Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
TSh400,000 Hii nyumba inajitegemea yenyewe kwenye fensi ipo mbezi njia ya Goba ina vyumba 3 vya kulala vyumba vyote ni master bedroom, na choo cha public, sebule kubwa, dining room, jiko kubwa la...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Pikipiki inauzwa, sanlg CG 125cc. Ipo katika hali nzuri,kadi ipo. Location ni Dodoma mjini. 1.2M. Mwenye uhitaji aniPM.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
TSh350,000 Hizi apartment zipo 4 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio ipo wazi ina vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master, sebule kubwa, dining, jiko na choo cha public maji dawasco masaa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
TSh400,000 Vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master, sebule, jiko lenye makabati, na choo cha public maji dawasco masaa 24 bei ni 400k x 6 ipo kimara baruti upande wa kushoto km unaelekea mbezi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kichwa cha habari kinahusika, Natafuta fundi wa welding mwenye generator na machine ya welding. Mi Naishi mpiji magoe mbezi ya kimara ambako umeme haujafika ninakazi ya siku moja. Ninatafuta fundi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini... naomba kuuliza vilipo viwanda vya pedi kwa ajili ya wanawake na kiwanda cha baby diapers jijini dar es salaam. Nina uhitaji wa kufika huko na sipajui,,, msaada wa maelekezo ya uelekeo...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Nauza shamba langu mwenyewe lipo nala mjini dodoma ukubwa ni heka tatu kila heka moja ninauza laki saba(700000) tu ninauza sababu ya ninaumwa nilipata ajali week iliyopita sasa mfukobumeyumba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimemaliza kidatocha sita mkoani Mbeya wilaya ya Kyela Lakini sikufanikiwa kupata Chuo ..nikanza kuza vifaa vya simu kama makasha chaji.n.k lakini sijajua sehemu ambapo nichimbo la bidhaa izo kwa...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
(1) SPEED HD S1(SUPPORT SIM CARD & MODEM FOR IPTV STREAMING) (2) STRONG SRT 4669X (3) HUMAX IR HD 1000 Bei kwa zote 180000/
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu,kwa wale wazoefu wa shughuli hasa maharusi,naomba tujuzane kumbi nzuri na bei zake kukodisha,kwa maeneo yoyote hapa Dar es salaam. Ziwe za hadhi ya juu kabisa na hata za kati. Naomba...
0 Reactions
22 Replies
19K Views
Heshima kwenu! Naomba kujua wapi naweza kupata hard tonneau cover / bed cover ya Nissan Hardbody (Double Cab). Mwenye nao au anayejua wapi naweza kuupata tafadhali. Ninamaanisha mfuniko wa bodi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nauza printer 4 in one yani ina scan,copy,print na fax kwa shilingi laki 760000, imenumuliwa mwaka jana kwa milioni 3 , hii ni Canon MF i5980dw ni wireless unaweza print bila kuunganisha...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
In this scenerio you may request a video on a topic that you are interested on or you may contact a tutor for direct teaching. Note:It covers only the topics on advance physics and advance...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavojieleza, nina kuku 230 wa kienyeji wana umri wa miez 2 na wiki 2. Nipo gongo la mboto jeshin dar es salaam. Kuku hawa ukiwachukua utawatumia kama kuku wa nyama, kutaga mayai na...
0 Reactions
74 Replies
9K Views
Tunachora ramani za nyumba kwa gharama nafuu[emoji7][emoji7][100k] Tunahusika na ujenzi wa aina zote pia Tupo dar-makumbusho Whatsup/call +255624004650
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Je unahitaji kupata data zako muhimu?(Data Recovery) Ninarudisha data kutoka kwenye * Simu mbalimbali zilizoharibika/ambazo haziwaki/ ambazo zimefunga kwa password na umeisahau. (Zinazotumia...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba hizi 0714453589 0621711451
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu Habari Kama heading yangu inavyojieleza hapo juu. Kwa wadau wa JF especially waliopo Daresalaam nahitaji mkopo wa 250k then nirejeshe 350k after a month. Dhamana nitakayoweka nitamwambia...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Huyu mbuzi katoliki yuko sokoni kwa wale wote waishio mjini mpanda na viunga vyake. Bei yake ni 400,000/= Karibu tufanye biashara.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Back
Top Bottom