Habari wadau! Nina gari aina ya Toyota MarkII JZX100 model. Nilikuwa nahitaji kubadilishana na benz yoyote ya mwaka 2000 na kuendelea. Au gari yoyote nzuri, Kwa aliye tayari aje tuyajenge.
Sent...
Laptop aina ya dell inauzwa. ina matatiz y saut maanaake lazma utumie headphone au redio. bei in 170,000. haijatumika muda mrefu.
ukihitaj nichek 0654213122.
npo dar_ mbagala.
Jipatie viatu vya mtumba (Raba) za kiume kwa bei ya Tsh. 15, 000 /= tu.!
Kwa Dar tunakuletea hadi mlangoni kwako.
Tunapatikana Karume, Machinga Complex.
Contact: 0657 89 55 90.
Sent using...
Kitabu kinachoitwa UNDERSTAND PERSONAL BUDGET kipo mtaani. Chukua Nakala yako kwa kuwasiliana nasi kupitia
+255778800530.
Bei ni Tsh 10,000/- tu
Utaletewa ulipo.
Karibu sana.
Sent using...
Wakuu nahitaji bajaji used kwa ajili ya biashara hapa mjini Dar, kama kuna mdau anauza au anaweza kuniunganisha na anaeuza nitashukuru sana. Budget yangu ni Million mbili na nusu (2.5M) mpaka...
Perfect aluminium Fabricators ni wataalam wa kutengeneza madirisha, milango, partitions na bath tubs za aluminium na vioo.
Ofisi zetu ziko Salasala Dar -es -Salaam karibu na kanisa la Nabii Flora...
napatikana mkoa wa songwe kwa yeyote anayehitaji pumba ya mahindi na mpunga kwa ajir ya matumizi mbali mbali naomba tuwasiliane 0752010736,0785945242 tuwasiliane nitakutumia popote ulipo karibuni...
For Sale,
Toyota Harrier.
Model 2000
Km 148K
cc 2200
Ipo Dar es Salaam, Mbezi juu (Goba).
Asking price , 12 Mill, maongez yapo.
ina comprehensive insuarance inaisha mwakan July.
PM for more details.
Wakuu salamu. Shamba lipo Kibiti-Shinyanga, 10km toka barabara iendayo Mtwara... Shamba ni safi na linafaa kulima ufuta, kuna nyumba... Ukubwa wa shamba ni heka 30... Bei ni 12ml. pungufu...
Bado mpya kabisa,
Ipo dodoma mjini,
Feature:
1.SMS Tracking:this tracker can reply the position information to the admin number with google map link.
2.GPS,AGPS and LBS positioning...
Kama kichwa cha habari kisemavyo nauza Shamba langu ambalo lina ukubwa wa ekari 6 Shamba lipo kijiji cha kipangu ushetu Kahama Shamba lina lutuba yakutosha na linafaa kwa kilimo na mkazi bei ni...
Wakuu kutokana na vyuma kukaza ninauza Shamba langu ambalo ni ekari 8 Shamba lipo Kahama kijijini linafaa kulimwa mazao yote bei ni laki 300000 kwa ekari karibuni sana
Kama kichwa cha habari kilivyosema nauza shamba langu ekari kumi lipo kahama bei ni milioni 7 tu shamba linakubali kulimwa mahindi maharage pamba karanga nk
wakuu salaam zetu.
ninauza pikipiki
bei 2.6m
150cc
imetembea 1577km.
automatic
ipo dar,warehouse
Hii pikipiki haijatumika Tanzania.kwa maana hyo bado haijasajiliwa.pikipiki ni imara ,inatulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.