Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu nnagunia 70 zamahind yapo kiteto naomba kujua Bei Na vipi ntapata mteja kwa sasa npo dar
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Ipo ktk hali nzuri kwa kifupi haina tatizo lolote na unaweza kuja na fundi kukagua ipo magomeni. Cc 1490 Rangi - silver Transimission- Automatic Full registered Used Full A/C Condition- In good...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu zangu, Kama kuna mtu anamjua fundi mzuri wa plaster naomba ani introduce. Ningefurahi kuona kazi zake pia. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kwa yeyote mwenye kuhitaji kufanyiwa usafi witney cleaning service tunafanya kusafisha tiles kusugua kuta kufanya fumigation maeneo yote kama unahamia nyumba yako tutaiweka katika usafi kwa...
0 Reactions
2 Replies
603 Views
Wenye bajaj aina ya TVs au RE mbovu tunanunua, yeyote mwenye kuuza tuwasiliane 0714466625
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Taarifa kwa Umma. Wanachama/Wanufaika wa mashirika yafuatayo wanaweza pata matibabu ya kibingwa katika Taasisi ya MOI bila kuwa na rufaa kutoka hospitali za mikoa na wilaya.
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Laptop used inauzwa ni Dell latitude 2100 processor ni 1.6GHz Windows 7 mashine ipo vizuri sana haina tatizo lolote hata kidogo mashine ni nzima kila sector unaikagua kabla ya kuichukua bei ni ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hello friends , for all parents, guardian, students , repeater and QT. If someone or your kids are facing trouble in these subjects..... Physics Chemistry and Mathematics. Also educational...
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Wakuu, ninauza kagari kangu aina ya mitsubishi minicab vx special edition, pickup truck, inajulikana kama kirikuu, Ukubwa wa engine ni cc650, ya mwaka 1997 ni Easy Four wheel drive. Ina hali nzuri...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
HENGA CONSTRUCTION AGENT -Wanafanya hesabu ya gharama ya vifaa vya nyumba yako -Wanajenga nyumba kwa haraka sana -Wanapaua vizuri -Wanaweza kukuchorea ramani nzuri na yakisasa JE UNATAKA KUFANYA...
0 Reactions
1 Replies
771 Views
Wadau nauza laptop zangu mbovu ziko mbili ni wapi wanakonunua laptop zilizoharibika? Kama kuna mdau humu anicheki PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Njoo nujipatie Camera Mpya za canon 80D 750D-1.8M 4000D-1.2M
0 Reactions
1 Replies
846 Views
HENGA CONSTRUCTION AGENT -Wanafanya hesabu ya gharama ya vifaa vya nyumba yako -Wanajenga nyumba kwa haraka sana -Wanapaua vizuri -Wanaweza kukuchorea ramani nzuri na yakisasa JE UNATAKA KUFANYA...
0 Reactions
1 Replies
632 Views
natafuta injini nzima/saket ya samsung note10.1[ N8000] tuwasiliane:- 0763949447
0 Reactions
2 Replies
612 Views
Habari wadau, naomba mnijuze wapi hapa Dar naweza kupata vijazio vya sausage yaani sausage Casings
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajukwaa Habari. NATOA huduma ya USHAURI juu ya KUOMBA Na kuchagua kozi za kusoma vyuo Vikuu,Diploma Na Cheti. Nitakupa USHAURI kulingana Na ufaulu Na sifa zako sitahiki katika Chuo husika...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Habar wadau nahitaj bajaji TVS used nina million 3.2
1 Reactions
4 Replies
791 Views
Size: UK 8, EU 42 Status: Original Rangi: Blue and White Material: Leather and Jeans Price: Ths 38,000 Contact: 0718 348822
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari zenu wana jamii forums, nina haja na simu ndogo zile zisizo na internet yyte, kawe used vile vya line mbili. Mwenye nacho aniuzie, nipo dsm makumbusho njoo fasta uchukue pesaaa
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau naulizia ni kampuni/wakala gani ambae anauza tv za solar hapa bongo?! Iwe kuanzia inch 43(inahitajika tv peke yake sio na mtambo wa solar)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom