Mbuzi wa maziwa aina ya Norwegian na machotara wanauzwa.
Picha #1 Kushoto kwenda kulia: Huyu ni chotara wa Saanen na kienyeji ana mtoto mdogo wa mwezi mmoja. Baba wa mtoto wake ni mbuzi picha #2...
Tunaweka 3D wall panel,za ubora wa kudumu wa hali ya juu,za kisasa kwa muonekano mzuri wa ukuta wako kwa majumbani au maofisini.Tunauza 120,000 Kwa Square mita(Bila installation) na150,000 pamoja...
Natafuta vitabu vingi sana kwa ajili ya wanafunzi wa sekondary. Hivyo, naulizia ni bookshop ipi yenye bei nafuu/za kawaida sana kwa hapa Dar?...
Kama wewe ni mmoja wao njoo inbox ule dili ya maana.
IST iliyotunzwa vizuri inauzwa kwa bei nzuri,nyaraka za umiliki zote zipo.
AINA YA GARI:Toyota ist
LOCATION; Dar es salaam
REG NO; T 689 DGW
cc:1490
Mwaka:2004
BEI;8.9million (Maongezi yapo)...
Wadau nahitaji mpangaji wa hii nyumba, ninself kubwa ya vyumba vitatu, ninaposema self ina kila kitu ndani hadi store, ina usalama wa kutosha, ina parking hadi ya magari 20,unaweza kufanya mambo...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
Ni min bytspeed
SIFA ZAKE;
- HARD DISK 80GB
- RAM 2GB
-PROCESSOR 1.60GHZ
-NI TOUCH SCREEN
-NI SCREEN ROTATE
-INA WEB CAMERA
-INAKAA NA CHAJI MASAA 8
BEI Tsh 200,000/= tu.
anayehitaji anichek kwa...
Habari wakuu! Tunashugulikia kitaalam magari tajwa
hapo juu kwa bei nafuu, tupo mwenge mitaa ya TRA,
magari tunayoshugulikia ni BMW, Range, Jeep, benzi aina zote
na mengine, tunashugulikia...
Habari wakuu,
Nahitaji display/kioo ya simu tajwa hapo juu, hii pia hata kwa wale wenye simu ya namna hiyo iliyokufa machine ila vipuri tajwa hapo juu vinafanya kazi.
Mwenye navyo tuwasiliane PM.
Baada ya kusoma inspiration books mbali mbali za mwandishi robert kiyosaki na maisha na uhalisia wa ajira na peycheck nimeona sitoboi mpaka nijiajir na niinvest ni achane na hizi ajira za...
Nyumba ipo bahari beach mtaa wa pili kutoka barabara iendayo ununio,kila apartment moja ina vyumba 3 self
Size plot 1600sqm
Bei 450,000/ Dollars
Kwa mawasiliano zaidi au kuja kuona wasiliana...
Friji aina ya hotpoint inauzwa dar mbezi beach goba road 370000 laki tatu na sabini tu ipo vizuri mfumo wake wa kupoza ni mkali ndani ya nusu saa ishapoza
0762612213 SMS/call
Projector aina ya...
Samaki aina ya kambare wanapatikana kwa bei ya 8500/= kwa kilo.
tupo kimara suca.
njoo uchague mwenyewe kutoka bwawani.
karibuni sana.
mawasiliano
0762397421
0672879278
Wandugu salaam
Nauza gari langu moja Toyota Brevis no T 214 CTH.Lina CC 2500 na Pearl colour
Halijawahi kupata ajali yoyote. Lipo Dar na bei ni Ml.7.7 tu. Kwa mhitaji serious anitafute katika...
Hellow
Wakazi wa MWANZA
kwa wale wapenzi wa fani hizo za urembo ambazo ni make up aina zote,kuremba kucha pamoja na kuchora Henna basi sisi tunafundisha fani hizo kwa gharama nafuu kabisa sawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.