadi sasa!,hakuna chakubalisha katika msemo huu!,pia mara kadhaa ama kila siku watu wamekuwa wakiwasifia mama zao kuwa ni bora sana na pia...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Mwanaume mmoja nchini Uingereza anayefahamika kwa jina la Tony Garnet, ameachana na mkewe Lorna Garnett aliyedumu naye kwa miaka 10 na kufanikiwa kupata watoto wawili, na kuanza mahusiano mapya na...
9 Reactions
42 Replies
3K Views
Katika nyumba za kupanga nimejionea mambo kadhaa ambayo yamenipa mshangao. Wadada wengi hujikuta wanaliwa na wanaume wengi kadri wanavyo hama hama nyumba. Hata mabinti wadogo nao ni wahanga wa...
21 Reactions
205 Replies
19K Views
Mimi ni mkatoliki, nina miezi mitatu tangu nifahamiane na rafiki yangu wa kike mlokole ambaye tulikutana kwenye course ya muda mfupi inayohusiana na fani yetu, ila tangu siku ya kwanza...
0 Reactions
93 Replies
10K Views
Habari wana JF. Twende moja kwa moja kwenye mada na kuomba ushauri juu ya hili. Kuna hali inanitokea si ya kawaida nikiw mwnye hasira sna ni mwenye kutetemeka na kuhisi bard haswa. Nilikuja...
0 Reactions
7 Replies
745 Views
Ni ndugu yangu kabisa mdogo wake mama kapata kazi sasa yuko kwenye training akaniomba kukaa na mm kwa muda.. Jana kamleta demu wake na wamefanya uzinzi kitandani kwangu. Nilimkataza Nimemwambia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Hili jambo nimekua nalisikia sikia sana kwa watu. Kwamba kuna baadhi ya Wanawake ukiwa nao kwenye mahusiano au kufunga nae ndo wanakuwa kama mkosi kwako usifanikishe masuala yako Kila...
5 Reactions
38 Replies
4K Views
Ndugu zangu kama nilivyokuja kipindi kile na malalamiko yule bwana angu jamani baada ya ushauri wa hapa kweli nilijihidi kumuacha yule bwana maana nilichoka pia aisee, japo haikuwa rahisi Sasa...
5 Reactions
126 Replies
12K Views
Kwangu naweza kusema ni kama mke maana kwetu wanamjua ma kwao wananijua, ila kuhusu ndoa hapo huwa nalikwepa sana hili jambo, huwa naona vile ndugu, jamaa ma marafiki baadhi yao wanavyoteseka...
23 Reactions
92 Replies
5K Views
Back
Top Bottom