Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu hapa niko hospital Jana nimepigwa vibaya mno. Nilienda grocery moja hivi nikamkuta mhudumu mmoja wa kike mzuri balaa, nikaanza kumtongoza kumbe pembeni jamaa aliyekua anapiga mvinyo ni...
15 Reactions
35 Replies
3K Views
Nimeona kapost picha ya bwana yake, nikamuuliza ndio shemeji au?akajibu ndio, nami nikamwambia he looks smart, akanijibu smart kama wewe. Hii sentence ya kumfananisha mumewe na mimi nyie...
4 Reactions
42 Replies
4K Views
Kwa ufupi kila nikisikia ile nyimbo ya kijana Diamond aliyoimba na Zuchu, mbo..00 inasimama ghafla. Vijana tafuteni pesa ili uzeeni mfurahie maisha, ni wewe kuchagua leo uwe na amina, mke wa...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Wakuu mwili wako na nafsi yako inafurahia Zaid muda gani ukiwa macho mchana unafanya maisha na mishemishe zako au Bora usiku tunapoenda kulala ndio unahisi viungo vinajinyoosha vizuri.binafsi Mimi...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Iko hivi nina rafiki yangu mmoja ambaye anaendesha magari daladala za hiace isela to magu. sasa kwa uzuri aliniambia mapema kuwa kuna dada kakosea namba kutoka segerema na anamchatisha sana hivyo...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu habari za mapumziko. Bado sijampata sugar mumy tukomae pamoja. Hawa maslay queen wasitaki kabisa, usumbufu umekuwa mwingi
1 Reactions
2 Replies
516 Views
Leo ni Alhamisi alfajiri... Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa.... Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022. Baada ya hicho kibwagizo sasa...
12 Reactions
127 Replies
6K Views
Nakumbuka mimi nilipokuwa na umri 6-13 nilikuwa mkorofi natukana sana watu sichagui mkubwa au mdogo, nilikuwa na matusi hatari na kupenda kurushia watu mawe, pale mtaani wakawa wanamwita mama...
13 Reactions
65 Replies
7K Views
Haipiti muda bila kukutext limemisi uchakataji, ata ukitoka kuichakata ikipita masaa kadhaa lazima likutext limemisi tena, Muda wote papuchi iko hot, haijawahi kuishiwa Oil kamwe kaah, Ata kama...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwakweli siamini kama wiki ya pili hii inakatika eti sijanunua malaya kabisa, si mtandaoni wala sio Sinza, naona kwangu ni mafanikio makubwa sana katika safari yangu ya kuushinda huu Uraibu. Kwa...
11 Reactions
51 Replies
5K Views
Habari wakuu? Hili somo nimelipata sehemu (chanzo kipo hapo chini somo linakoishia), linahusu habari ya PETE YA NDOA. Hebu tulitazame: Tanbihi: 1. Somo hili ni refu kiasi na linahitaji utulivu...
2 Reactions
46 Replies
55K Views
Acha nikupe dawa ya akili, labda itakujaza maarifa sahihi ya kutunza ndoa yako. => Mwanaume anayejitambua lazima anajua majukumu yake, na kamwe hawezi kuyakwepa. Bro, unapooa basi jua majukumu...
28 Reactions
53 Replies
4K Views
Habari waungwana. Habari ipo hivi. Nyumbani tuna House gal ambaye Kama kawaida husaidia kazi za Nyumbani pamoja na kulea watoto .Sasa wkt anakuja nikagundua Hana nguo za kutokea kwa maana mfano...
21 Reactions
277 Replies
12K Views
Basi msalipo fanyeni hivi...[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] Mungu wetu si kiziwi kwamba hatasikia sauté yako. ..huhitaji kupayuka wala kupiga kelele... ndio maana unaaswa kwamba...
21 Reactions
61 Replies
6K Views
Ni pic ambayo nimekuwa nikiifukuzia kwa muda wa wiki mbili sasa! Tumezoeana sana! Wiki moja kabla, nilianza harakati za kumuomba mbususu nichakate, lakini akawa mtu wa vikwazo vya hapa na pale...
15 Reactions
111 Replies
8K Views
Kama mada inavojieleza, wanawake acheni roho mbaya. Kama mtu haumuitaji tena na umemchoka kwann umsingizie mambo mabaya?nimesikia matukio mengi kuhusu wanawake kiukweli mmezidi roho mbaya. Kuna...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
MTOTO ANAHAKI YA KUIJUA ASILI YAKE. Anaandika Robert Heriel. Hakuna sababu yoyote inayozuia na kumnyima Haki mtoto kuijua Asili yake. Mtoto lazima amjue Baba yake mzazi, Mtoto lazima ajulishwe...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Tukianza na mimi sipendi unishike ki makonda changu i mean kalio Cha pili.Nakuwa un comfortable demu/wife akiwa anachezea makende yangu kwa sababu nahisi kama anazilia Timing zile goroli ili...
18 Reactions
72 Replies
6K Views
Hivi wanawake mnadhani kunyonya uume wa mwanaume ndio kumridhisha kimapenzi Au kigezo cha kupendwa? wengine mnaenda mbali zaidi yaani mechi inapigwa ikiwa imekolea mkuyenge unachomolewa mdada...
13 Reactions
236 Replies
30K Views
Kwema Wakuu! Leo hii mngepewa taarifa ya tanzia ya msiba wa jokajeusi baada ya Jana kunusurika kuuawa nikiwa Guesthouse. Kwa kweli ningeingia Kuzimu Kwa Aibu huku nikiacha fedheha kubwa Duniani...
42 Reactions
355 Replies
27K Views
Back
Top Bottom