Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

NAUZA PLOT, KIBAHA MADAFU/ZEGELENI. KM 5 KUTOKA BARABARA YA MOROGORO ROAD. Huduma za jamii zimefika... Maji,umeme, hospital, Total area ni 1400sq meters. Ina hati miliki Vimepakana na Kiwanda...
0 Reactions
3 Replies
356 Views
Mashine ya kumenya viazi na mihogo, imara na yenye ifanisi wa hali ya juu sana. Bei ya kutupa,mwenye kujua thamani yake haulizi mara 2. Nawakaribisha tufanye biashara. Bei 900K. Nipigie 0625697394
3 Reactions
9 Replies
776 Views
Viatu ni vizuri na imara sana. Bei: 12,000 tu Napatikana Dsm Segerea mwisho. Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako. Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
1 Reactions
3 Replies
640 Views
Jamani Mgosi nawaletea dili hili, kama una shida ya pesa ya fasta bila kupoteza. TV INCH32, Kampuni PineTech Flat screen ya kawaida pesa -100k cash
1 Reactions
14 Replies
713 Views
Namtafuta shamba la kununua morogoro
1 Reactions
10 Replies
631 Views
Toyota Harrier hybrid new model (eah) Year 2015 Cc 1980 Mileage-77800km Winker mirror Fog light Push to start Location-Dodoma Bei-55m
0 Reactions
5 Replies
831 Views
Habarini, Kuna bidhaa ambayo inaitwa TOMATO PASTE hizi ni nyanya zilizochakatwa kiwandani na hutumika kama mbadala wa nyanya halisi. Kuna wakati hapa nchini kunakuwa na shida ya nyanya halisi...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Ninauza pikipiki aina ya Honda Ace 125 Individual. Bei milioni mbili laki moja tu. Imekimbia kilometa 601,bado mpya, ni pikipiki nzuri kwa matumizi ya usafiri binafsi zaidi. Ipo Kigamboni na kadi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka kumiliki gari na mm.hv sasa Nina guta ila nimeona Kaz zangu inahitaji pro box Naombeni Kam Kuna . member anato aniuuzie Bajeti yangu Ni 4m , Nataka niuuzr guta nimiliki pro box Faida...
1 Reactions
0 Replies
243 Views
itakayo weza kukupa uhakika wa matumizi ya simu yako Vaa mkanda twende pamoja 🔋💡 Chaji Bila Wasiwasi na Green Lion 22.5W Power Bank 💡🔋 Karibu kwenye thread yetu kuhusu power bank ya Green Lion...
0 Reactions
0 Replies
382 Views
Furniture za Bei nzuri hizi hapa
0 Reactions
2 Replies
515 Views
Ndugu zangu , siku ya leo nawaletea SONY PS4 PADS Full ku enjoy Hii inaenda kwa 70,000/= tuuuuu Karibu sana Tupo kariakoo mtaa wa aggrey/ndanda Tupigie au wasap - 0659588492 Maongezi yapo ...
0 Reactions
1 Replies
408 Views
Onsat on 3 ni moja Kati ya ving'amuzi visivyo vya kulipia kwa mwezi yaani Frre To Air Receiver ambayo itakuwezesha kutazama chaneli nyingi bila malipo yoyote kwa mwenzio unachotakiwa kujua Ni kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
𝘒𝘢𝘮𝘢 𝘜𝘯𝘢𝘵𝘩𝘢𝘮𝘪𝘯𝘪 𝘓𝘢𝘱𝘵𝘰𝘱/𝘋𝘦𝘴𝘬𝘵𝘰𝘱 𝘺𝘢𝘬𝘰 𝘜𝘴𝘪𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪 𝘏𝘪𝘪 𝘐𝘬𝘶𝘱𝘪𝘵𝘦.....! 𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿 𝗡𝗱𝘂𝗴𝘂.... 𝘏𝘢𝘵𝘢 𝘒𝘢𝘮𝘢 𝘶𝘮𝘦𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘜𝘬𝘪𝘵𝘢𝘧𝘶𝘵𝘢 𝘝𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘷𝘺𝘢 𝘓𝘢𝘱𝘵𝘰𝘱/ 𝘋𝘦𝘴𝘬𝘵𝘰𝘱 𝘬𝘸𝘢 𝘒𝘪𝘱𝘪𝘯𝘥𝘪 𝘤𝘩𝘢 𝘯𝘺𝘶𝘮𝘢 𝘣𝘪𝘭𝘢 𝘔𝘢𝘧𝘢𝘯𝘪𝘬𝘪𝘰 𝘭𝘦𝘰 𝘬𝘶𝘯𝘢 𝘚𝘶𝘭𝘶𝘩𝘪𝘴𝘩𝘰 𝘭𝘢...
0 Reactions
0 Replies
169 Views
Wadau, Naombeni msaada wapi nitapata Mashati na suruali kwa bei nzuri hapa Dar na Quality ya ukweli. Mimi hupendelea mtumba sababu unakuwa wa tofauti kidogo kuliko Dar Combine. Anywhere but not...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za mvua Wadau. Nahitaji nyumba ya kununua maeneo ya kuanzia Ubungo kuelekea Kibaha. Kwenye Mfuko wa shati kuna TZS. 30M. Mawasiliano piga 0784636291. Ahsante.
2 Reactions
8 Replies
572 Views
CAM STORE Tumekuletea BioEarn Feed Additives ama nyongeza ya malisho. Virutubisho vya BioEarn vimetengenezwa kitaalamu kwa kutumia Unga wa mimea yenye Vitamini na Protini nyingi katika uwiano...
0 Reactions
5 Replies
654 Views
Asalaaaaam Ndugu zanguni, leo nimeamua kuja kuwatangazia vijana wote wanaotaka kufungua Biashara ya Movie Store yani kwa movie za kiswahili na Movie za Kizungu Karibu sana nipo Nauza Mzigo kwa...
40 Reactions
457 Replies
41K Views
Engine Capacity Cc: 1790 Mileage: 65,000km+ Engine Code: 271 Fuel: Petrol Standard Features: 8-SRS Airbag Auto Folding Exterior Mirrors Steering Switches 19”Alloy wheels Leather Upholstery...
0 Reactions
4 Replies
569 Views
Wana jamii forum nasafisha Banda kuku broiler wa wiki nne na siku 2 - 85 wamebaki na kila mmoja nauza 5500 ..wanapatikana mbweni jkt. Kwa mawasiliano 0612630936
1 Reactions
0 Replies
253 Views
Back
Top Bottom