Wakuu natafuta sehemu ya kuweka mchele wangu toka mbeya kyela ili nianze kuuza maeneo ambayo ningependa iwe Mbezi mwisho au Tabata Reli au segerea kule bajeti yangu kwa mwezi haizidi laki
Sent...
Habari wanabodi..!
Inahitajika kwa haraka sana HOME APPLIANCE TRACKING SYSTEM ya kufunga katika TV, HOME THEATRES, RADIO, etc
Kwa yeyote anayejua kampuni au anayeshughulika na HOME TRACKING...
Dearest,
[emoji830]Leo naomba nishee nawewe kuhusu kitu kinaitwa crows feet.
[emoji830]Crows feet ni mikunjo inayotokea pembeni ya macho hasa ukicheka.
[emoji830]Mtu yoyote kuanzia miaka 25...
Ninauza TILL za:
1. M-pesa = 170,000
2. Tigopesa =140,000
3. Airtel money=55,000
4. Halopesa =50,000
5. Ttcl pesa. =50,000
Bei ni nzuri kabisa na ninapatikana Mbeya mjini. Kama unahitaji...
Salaam wakuu,
Ama baada ya salaam naomba kama kuna mwenye kujua wapi nitapata taa za nyuma (hasa taa ya kushoto) za gari aina ya Starlet anijuze na bei kama inawezekana.
Taa ni zile za ndizi...
KARIBU SANA MSOMAJI WA MAKALA MBALIMBALI KATIKA BLOG YETU(MTEGA BLOG)
MATUMIZI YA BLOG
1.KUWEKA HABARI NA TAARIFA MBALAMBALI.
Unaweza kutumia blog yako kuweka au kutangaza habari mbalimbali za...
Habari wakuu nahitaji Kampuni ya kukodisha gari. Nina wageni wangu kutoka ulaya watakuja mwezi wa 11 watahitaji kukodisha gari kwa siku 5. Mambo mengine tutaongea nicheki nbox
Sent using Jamii...
Tunakufikia popote ulipo kwa muda wowote na kwa haraka zaidi kwa bei ile ile, ndani ya kisiwa cha Unguja.
Tunashughulika na ving'amuzi vya aina zote.
0778201526
AU
0653422776.
Chumba kipo mwenge, near TRA, bei ni 50,000 kwa mwezi, ni kuzuri sana, uzio upo, usalama wa kutosha, ukubwa wa chumba ni wakiasi, ni kidogo kwa vingine ndio mana ni 50k, so hakihitaji mtu mwenye...
Nauza Sony Camera ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Isipokuwa inayomichubuko kidogo katia body tu na sio screen lakini haina kasoro katika ufanyaji kazi.Na rangi yake ni pink.Ilitumika...
Picha hiyo hapo chini inaweza kukusaidia kujua aina za nywele ulizonazo. Njia nyepesi ya kujua aina ya nywele ulizonazo ni zikiwa zimeloa(wet). Zinapoanza kujikunja ndipo utajua aina za nywele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.