PeMS ni mfumo ambao unauwezo wa kuhifadhi kumbukumbu za mauzo pamoja na kucontrol stock jumlajumla,rejareja na kwa kutumia bima.
Huu mfumo unaweza kutumika kwa njia mbili.
1.kwa kutumia...
AMIS is web based system which designed to handle all Academic Institution information include both colleges and schools.
AMIS Feature.
Here are just a few list of the available features
1.Store...
Wakuu habari zenu,
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza nahitaji nyumba kubwa kwaajiri ya kufanya hostel ya backpackers maeneo ya Dar es salaam ; Kigamboni, Mikochen, kinondoni na Mbezi yote...
Suti ya kodrai nyeusi, mpya na haijavaliwa zaidi ya kujaribishwa inataka mnunuzi kwa bei ya chini (pungufu) ya dukani (original price).....
Kama upo interested weka offer yako njoo tuyajenge......
Tunachora ramani za nyumba aina zote.
Tunatoa ushauri wa ujenzi nk.
Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako.
karibu sana.
0654919121
0658919121
Karibu ununue bidhaa za asili za (Natural Products)
Tunauza Mafuta ya nazi pure na organic kwa bei ya jumla na rejareja
Pia tunauza mafuta ya nazi yaliyochanganywa na mchaicha na Rosemary mazuri...
Eneo liko Kimbiji-Kwa Moris,km30 kutoka Kigamboni.Ukubwa wake ni mita20 kwa22.
Eneo liko karibu na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni(beach).
Ni panafaa sana kibiashara,hasa kujenga...
Toyota Wish
Year : 2004
Engine capacity : 1990cc
Trans : Auto
Drive : 2wd
Chassis No. ANE11-0024352
Other : AB ABS AERO RS FOG HID NV B-MONITOR
Grade : Z
Gharama yakuagiza pamoja na ushuru : Tzs...
Habari za muda huu wana JF.
Mimi ni sales representative wa kampuni ya Bima.
Napenda kuwatambulisha huduma ya bima ya afya inayoitwa AFYA WOTE.
Hii ni bima ya afya inayotolewa mahsusi kwa...
Habarini?
Nahitaji Nyumba ya kupanga ndani ya jiji la ARUSHA maeneo ya Sakina itapendeza zaidi iwe na vitu hivi:
1. Inajitegemea peke yake kuanzia lango kuu la kuingilia na uzio wake.
2. Iwe na...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ninatafuta mahali pa kuuzia choroko yangu ambayo naikusanya kutoka vijijini kwa kipndi hiki.
Mtaji wangu si mkubwa sana lkn nina uhakika wa angalau tani tano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.