Habari! Nahitaji kuwa agent wa cement mwenye uelewa naomba anisaidie vitu vifuatavyo:
1.)mtaji wahitajika kiasi gani kwa wakala
2.)bei ya mfuko mmoja kwa kiwandani.
Akhasnte.
Wakuu habari,
Kama mnavyoona hali ya kifendha inakuwa ngumu kila kukicha kwa sisi wengine.
Jamani natafuta kiwanja maeneo haya Boko, Bunju, Salasala au Makongo juu.
Budjet yangu nio hiyo 8M. Kiwe...
CHAKARIKA ni wataalamu na wazoefu wa shughuli za uendeshaji wa shughuli za asasi za utoaji mikopo. Tumeaandaa kifurushi cha mafunzo kwa ajili ya wamiliki/watendaji wakuu na maafisa mikopo ili...
Mie ni mgeni hapa jiji ninataka kupanga chumba kimoja ambacho ni self ninaomba msaada kwa mtu anaefahamu madalali wanapopatikana hapo sinza wanisaidie kutafuta
Wadau, kampuni gani ya kukodisha magari hapa mjini bei zao zipo nafuu kwa mtu anayetaka gari ya kutembelea ndogo mfano wa mark 2 au Toyota Cresta,kwa muda wa wiki moja. Mwenye info tafadhali.
Habari wakuu.
Tunayo Soya ya njano tunauza jumla kuanzia Kg 50 Ipo katika ubora mzuri.
Bei na mchanganuo wake
Bei yetu ni Tsh. 1900 kwa kila kg. 1. Kuhusu usafirishaji, bei tajwa ni nje ya...
Natafuta milango ya chuma ya kisasa kama ile ya kichina saizi 114CM x 245CM. Milango miwili wa mbele na wa nyuma iliyotayari au ya kutengeneza. Tafadhali wasiliana na mimi hapa au inbox na sample...
Nipo Mtwara mjini .Nifundi wa tv,radio nk....kama unakifaa cha mfumo huu...aidha kimeharibika au kimekufa ....karibu kwa matengenezo au mauzo ya spea..
Mwasenda Development Intervention (MDI) ni shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake makuu jijini Mwanza (Nyasaka Centre). Tunawatangazia walimu wa masomo ya sayansi na hisabati walioko jijini...
Mambo vp! Tunadesign na kuprint label (stika) za bidhaa za wajasiriamali na makampuni makubwa pia, tunatengeneza logo na kadi za biashara (business cards) kwa bei poa kabisa na tunauza kadi za...
Nawasalimu.
Tunauza vifaa mbalimbali vya simu kama vifuatavyo.
-Charger original za simu.
-Betry za simu.
-Smart headphone ( Bluetooth ).
-Earphones original
-Cover za simu aina tofauti.
-Screen...
Habari zenu.
Nimepatwa na majanga jamani tena makubwa,,kwahio mimi kama mimi nimeamua niende kwa MwanaKingi Mwandoya, kama kuna ambaye anajua direction ya kufika huko aniambie au aje PM, hii ni...
Habari wapendwa,
Nauza Uyoga (Fresh Mushroom)
Tafadhali wasiliana nami kwa namba 0753 214561 au 0715 497259
Tunapima kuanzia Kilo moja hadi robo kilo
Huduma ya kuletewa tutaelena kutokana na...
Kiwanja kinauzwa, mita 20×20, kipo Kinzudi Majengo, katikati ya Goba na Madale, kipo karibu na huduma za maji na umeme, kinauzwa ml 15 karibuni. 0744898813 kwa mawasiliano zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.