Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nataka kulinda shamba langu kwa kupandwa miti... Naulizia bei ya miti ambayo ni affordable naweza kupanda morogoro
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Nyumba inapangishwa mbweni jkt …laki nane kwa mwez. Kwa atakaehitaji anichek pm
1 Reactions
0 Replies
238 Views
Bado simu za mezani zimeendelea kuwa hitaji kubwa hasa Kwa watu wenye ofisi ambao wanahitaji mawasiliano muda wote (kuwa hewani) Pia Kwa familia hii simu inakuhakikishia upatikanaji wa watu wako...
1 Reactions
8 Replies
999 Views
Karibu Tanzania Septic Solutions tukupe ushauri na kukujengea makaro ya kisasa ya choo yasiyojaa katika kipindi chote cha matumizi yake tupigie number 0672 883 447 kwa maelezo zaidi na kutembelea...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Bei 50,000/= KEMEI model 809A. Ni ya kuchaji, inatunza chaji mpaka masaa 4. Ni mpyaa, kwenye boksi lake na kila kifaa chake kipo ndani ya boksi.
0 Reactions
0 Replies
294 Views
Interlock blocks au bricks ni aina ya tofali zinazofungamana kwenye ujenzi bila kutumia zege(motor) kuziunganisha,zinapigwa kwa saruji na udongo wenye mfinyazi kiasi. Tofali hizi zinatumia saruji...
17 Reactions
108 Replies
10K Views
Nauza viti vya mbao ambayo unaweza kutumia bar,grocery au mgahawani... viti vinapatikana shekilango nyuma ya ofisi za abood bus au shabiby ■ kiti cha watu 2 vipo vi3 ■meza 3 ■stuli 6 inamaanisha...
3 Reactions
8 Replies
952 Views
TV ziko poa kabisa na ni mpya zilikua sampo dukani bei yake ni Tsh170000/= mikoani pia tunatuma ila garama ni zakwako mwenyewe, tunapatikana kariakoo mtaa wa msimbazi karibia na jengo la simba...
0 Reactions
0 Replies
216 Views
Habari zenu. Nauza migebuka mikavu na mibichi kutoka kigoma. Wabichi wanauzwa kwa mmoja sh.1500 na kilo moja sh.11,000 Ipo fresh kabisaaa Mikavu ipo, kuna mmoja 1000 na 2000 Fungu la wanne kwa...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
Youtube chaneli inauzwa ina subscribe 6526 ipo kwenye malipo Ilikuwa inafanya kazi ya vipindi vya michezo Bei ni 600,000 Simu 0753-215812.
0 Reactions
20 Replies
896 Views
Habari wakuu! Nimekuwa na hamu ya kumiliki character wangu anayeitwa TANZANIAN (kama masudi alivyo na Kipanya, au kulivyo na madenge, nk) ambaye nitaweza kumtumia kwenye ujasiriamali mbalimbali...
14 Reactions
73 Replies
2K Views
Ardhi ndio kitu pekee kila siku kinapanda thamani tofauti na simu au gari, pata mashamba na maeneo karbu na Dar kwa bei nafuu kuanzia milioni moja na nusu kwa eka pia maeneo ya viwanda yapo mengi...
5 Reactions
90 Replies
9K Views
TUNAUZA VIWANJA VILIVYOPIMWA KISEMVULE Viwanja vipo kisemvule Km 7 kutoka Mbagala rang 3 Vimezungukwa na huduma muhimu jirani, Umeme upo jirani, Maji yapo, Eneo la Shule limetengwa, Eneo la Stendi...
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari zenu ndugu, jamaa na marafiki! Naitwa Enock, napatikana Mbezi Mwisho (Mbezi ya Kimara), mimi ni fundi wa kutengeneza samani zote za ndani (furniture) kama vile makabati, sofa, vitanda na...
3 Reactions
4 Replies
444 Views
Salam! Habari za jioni wakulima popote pale mlipo,kichwa cha habari kinajieleza vizuri. Mwenye mzigo wa nyanya chungu tuwasiliane ili tufanye biashara
1 Reactions
0 Replies
257 Views
Vinauzwa kwa bei nafuu; Kitanda 5x6. = 120,000/= Godoro dodoma 5x6 inch 8 = 120,000/= Kabati la nguo. = 120,000/= Mtungi wa gesi, jiko na Meza. = 150,000/= Coffee table. = 70,000/= Friji ndogo...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Wapi naweza kumpata dalali Arusha ili niweze kutafuta nyumba ya kukàa? Nyumba ya kupangisha, siyo kasri.
2 Reactions
13 Replies
565 Views
Habari wa kuu ,Nina mashamba ya mihogo hekta 15 hapa Morogoro. Karibu tufanye biashara, mihogo mizuri inaiva maji kidogo sana. 0762502983
2 Reactions
0 Replies
224 Views
Habari kuna OFA ya viwanja kibada mwera ni km3 kutoka kibada round about! Bei sqm 1 Tsh 25,000 cash Sqm 1 Tsh 30,000 Mkopo(miez18) Mawasiliano 0746853161
1 Reactions
2 Replies
376 Views
Back
Top Bottom