Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Waungwana watumiaji wa asali kwa afya, leo napenda kutoa mada ya kuitambua asali halisi au mbichi. Zipo njia nyingi tena nyingine unaweza kuwa unazijua. Asali halisi ni nzuri kutumia kama dawa ya...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Tunauza asali mbichi kutoka Tabora Asali yetu ni original kabisa haijachakachuliwa hata kidogo Kuthibitisha hilo unaruhusiwa kutest mpaka ukijiridhishe ndipo unafanya malipo Kwawale ambao...
0 Reactions
3 Replies
519 Views
0787 345 816 nipigie. Kwa 8,000/= tu unapata pakti ya vikombe 50. Nipigie kwa idadi yoyote ntakuletea, Dar ama mkoa wowote.
1 Reactions
3 Replies
441 Views
Habari zenu wapendwa wanajamii forums! Tunayo furaha kuwatangazia kwamba tuna diaries mpya za mwaka 2024,Tunaamini kwamba diaries hizi zitakuwa mwongozo mzuri katika maisha yako ya kila siku na...
1 Reactions
24 Replies
1K Views
Moja kwa moja kwenye mada husika. Mwenye kiwanja kuanzia Ubungo hadi Mbezi Louis au kuanzia Mbezi Beach hadi Bunju B au kuanzia Mbezi Beach hadi Mbezi Louis kupitia Goba aweke taarifa hapa...
2 Reactions
7 Replies
701 Views
Nauza tofali za kuchoma bei tsh.100 kwa tofali, napatikana kijiji cha Kauzeni Morogoro Mjini,karibuni
2 Reactions
45 Replies
20K Views
Kwakweli naombeni matapeli madalali msinipigie ,mnasema mnauza mashamba natafuta mteja tunaanza kuzunguka tu kama pia. Tuelewane. Hii namba ni kwa ajili ya wateja sio mniharibie kazi . Ila kama...
2 Reactions
15 Replies
889 Views
Kwa anayefahamu ni wapi wanauza spare parts za zana za kilimo kama matrekta aina zote hususani Matrekta ya Fiat/New Holland. Njoo inbox
2 Reactions
0 Replies
319 Views
Habari, Kwa anaehitaji kitanda ya sofa and ako iringa ninakiuza Kwa 190k tu instead of 250k , kama unakihitaji dm me tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
495 Views
Masaihost WE PROFESSIONAL WEB HOSTING SOLUTION FOR ANY BUSINESS NEEDS. For Only TZS 75,000 *Features Domain Name (.co.tz) Control Panel 40GB storage 40GB Data Traffic 50 Email Accounts PHP &...
0 Reactions
0 Replies
206 Views
Uzoefu wangu. Kituo cha chekechea (daycare center) kipo chini ya ofisi ya wilaya (afisa maendeleo). Hivyo taratibu zote za kufungua zinaishia hapo. Wakati shule ya chekechea (nursery school) ipo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza taa za solar ninazo Sita tu Bei ni elf50 kwa kila moja nyote mnakaribishwa unaweza kuweka nje ya fensi ndani au kwenye viwanja vya nyumbani ni sensor
0 Reactions
5 Replies
487 Views
Ndugu zangu Nina simu nauza ila ni ya mkopo. Imebakiza miezi mitatu kumaliza. Ni Infinix smart 7+. Nina dharura na Sina kitu kingine Cha ziada. Anaeweza kunisaidia kuinunua naomba tuwasiliane please.
3 Reactions
42 Replies
2K Views
Zipo changamoto nyingi za uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Leo ninakushirikisha baadhi ya changamoto ambazo nimeziona zinaweza kukuzuia kutoka hapo ulipo kwenda hatua nyingine ya mafanikio...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Eneo lipo karibu na hii barabara. Kwa aliye serious anifate DM. Asante.
0 Reactions
11 Replies
647 Views
Mwaka 2023 ulianza kama utani siku zikazidi kwenda nusu mwaka tukaumaliza watu walizidi kujiuliza mengi "miezi sita imeishaje au mwaka ni mfupi? lakini yote kwa yote ndiyo hali halisi huwezi zuia...
1 Reactions
1 Replies
515 Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Hivi kwa mtu anayetaka kuanza hiyo kazi/ biashara utaratibu upoje? Unapataje deli? Na kama usipohitaji deli anapataje lile boksi lenye pieces 30? Mchanganuo...
1 Reactions
3 Replies
454 Views
Bei 180 Maongezi yapo 0678650509 . Nko mbez mwisho
0 Reactions
0 Replies
222 Views
Nyau anauzwa (Felis catus) elfu kumi na tisa 19,000/= (negotiable) Location: Kigamboni(Kichangani) Piga: 0759448927 Kama unahitaji rangi tofauti nicheki WhatsApp: 0620523897
10 Reactions
74 Replies
4K Views
MIKUMI NATIONAL PARK & CHOMA WATERFALLS (2 DAYS | 1 NIGHT) *TAREHE 16-17th December 2023 GHARAMA, 155,000/= SAFARI ITAANZIA DAR ITAHUSISHA -Malazi -Usafiri kwenda na kurudi -Chakula...
7 Reactions
112 Replies
3K Views
Back
Top Bottom