Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habarini za jioni! Kama kichwa kinavyojieleza. Miezi sita ilopita nilitamani kufungua kijiwe cha games za Ps na kwa bahati nilifanikiwa kununua baadhi ya vitu lakini baada ya kupata kibarua mbali...
1 Reactions
3 Replies
570 Views
Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nauza saloon yangu ya kiume(barbershop) iliyopo makongo stend (mageuzio). Nimepata uhamisho wa kikazi hivyo haina budi kuiuza kwani...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Unataka Ipi kati ya hizi?👇👇👇 Je, unatafuta Desktop(CPU peke yakee au Complete)? Je, unatafuta Core 2 Dual, Core i3, Core i5 au Core i7? Je, unatafuta yenye RAM 2GB, 4GB,8GB!? Je, unatafuta...
0 Reactions
2 Replies
431 Views
Ssd 239 Ram 8 Touch screen Core i5 gen 7 Bei 500k njoo tuzungumze 0753865861
0 Reactions
7 Replies
469 Views
Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye blog yenye Adsense iwe kwenye wordpress ya kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06
0 Reactions
0 Replies
253 Views
Only For Tsh.360,000 Problem ni mic pekee sometimes yes/sometimes no. Double line☑️ Only for serious buyer nicheki WhatsApp au piga 255673269533 Simu ipo Tabata Mwananchi
0 Reactions
2 Replies
355 Views
Natafuta fire bricks na fire cement kwa ajir ya incinerator naomba msaada wapi nazipata
1 Reactions
1 Replies
306 Views
Jipatie Drone upae angani kwa bei nafuu Drone ina Sifa zifuatazo Drone ni ya kuchaji Inaenda umbali wa meter 200 Drone ina Camera Unaweza kuunganisha camera ya Drone na wifi ya simu yako...
8 Reactions
106 Replies
9K Views
Habari, Kama heading inavyojieleza nauza mafuta ya Alizeti katika dumu za lita 5 kwa TZS 24,000/- : * Mafuta ni masafi * Hayana harufu, * Sio ya kuchemsha na * Si machungu * Muonekano wake...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wana JF, kwa sasa kumekuwa na uhaba wa dollar kinachopelekea wengi wa wafanyabiashara shughuli zao kukwama. Nimekuja na suluhisho la kukusaidia wewe mfanyabiashara unaeagiza bidhaa nje...
1 Reactions
8 Replies
377 Views
Nyumba ya kisasa inauzwa ipo MAPINGA SHULE nyumba ya kisasa YENYE idadi ya vyumba vitatu master ipo moja lakini pia kuna NYUMBA za wapangaji kwa Nyuma YANI boy kotta zenye chumba sebule x 2 pia...
1 Reactions
2 Replies
493 Views
Sehemu: lugela Ukubwa wa eneo: 20 kwa 60 Bei: mil 1.6 Number: 0757 408091 Note: ni changu
3 Reactions
3 Replies
382 Views
Habarini wakuu kama kichwa cha habari kinavojieleza Duka la nguo za Kike(Magauni na Jeans) linauzwa. Nimepata scholarship inabidi nikasome sasa sina wa kumuachia naitaji kuliuza. Kuna magauni ya...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Haijatumika mda mrefu toka ninunue, ina receipt, na waranty bdo iko valid. Mawasiliano: 0684101707
0 Reactions
8 Replies
507 Views
Hii laptop ni used ila imetumika miezi saba tuu, ina receipt yake na warranty bado, nitafte 0684101707 ukihitaji ...
0 Reactions
11 Replies
573 Views
Nauza simu jamani wana jamiiform IPHONE 6s lak 180000 had 165000 haina shida yoyote pasipo kua utapata usb ios apple :gb 128,gold km ndo hivo unavyo ona hapo chini👇👇👇👇👇👇 Contact:0782821751 Nipo...
1 Reactions
0 Replies
259 Views
Habari waungwana, Kama kuna wadau wanaojua bei za trekta za kilimo tujuzane hapa. Napendelea sana aina ya ''swaraji". Karibuni, By Young Dimaa.
2 Reactions
60 Replies
32K Views
Karibu tunafanya free Wi-Fi installation kwa bei nafuu kabisa kwa matumizi ya office, home au private with speed internet of voda. Free router installation. You are warmly welcme
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom