Habari wakuu,
Natumia nyote mko poa. Bila kupoteza muda niende kwenye mada.
Nahitaji kujua ni wapi naweza kupata sehemu wanafundisha utengenezaji wa website na application kwa Dar. Hapa...
Wakuu habari za leo..kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenye nayo tuwasiliane pm.dar ni rahisi zaidi kufanya biashara,iwe kwa kwenye hali nzuri na vibali vilivyokamilika,nawasilisha.
Sent...
Habari!
Afya ni jambo la msingi na muhimu sana ili kuweza kuendelea na shughuli zako za kila siku na kuwa mtu mwenye furaha,na ndio sababu sisi tuko hapa,ijali afya yako ukiwa nyumbani kwa kupata...
1.SIMPLE WEBSITE
Hii simple website hatutengenezi kwa gharama kubwa kwasababu inamuonekano mzuri lakini haina vitu vingi ndani yake.
Itakuwa hivi ikishakamilika,
-Domain name yako.. mfano-...
Tsh500000
Hizi ni apartments 2 mpya kabisa,ina vyumba 4 vya kulala,viwili ni master,jiko na sebule kubwa sana,umeme na maji ni vya kujitegemea,nyumba IPO kimara stop over upande wa kulia ukitokea...
Tsh300000
Hizi apartment zipo 4 kwenye kampaundi moja apartment moja ndio ipo wazi ina vyumba 2 vya kulala HAKUNA MASTER, sebule, jiko na choo cha public maji dawasco masaa 24 bei ni 300k x 6 ipo...
Tunatoa huduma zinazopatikana BRELA, Idara ya uhamiaji na Mifuko ya hifadhi ya jamii(kwa makampuni)
1.Huduma za usajili wa makampuni na majina ya biashara katika mfumo wa ORS
2.Huduma za uhakiki...
Nina apartment nzuri sana Mbeya Sae karibu na pipeline,chumba self na sebule,zipo ndani ya uzio,maji na umeme 24/7 barabara nzuri.Bei kuna za 50000,choo cha nje,80,000 na 100000,hakuna...
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,
Kitanda na Godoro futi 5 kwa sita used.
Bei 220,000/-tsh pungufu tunaongea.
Location: Mbagala Mission
Mawasiliano: 0752659410
Nimeambaanisha na...
Habari za leo wadau,kwa wale ambao mnajenga nyumba kwa ajili ya makazi au biashara basi msisite kututafuta kwa ajili ya kuwapatia milango bora ya mbao ngumu(Mninga na mkongo)Milango yetu...
Zipo za aina tofauti,
min bytspeed,
Ram 2gb
Hhd 80gb
Processor 1.60ghz
Touch screen
Kioo chake kinazunguka, yaan screen rotate, so unaweza kuishika kama tablets
Ina web camera
Inatunza chaji...
Friji kama inavyoonekana katika picha inauzwa kwa shililingi za kitanzania elfu themanini tu (80,000/=). Ni nzima haina tatizo lolote.
Kwa mawasiliano zaidi:
KIWANJA CHA NDEGE/PLOT NO.215...
Simu aina ya Nokia 2 inauzwa. Imetumika mwezi mmoja tu na ina full documents. Simu pamoja na accessories zake: cover (autofocus), charger USB, ear phones.
Bei 280,000 TZS maongezi yapo kiduchu...
Alama za Barabarani Quiz Application ni Application ya simu inayokuwezesha kujifunza kuhusu ALAMA na kanuni za USALAMA BARABARA NI.
Trial/free version Ipo Play Store na App Store:
Alama...
Hakijatumika kimehifadhiwa tu.Vioo vmehifadhiwa pembeni visivunjike.
Kipo M/nyamala bei 95k usafiri juu yako.
Geuza simu uone muonekano wake kimesimamishwa hapo kilipo.
Ni kipya kabisa ukipenda...
THE MECHANICS OF REAL ESTATE INVESTMENT: INVESTMENT STYLES USED BY REAL ESTATE INVESTORS IN DAR ES SALAAM (Guide to investing in Real Estate, Commercial, Residential and Commercial Cum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.