Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Mwenye link ya group za funny and memes
0 Reactions
0 Replies
324 Views
Kila mtu anajiuliza hivi naanza vipi kufungua ofisi yangu ya Steshenari? Au inatakiwa niwe na kiasi gani? Jibu ni moja tu sis kama MachapishoAgentLtd tupo kwaajili ya kukufungulia milango ya...
1 Reactions
0 Replies
880 Views
Dar na Mwanza. Mwenye Saloon Car ambayo nawezakutumia kama Taxi anistue. Mwanza ni bora zaidi maana lengo ni kutumika hukohuko mwanza,au hata Dar inaweza kupigwa mashine hadi Rock City. Mahitaji...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu, Natumai kila mmoja wetu yuko vizuri na tunaendelea kupambana katika ulimwengu wa biashara na ujasiriamali. Mada ya Leo inahusu kitu ambacho kina mchango mkubwa sana katika kuikuza...
1 Reactions
69 Replies
15K Views
NATURAL SKIN SOLUTION IMANI YETU Tunaamini kazi kubwa ya msimamizi wa biashara (CEO) ni kuunganisha sera, mipango , rasilimali pamoja na miundombinu kuhakikisha biashara inapata faida kubwa kwa...
2 Reactions
6 Replies
888 Views
Samahani wakuu, naomba kujua bei za mashine ya kubind na lamination
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Haya haya wale wazee wa kupanua uelewa na kuongeza uwezo wa kifikra, Napenda kuwajuza kuwa nimeamua kuja kivingine kama Books library / Maktaba kuu. Kazi yangu mimi itakua ni kukutanisha na Vitabu...
2 Reactions
56 Replies
7K Views
Size sqmt 877. Bei 100m, aliye serious mazungumzo yapo. Muhusika anasafiri kwenda Marekani mwezi ujao, so anahitaji mteja kabla hajasafiri. Eneo ni Mbweni JKT, ni pazuri mnoo, njoo mwenyewe...
0 Reactions
3 Replies
542 Views
Kumekuwa na tatizo kubwa sana kuhusiana na ubora wa PASSPORT SIZE kawaida ya passport size inataiwa iwe na background ya Light blue na siyo dark blue na pia Dimensions za passport size ni (45mm ×...
0 Reactions
10 Replies
846 Views
Greetings wakuu. Inatafutwa Crown Majesta yenye hali nzuri, isiwe na kipengele chochote kwenye engine(hapa naomba nitilie mkazo wakuu, engine isiwe kimeo kwa namna yoyote ile). Ikipatikana...
0 Reactions
1 Replies
495 Views
Kiwanja kiunauzwa kipo madale kina uku wa square meter 520 Tsh 9,000,000 kina barua ya manunuzi kutoka serikali ya mtaa huduma zote za kijamii zipo Tuwasilane 0686995586 karibu sana.
0 Reactions
1 Replies
743 Views
Nina Kamera mbili nilinunua nikiwa naanza kujifunza maswala ya picha, kwa sasa sizitumii, bado ziko kwenye hali nzuri sana, nauza kwa bei ya kutupa. Sony nex-6 Iko na chaji yake na kit lens...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro. Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini...
1 Reactions
8 Replies
938 Views
Kuna page Instagram nimekuwa nikivutiwa na viatu vyao lakini nikitaka kutoa order wanasema wanauza jumla na sio rejareja. Mwenye uelewa anisaidie jinsi naweza kununua pairs chache kwa ajili ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako...
2 Reactions
65 Replies
8K Views
NYUMBA inapatikana maeneo ya KITUNDA Ina chumba kimoja, sebule na choo ndani. Kutoka Banana unapanda gari za KITUNDA Ina tiles na gypsum Mazingira mazuri Maji na umeme unajitegemea Kodi kwa mwezi...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Nauza Camera yangu aina ya lumix s5. Niliinunua ikiwa mpya na nimeitumia kwa muda wa mwaka mmoja. Haina tatizo lolote na iko kwenye hali safi sana. Ni nzuri sana kwa ajili ya kufanyia video...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana JF Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi inauzwa pamoja na vifaa vyake ikiwemo sehemu ilipofungiwa umeme wa three phase, maeneo ya Dar Es Salaam, Gongo la Mboto. Mashine ina miezi 10...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Heri ya siku mpya wakuu.😊 Habari za wakati huu Kwa Mahitaji ya Vyombo vya nyumbani, with best Quality kwa bei rafiki karibuni dollrubii_decors Napatikana Dar es salaam Tunafanya delivery Mikoani...
8 Reactions
72 Replies
5K Views
Back
Top Bottom