Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Plumbing & pipe fittings tunatoa huduma za kuweka mabomba ndani ya jengo / nyumba fittings za maji safi Hot water & cold water Pia drainage system. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
817 Views
jenereta used kv 1 bei 110,000 hadi 100,000/= kabati milango miwili- 150,000 hadi 135,000/= mwisho makabati ya steshenari kuna ya 220,000/= na ya 180,000/= compaq hp- pc peke yake 160 gd-hdd, ram...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau, Kwa yeyote anayehitaji shamba kwaajili ya matumizi mbalimbali kama kupanda miti au matunda nk. Shamba lipo sehemu nzuri lina ukubwa wa eka 650 na lina rutuba nzuri bei kwa eka ni sh...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Habari wana jamvini Napenda kuwaletea vitu hivi kwa gharama nafuu tofauti na sehemu zote 1,ni mashine ya kujazia upepo ambayo utatumia umeme wa gari yako tu,hivyo utapopata shida ya gari hakuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini,wana jamii forum leo nimewaletea biashara ya nyumba maeneo ya Tabata kisukuru...ni nyumba yenye(vyumba vitatu,kimoja ni master badroom) Vile ndani ya hiyo hiyo nyumba kuna public toilet...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapendwa wana JF wenzangu, Natumaini hamjambo. Baada ya uhamisho wa kikazi, kunakopelekea kuhama pia makazi nje dar. Nimeamua kuliuza shamba langu, Lina ekari 8. Shamba Lipo wilaya ya Kisarawe...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Gari inauzwa haina tatizo lolote. haijawahi kupata ajali bei 8M Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Bei sh. 395,000/= Ipo kwenye hali nzuri haina tatizo kabisa Kwa anaeitaji Mazungunzo yako karibu sana Call me 0717751644 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
767 Views
Basi shaka ondoa Perfect digital satellite ndo suluhisho la tatizo lako kwani tumebobea kwenye ufungaji wa madish na aina zote kurudisha signal zilizo potea pia tunafunga tv ukutan Piga...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Nimefulia jamani. Natafuta laptop nina laki na nusu.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Wakuu Kuna nyumba iko sinza madukan karibu na kanisa la wa sabato Ina room 2, jiko, sebule, maji na umeme wa luku, bei yake ni laki 4 kwa mwez na mm nimelipa kwa miez 6 mpaka December mwaka huu...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
  • Closed
Gari ipo katika hali nzuri Aina: Toyota Passo CC: 990 Model: 2005 Mahali ilipo: Dar Bei: 4.5milioni Engine Capacity: Piston 3
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Habarini wana jamvi Karibu ujipatie dagaa kutoka Kigoma kwa gharama ya elfu 16 tu kwa kilo, dagaa wanakuwa wameshapakiwa tayari na ninawauza kwa kilo kilo ni wasafi hawana michanga na kwa wale wa...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Gari ndogo ya kukodi inahitajika kwa matumizi ndani ya Dar es Salaam. kama unayo nitumie message inbox kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
0 Replies
597 Views
Habari wana JF. Jipatie sabuni za Magadi maarufu kama sabuni za Kigoma. Katoni 1 kwa bei ya jumla ni 30,000Tsh inakaa mishe 20. Rejareja tunauza kuanzia miche 5 kwa bei ya 2,000Tsh kwa mche...
1 Reactions
1 Replies
6K Views
Banda jipya linauzwa ukubwa wa futi 5 kwa 4 eneo lilipo kimara mwisho mnarani bei laki 5 maelewano yapo namba ya simu 0686460146
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Kama ni mtengenezaji wa bidhaa za urembo nakukaribisha kununua bidhaa zifuatazo kwa jumla na rejareja Shea butter jumla 60000 kg 1 Black soap kg 1 60000 Coconut oil lita 1 40000 Kwa rejareja...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Used adopter. INPUT: 100-240V OUTPUT: 19V Tsh 30000 bei inashuka kidogo. Nipo tegeta, dar es salaam. Mawasiliano 0719049292
0 Reactions
1 Replies
556 Views
Je unasumbuliwa na mapunye au chunusi za mda mrefu? Basi solution lako ni shaza soap,sabuni kutoka burundi ambazo zimetengenezwa kutoka nchini burundi zenye mchanganyiko wa flavour ya lemon,zenye...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom