Nauza laini zangu za uwakala zina kila document zote tuwasiliane 0652234563 nakuletea kokote uliko.Kuna laini za Tigo,airtel na voda Tsh 400,000Sababu ya kuuza nimefunga duka langu baada ya kuibiwa.
HOUSE 4 RENT
TSh250,000 - KIMARA MWISHO
Hii apartment anatoka MTU mwisho wa mwez huu,ni vyumba viwili vya kulala,kimoja wapo ni master,sebule jiko,IPO kimara. Mwisho upande wa kulia ukitokea...
Habar wana jamvi nahitaji Gari aina Toyota IST bajeti Yangu Ni milioni 6
Gari iwe na hali nzuri kama unAyo ni Pm kwa mawasiliano zaidi mimi nipo Dar es salaam....
Habari zenu! Tunaitwa Dream Food, ni wapikaji na wasambazaji wadogo wa vyakula vya ofisini au sherehe ndogo. Tunapika vyakula aina nyingi, bora kabisa na bei zetu ni nafuu sana kama za migahawa ya...
Wakuu,
Nina Milion 4.5 tsh natafuta kiwanja eneo la Goba lenye ukubwa wa mita za mraba 400 yaani 20/20.
Kama unajua au una kiwanja njoo unifanyie biashara.
Tunachimba visima kwa ubora wa uhakika na kwa bei nafuu ya sh. 4500000. Bei hiyo tajwa ni mjumuisho wa gharama zote kuanzia uchimbaji wa kisima chenyewe, uwekaji mabomba, na hadi ufungaji pump...
TAWA WATER PROFESSIONALS
Ni Campuny bora inayojishuhulisha na uchimbaji Wa visima vya maji kwa bei rafiki kwa matumizi ya
1:Nyumbani
2:Umwagiliagi Wa mazao mashambani
Tawa Water...
Kwa ushauri kuhusu visima.
Kwa mahitaji ya kuchimbiwa kisima
Kwa usafishaji WA kisima chako
Kwa matengenezo ya water pump yako
Wasiliana nasi
Kwa Kazi yenye uhakika
Na kwa bei nafuu jipatie...
msaada wakuu ningependa kujua sandle za kike za ngozi kwa jumla nitazipata wapi huwa naona wamachinga wanauza nje ya maduka kkoo nikiwauliza hawatoi ushirikiano vizuri anayejua wanakotengeneza au...
Nyumba ipo kibaha mkoani A au maarufu kama kwa mkuu wa mkoa nyumba ina makaratasi yote ya umiliki yapo umeme na maji vyote vipo ukubwa wa eneo lina upana wa mita 20 na urefu wa mita 30 (20×30)...
Nime-design na kuunda game ya electronics,Game hii niliiwaza na kuiunda hivyo wazo likawa kweli.
Game hii nimeiunda kwa vifaa vya electronics sijatumia programic card yeyote.
JINSI GAME...
Mitsubishi challenger cc 3490 very well maintained, performed well clean For sale. 15,000,000/- call 0713282971
And
Avensis Premium cream leather seats, immobilizer, cc1990, 17 original rims...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.