Plumbing & pipe fittings tunatoa huduma za kuweka mabomba ndani ya jengo / nyumba fittings za maji safi Hot water & cold water
Pia drainage system.
Sent using Jamii Forums mobile app
jenereta used kv 1 bei 110,000 hadi 100,000/=
kabati milango miwili- 150,000 hadi 135,000/= mwisho
makabati ya steshenari kuna ya 220,000/= na ya 180,000/=
compaq hp- pc peke yake 160 gd-hdd, ram...
Wadau,
Kwa yeyote anayehitaji shamba kwaajili ya matumizi mbalimbali kama kupanda miti au matunda nk. Shamba lipo sehemu nzuri lina ukubwa wa eka 650 na lina rutuba nzuri bei kwa eka ni sh...
Habari wana jamvini
Napenda kuwaletea vitu hivi kwa gharama nafuu tofauti na sehemu zote
1,ni mashine ya kujazia upepo
ambayo utatumia umeme wa gari yako tu,hivyo utapopata shida ya gari hakuna...
Habarini,wana jamii forum
leo nimewaletea biashara ya nyumba maeneo ya Tabata kisukuru...ni nyumba yenye(vyumba vitatu,kimoja ni master badroom)
Vile ndani ya hiyo hiyo nyumba kuna public toilet...
Wapendwa wana JF wenzangu, Natumaini hamjambo. Baada ya uhamisho wa kikazi, kunakopelekea kuhama pia makazi nje dar.
Nimeamua kuliuza shamba langu, Lina ekari 8. Shamba Lipo wilaya ya Kisarawe...
Bei sh. 395,000/=
Ipo kwenye hali nzuri haina tatizo kabisa
Kwa anaeitaji
Mazungunzo yako karibu sana
Call me 0717751644
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi shaka ondoa Perfect digital satellite ndo suluhisho la tatizo lako kwani tumebobea kwenye ufungaji wa madish na aina zote kurudisha signal zilizo potea pia tunafunga tv ukutan
Piga...
Wakuu Kuna nyumba iko sinza madukan karibu na kanisa la wa sabato Ina room 2, jiko, sebule, maji na umeme wa luku, bei yake ni laki 4 kwa mwez na mm nimelipa kwa miez 6 mpaka December mwaka huu...
Habarini wana jamvi
Karibu ujipatie dagaa kutoka Kigoma kwa gharama ya elfu 16 tu kwa kilo, dagaa wanakuwa wameshapakiwa tayari na ninawauza kwa kilo kilo ni wasafi hawana michanga na kwa wale wa...
Habari wana JF.
Jipatie sabuni za Magadi maarufu kama sabuni za Kigoma.
Katoni 1 kwa bei ya jumla ni 30,000Tsh inakaa mishe 20.
Rejareja tunauza kuanzia miche 5 kwa bei ya 2,000Tsh kwa mche...
Kama ni mtengenezaji wa bidhaa za urembo nakukaribisha kununua bidhaa zifuatazo kwa jumla na rejareja
Shea butter jumla 60000 kg 1
Black soap kg 1 60000
Coconut oil lita 1 40000
Kwa rejareja...
Je unasumbuliwa na mapunye au chunusi za mda mrefu?
Basi solution lako ni shaza soap,sabuni kutoka burundi ambazo zimetengenezwa kutoka nchini burundi zenye mchanganyiko wa flavour ya lemon,zenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.