Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
kwa jina la jmt, mnasalimiwa mno! Kwenye mada: Jamani ni mbinu gani, ni namna gani, ni kivipi naweza kumtokea huyu mwanadada ambaye ni bosi wangu wa kati?!!! Nimejikuta namuelewa mno, ananivutia...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wanajamvi Mimi ni mwanamke nina miaka 2, ni mpole, mkimya sio muongeaji sana. Toka nikiwa o-level kila mtu ninayeishi naye lazima tununiane bila sababu ya msingi, nimeshawahi wauliza...
2 Reactions
54 Replies
12K Views
Sheikh.... Nakupa pongezi sana. Jana kama ulikuwa moyoni mwangu. Ulisisitiza sana tuwaombee wa kwetu katika mahusiano aka ndoa. Nlimwombea sana huyu sister wangu sister duu. Maana toka alivyotaka...
0 Reactions
4 Replies
844 Views
Wanajamvi habarini za majukumu. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Hivi karibuni nilifanya utafiti wangu mdogo na katika utafiti wangu niligundua asimilia 50% au 60% ya Wadada...
2 Reactions
73 Replies
5K Views
Habari za muda huu wakuu Naomba niende moja kwa moja kwenye mada Kwa wanawake nawakumbushia yafuatayo ili tuwekane sawa: 1. MWANAUME HAPENDI KUFOKEWA: Hata kama amekosea; jaribu kumuonyesha...
34 Reactions
82 Replies
9K Views
Habari za siku wadau Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu katika mapambano ya kutafuta mwenza wa maisha nimejikuta naangukia kwa wanawake wawili ambao wote naona ni bora wanavigezo vile...
8 Reactions
53 Replies
5K Views
Wakuu nimepata kamanzi kapya aka kazee ka vizinga asee hata kama mwanaume ni jukumu lake kumuhudumia mwanamke ila hiyi too much Siku ya kwanza namtokea tu ilikuwa mchana jioni ananiomba kama...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Huyu kaka nipo nae ktk mahusiano huu mwaka tutatimiza miaka 3 Mungu akipenda. Yeye ni mkubwa kwa miaka 13. Anasifa zote za mwanaume anaejitambua. Anajua kucare, ana huruma, mpole, haongei sana...
10 Reactions
100 Replies
45K Views
Kwema waheshimiwa? Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani? NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
5 Reactions
40 Replies
3K Views
Mtu anakaa single kisa avatar yake. Mtu anaweka fisi anayehema sijui mwingine mjusi aliyebanwa mlango sasa wewe kama upo serious kwanini usiweke bendera ya Tanzania hata ziwa victoria. Niambie tu...
31 Reactions
303 Replies
14K Views
Habari wakuu. Nimeonelea niandike kuhusu kisa hiki cha aibu ambacho sijawahi kumsimulia mtu ili wana Jamiiforums wote tuweze kujifunza madhara ya kukosa uaminifu na ku-cheat kwa mke/mume au...
12 Reactions
38 Replies
5K Views
Gesti house ndio kisababishi.. Kuzimu ndio kichocheo, tamaa za ngono ndio chanzo.... Kuna mada tumeijadili kwa mapana yake... Mada ya watoto wa kuzimu.. Jinsi shetani kupitia mawakala wake...
18 Reactions
134 Replies
15K Views
Nimekuwa nikitafakari kwa muda sasa. Kwanini familia za waafrika bila dada wa kazi au housegirl mambo hayaendi? Mke atalalamika, nyumba itakuwa chafu, chakula hakitaiva kwa wakati yaani mambo...
12 Reactions
89 Replies
6K Views
Mitaa ya saa 2 hivi usiku niko nje mitaa ya home Kuna grocery tunapiga mbili tatu na washikaji zikaibuka pisi mbili zimekaa zimesimama pemben ya barabara kama dakika 10 hv bado wamesimama nikaona...
2 Reactions
7 Replies
934 Views
Imekuwa kawaida ya watu kuachana kwa fujo, magomvi na wakati fulani matusi, lakini Kuna namna unaweza kuitumia mkaachana bila ugomvi wala kuparurana kama hivi...
10 Reactions
108 Replies
6K Views
Bongo Hapa Unakuta Mama mtu mzima miaka Kama 30+ lakin hanashindwa hata kununua Godoro la 150k anachoweza Ni kumiliki infinix toleo la 2019 . Mtu umri umeenda kapiga 30 maji ya jioni badala...
0 Reactions
4 Replies
516 Views
Wakuu mimi hapa nimekaa Mtaani Almost Two years lakin that time nilikuwa Chuo naongeza Maarifa ya kitu flan. Sasa Mimi hapa Kama kijana nimeamua kumtanguliza Mungu na kujituma katika Maisha yangu...
9 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wanajf wenzangu Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu. Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate...
35 Reactions
373 Replies
26K Views
Kama wanavyosema kuwa jinsia KE hatutabiriki wala hatuaminiki, nyie Jinsia ME nini huwa kinawakuta? Nini hicho mmefanyia dada wa watu? So painful[emoji174][emoji174] NB: Linda aliyetajwa humo na...
18 Reactions
321 Replies
24K Views
Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:- Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona...
15 Reactions
154 Replies
7K Views
Back
Top Bottom