Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hizi zinaleta muonekano wa tofaut ukiwa ndani kwako.. Wallpaper roller moja ni tshs 35000 Gundi yake 10000 Ufundi 15000 kwa roller Vipimo:hii ina mita 10 urefu upana cm 50 sasa hapa inategemea...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Nauza kiwanja Mimi sio dalali kiwanja kipo morogoro road CBD area sio makazi ni kwa ajili ya Biashara nk cont 0757240144
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Jameni wandugu naomba kufahamishwa bei ya mafuta ya mawese dumu LA ltr 20 kutoka mkoan mbeya pale sokomotola au mwanjelwa Sido kwa anaye fahamu tafadhari
1 Reactions
8 Replies
8K Views
Mitimingi nursery ltd - moshi tunahusika na miche za matunda,mboga,kivuli,uzio,mbao,dawa,na mazingira. Karibuni tutafungua tissue culture laboratory.kwa mawasiliano 0757510565. Fb page mitimingi...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza viwanja viwili kwaajili ya makazi. - Kimoja kina Ukubwa wa 33 x 20 na cha pili 30 x 30 - Vipo wilaya ya Hai (Bomang'ombe-Kwa wasomali) km 1 kutoka Barabara kuu ya Moshi - Arusha -...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hi! Ninahitaji laptop at affordable price lakini yenye specifications zilizoenda shule. Bajeti yangu 500K. Specs ziwe: Processor: Intel core 5i or 7i RAM: At least 8 GB...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa anae hitaji Hard Disk 500GB kwa Bei Poa just 45,000Tsh nichek 0767322193
0 Reactions
1 Replies
580 Views
Habar wakuu,kwa mtu ambae anauza TV ya solar inch 32 aitha used ama new tafadhali ahitokeze tufanye biashara naiihitaj Bei maelewano
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kichwa cha habari tayari kimejitosheleza nahitaj tiv flat screen kuanzia NCHI 32 NA kuendelea' isiwe ya wizi nataka tubadilishane matatizo' Mwenye tatizo na pesa na mimi mwenye tatizo la tiv
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Bei n m18 pamoja Na jembe inatembea n inalima
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Inauzwa tsh 350,000. Mpya ipo na menu yake contact 0785544655
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta nguo ya kuvaa biharusi na bei yake pia
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Ni mashine aina ya Boss!! Ina hitirafu kwenye Pump( valve zimeungua na zinapatikana kariakoo) Nakupa na vifaa vyote Bei 350,000/= Mazungumzo yapo!! Sababu ya kuuza!! Kijiwe kimekufa na sina...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Shamba la mipapai ekari 2, miundo mbinu ya umwagiliaji kisima cha mita 90, tank la maji ,Dripu za umwagiliaji, pump, kibanda cha watumishi/stoo. liko barabarani kabisa ,bei Tsh 16,000,000
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Na tengeneza sabuni natural kutumia mafuta ya nazi kwa ajili ya watoto na watu wazima wapendao ngozi zao Karibuni snaa
2 Reactions
3 Replies
8K Views
Natafuta magari dogo la Kukodi. Mwezi mmoja. Magari mataru. Ist raum au rav 4 Ukiwa unaendesha mwenyewe hamna shida
0 Reactions
12 Replies
979 Views
Kwa yeyote mwenye Mitsubishi Pajero manual ambayo iko Zanzibar naomba kuwasiliana naye nataka kuinunua, Iwe not mini pajero nataka kubwa, PM your number
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana jf,nauza kiwanja ukubwa ni 25 kwa 25 na tofali nakupatia bure kama 3000.Bei ni 6m pungufu tunaongea.Kama upo serious karibu sana....hakuna dalali,nauza mwenyewe ninashida ya haraka...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Naomba kujuzwa bei ya mafuta ya mawese kwa dumu LA ltr 20 mkoani mbeya au Kigoma
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom