Chumba kinapangishwa single sio self contained.
*Kipo Mabibo External (Mandela road)dakika saba kwenda kituoni
*LUKU ya kushare watu wanne
*Maji yapo
*Kipo ndani ya geti,parking ya kutosha
*Choo...
Natafuta kinyozi awe na sifa zifuatazo:-
1): Awe wakiume umri si zaidi 23.
2): Asiwe mlevi, mvuta bangi,mvuta sigara au mtumiaji wa madawa ya kulevya km mirungi.
3): Asiwe mpenda starehe sana.
4)...
Wasalaam
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Mimi ni mjasiriamali wa kilimo cha umwagiliaji. Ninahitaji simtank kwa ajili ya matumizi ya kazi zangu za shambani.
Napatikana Dar es salaam muuzaji...
Kiwanja kipo km40 kutoka kigamboni.
Kina ukumbwa wa mita20 kwa mita20.Kiko jirani na barabara kuu na njia panda kwenda Ufukweni (beach).
Panafaa sana kibiashara kama maduka,mgahawa nk.Umeme upo...
ANAHITAJIKA AFISA MASOKO/MAUZO NJE 5 WENYE ELIMU YA CHEI KUTOKA CHUO CHA BIASHARA KWA AJILI YAKAZI YA KUTAFUTA WATEJA WAPYA WA ASALI NAKUSHIRIKI KATIKA SHUGHULI ZA MASOKO NA KUTANGAZA BIDHAA ZA...
Kuku wa nyama aina ya kroila, wamechanjwa chanjo zote.
Wana miezi mitano na wengine miezi mitatu nawauza kwa jumla.
Wamefikia umri wa kuanza kutaga.
Sababu ya kuwauza ni kwamba nahamia mkoani...
Kama kichwa cha habar hapo juu
Godoro ni jipya kabisa limetumika hata miezi miwil haijafika urefu ni 6*6 upana ni inch 10
Jipya nilinunua 280000 /= kwa sasa nauza 200000\= tu
Napatikana dar...
wakuu kwa mahitaji yote ya vyakula kwa wakazi wa mkoa wa iringa na mikoa jiran kwa chakula bora huduma za kisasa,wahudumu wenye weledi tunakukaribisha eliza house of cakes ukiwa na oda yako...
Natafuta Wateja wa dar-es-salaam na mwanza niwe nawatumia mchele kutoka Mpanda,kwa bei ya jumla nafuu kabixa,
Namba zangu za simu ni WhatsApp +255789139153
Mwandishi wa Habari wa siku nyingi Mike Sikawa (55) amefariki Dunia,Nyumbani kwake Njiro - Arusha siku ya Jumatatu (17.11.2008).Marehemu Sikawa amefarikiki baada ya kusumbuliwa na Ugonjwa wa...
Leo Nov 26, 2008 tunawafungulia baadhi ya waliowahi kufungiwa hapa JF. Wale waliopata server ban (not nick only) nao watakuwa huru kurejea hapa, kuna waliopewa LIFETIME ban nao wanapata msamaha...
Jamani nauza shamba ekari 13 bei ni mil 26 maongezi yapo tafadhali nina shida naomba msaada shamba lina hati miliki na lipo mkuranga km 10 kutoka barabarani kwa mawasiliano wasiliana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.