Pikipiki aina ya Boxer ikiwa na mwaka mmoja inauzwa kwa bei ya sh 1,500,000/=. Haina tatizo lolote la kiufundi.
Inapatikana Mtoni Kijichi, Mbagala kuu, Temeke, Dar es Salaam.
[emoji815]Hii ni set ya mtu wa miaka 40 na kuendelea..
[emoji815]Ni moja ya set ambayo tunaiuza kwa wingi sana na inapendwa sana sana..
[emoji815]Hakuna mtu anayependa kuzeeka, kila mtu...
Nawasilisha ombi la kuwepo kwa uzi huu ambao utatuwezesha wenye maduka ya mahitaji ya nyumbani na pia wanaouza bidhaa za aina hiyo kwa bei ya jumla kuweza kutangaza bidhaa zao.
Kupeana uzoefu na...
bei : Millioni nne bila kupunguza wala kuongeza wala dalali.
ukubwa: Hekari Mbili
mahala: Bagamoyo, Kiwangwa kilometer tatu kutoka mjini na barabara ya lami.
usalama wa mauzo: Lazima husishe...
Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam juzi ilitangaza ofa ya chumba cha Sh22.4 milioni katika Usiku wa Valentine na kusema kuwa Watanzania mbalimbali wamekuwa wakipiga simu kutaka kujua...
Habari zenu, wakuu.
Hinaitajika nyumba yenye sifa zifuatazo,
1: Nyumba iwe na fensi na geti lake(ijitegemee)
2: Vyumba 3/4(vyote viwe master na vikubwa)
3: Sebure, jiko na dining(ziwe kubwa).
4...
Inauzwa:
MAKE: Daihatsu
MODEL: Terios
MODEL NO: GF-J102G
BODY TYPE: Station Wagon
TRANSMISSION: 5 Speed, Manual (4WD)
COLOUR: Black
YEAR OF MANUFACTURE: 2000
ENGINE: K3
ENGINE CAPACITY: 1290cc...
viwanja vinauzwa vinapatikana vikindu kisemvule
50×40 ft
eneo tambarare
halina mabonde wala milima
huduma zote za kijamii zinapatikana karbu
kwa maelezo zaidi piga 0679113190
Message…
kiwanja kinaukubwa wa 50×80m kinafaa kwa makazi ya watu na huduma za maji na umeme zinapatikana barabara nzuri ya kupitika hadi kwenye eneo
piga simu kwa maelezo zaidi
0679113190
Anglia mpira wa Ulaya na movies za Hollywood... kwa kufungiwa dish kiustadi na mafundi waliobobea... Sport24, Sony ESPN, HBO, PIX, Animal Planet, Investigation Discovery, Discovery Science, TLC...
Shamba linauzwa
Eneo: Mbwewe -njia ya kwenda Tanga mbele ya msata
Km tano kwanzia barabarani
Ukubwa: heka 20
Bei: 200,000 heka moja
Makubaliano: Lipa kwa awamu (instalments) ila unaanza na...
Habari zenu wapendwa nahitaji chumba na sebule choo ndani na maji maeneo ya kipawa hadi banana au njiapanda segerea hadi tabata bei isizidi 70000kwa mwezi.
Wakuu wa JF,
Wakuu wa JF, Tunauza vifaranga chotara aina ya Sasso; vinapatikana zaidi ya 1,000 kwa wiki.
Sifa za Kuku Sasso
1. Wanavumilia magonjwa;
2. Wanataga mayai mengi
3. Wanaweza kufugwa...
Wakuu natafuta bajaji used hapa dar ili niifanye ya biashara, au napokea ushauri kwa hiyo millioni tatu naweza fanya biashara gani kwa hapa dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.