Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari, Ninaomba msaada juu ya upatikanaji wa mashine za kufyatua tofali za umeme na zisizo za umeme pia bei zake. Natanguliza shukrani! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Napenda dom kwa ujenzi kwa ajili ya future ya wanangu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Usikubali shule yako ife kifo cha kizembe kwa kushindwa kufaulisha wanafunzi vizuri na hivyo kushindwa kuvutia wanafunzi. Tuwasiliane tupeane uzoefu namna nzuri ya kufanya wanafunzi wako wafanye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARI UJIO WA RIWAYA MPYA YA UPAKO KUTOKA KUZIMU TOKA KWA MWANDISHI M. M. MWANAKIJIJI DAR-ES-SALAAM AUGUSTI 14, 2018 Inaruhusiwa kutangazwa mara moja. Kwa ufupi...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Heshima yangu kwenu Jamani kinahitajika kitanda, godoro, tv, redio, pasi, kabati,meza yaan kwa ujumla feniture mbalimbali zinazotumika majumbani , Kama unayo na unauza weka picha.. Wka bei...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Kiwanja kipo bugogwa,wilaya ya ilemela. Kina ukubwa wa 60 kwa 50.kinauzwa tzs milioni moja na laki mbili. MMiliki ana shida na instalment inakubalika hadi mara tatu. Kwa maulizo zaidi tumia namba...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nipo Dar bei maelewano na inapungua njoo tuzungumze. Check WhatsApp 0712 505 049 uone video yao
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Friji ambayo ina friza inauzwa, bei ni laki tatu. Hiko Dar es salaam. 0755 36 84 45
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nguzo za fence, paddock, n.k ambazo ni treated zinauzwa, mnunuzi unatoa specification unazotaka unaletewa, pia mirunda ya kujengea magorofa inapatikana.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa dar Es salaam ni wapi naweza kupata soko zuri la kuuzia kahawa zilizokobolewa kutoka bukoba naombeni msaada
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, kwa anayehitaji mashine ya selcom bado ipo, ipo vizuri kabisa kwa anayehitaji anipm tuongee biashara
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Habari wana JF, Natumai mu wazima na mnaendelea na shughuli za kujenga taifa kama ilivyo ada. Mimi ni yuleyule mfuga mende. Na kusudi la uzi wangu ni kuwajulisha wale wote wenye kuhitaji MAYAI YA...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Tunashughulika na uandaaji wa salad na matunda matunda kwa kiwango cha juu kabisa katika masherehe kama: Harusi Send off Kipaimara Birthday part nk. Karibu ujaribu na sisi kwa ubora na vionjo...
4 Reactions
37 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu, Kiukweli Mimi binafsi sina ujuzi wa Aina yeyote kuhusu Magari Maana Katika Familia yangu Hakuna alie wahi Kubahatika kuendesha gari lake la kununua. Katika harakati zangu za...
2 Reactions
87 Replies
13K Views
Kiwanja kipo area 1 chanika buyun Italian kimejengwa nyumba dsgn ya kisasa iliyoishia kwny lenta n mita 600 kutoka barabara ya lami
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa yeyote mwenye Mitsubishi Pajero manual ambayo iko Zanzibar naomba kuwasiliana naye nataka kuinunua, Iwe not mini pajero nataka kubwa, PM your number
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Become a project manager, we offer training- 900 usd www.pmi.org projectmanagementofficetz@gmail.com
1 Reactions
0 Replies
465 Views
Viwanja vimepimwa na vina ukubwa mbalimbali. Vipo Kigamboni kisarawe II karibu na kiwanda cha maji Afya au Dar fresh kigamboni . Viwanja vina ukubwa mbalimbali bei ya chini kiwanja kimoja tsh 9...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari!?. Kwa wale wanaopenda Ku experience Virtual Reality Android games or videos. Basi hiki kifaa ni muhimu uwenacho, Simu janja ina maujanja kibao pengine mengine hujawahi kuyaona. Nauza 3d...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Mwenye bei ya 13 million sasa aje nimpe canter tipa tani 2 engine 33 box filter 1 tipa bado iko safi ina bomba kwenye body namba c mm ni mmiliki what's app namba 0752048709 njoo kagua gari tufanye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom