Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari za muda huu JF wadau wote, kama kichwa cha uzi kilivyo elekeza, nahitaji hiyo bidhaa tajwa, kwa mtu anaejua chimbo kwa kkoo au ni kiwandani anaweza kunichek katika namba hii 0653914963...
0 Reactions
0 Replies
95 Views
Naomba kujua bei za collapsible doors kwa dar es salaam.
1 Reactions
2 Replies
194 Views
KUNA PAGE HAPA SINA KAZI NAYO NIPENI HELA MPIGE PESA ZA ZUCK Kama unataka ukurasa ambao una watu wengi tayari basi huu hapa nipe hela umalize kwa kuweka video 2 pekee na ukidhi masharti Haina...
2 Reactions
4 Replies
174 Views
Hp ya kazi kazi haswaaa…👇 Hp ProBook 650 G2✅ Core i5✅ Ram 8GB✅ Ssd 256GB✅ Processor 2.4GHz✅ Kioo inch 15’✅ Numerical keyboard✅ Generation 6✅ Type C port✅ All important ports✅ Battery 2 to 3...
0 Reactions
14 Replies
589 Views
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni...
0 Reactions
4 Replies
271 Views
• Direction: Haile Selasie • Plot Area: 4,200 sqm • Document: Title deed • Price: USD 3.5 million (payment in TSH accepted) • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ panafaa kwa miradi ya makazi na...
5 Reactions
18 Replies
642 Views
• Direction: njia panda ya Makabe, karibu na Goba Road • Features: self contained ya vyumba 4 kimojawapo master • Facilities: maji, umeme, haina uzio wa ukuta • Ideal: makazi • Survey: eneo...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
Wakuu Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza. Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
3 Reactions
21 Replies
659 Views
Wakuu, Kuna chimbo nimelipata pana gape ya vioo vya simu kuanzia viswaswadu hadi Smartphone. Nimejaribu kusaka maduka yanayouza jumla, naona bei zimechangamka sana. Mfano kioo mafundi simu...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wakuu,..? Aisee ninaomba msaada mwenye kufahamu wapi nitapata viroba vya kilo mia, mia hamsin, vyakubebea mahindi, mchele, nk. Ninahitaji pisi nyingi, kuanzia elfu kumi...
4 Reactions
19 Replies
710 Views
Natumaini nipo poa kabisa!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninatoa huduma ya kuprint viroba vya kg 50,25,10,5 kwa bei nafuu kabisa ... Ofisi ipo Tandale sokoni namba ya simu ni 0674 864...
0 Reactions
5 Replies
229 Views
Habari? Nahitaji mifuko ya viroba (kilogram 50). Nipe connection, kama muuzaji yupo nicheki tufanye biashara.
2 Reactions
18 Replies
854 Views
Hostel ya vyumba 12 inauzwa Tanga Kange kasera Kwa bei ya million 50 Top no dalali … Ina kila kitu hati miliki…. Ni sqm 412 … ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi …. Kwa mawasiliano 0612630936
2 Reactions
3 Replies
192 Views
Wakuu naomba msaada natafuta godoro zuri 6*6 inch 12 u 14 ambalo litanifanya nikilala nione nimelala sehemu nzuri na salama mnoo kwa mwili wangu, kuepusha maumivu ya mgongo, gharama ya godoro ilo...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Sajili kampuni yako sasa kwa 350,000 Tutakusaidia usajili 1. Brela utapata cheti haraka 2. TRA makadirio madogo ya kodi 3. Maombi ya leseni Yote haya kwa 350,000 Kwa mawasiliano zaidi 0765042935...
2 Reactions
1 Replies
121 Views
Wadau wa graphics,gaming,na video production nauza macbook Pro za 2018 kwa bei ya jumla Specs: Macbook Pro display Retina Iris display 13.3' RAM: 16GB Storage: ssd 500GB Processor intel core i 5...
4 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari wakuu? Wanasema ndege wenye manyoya ya kufanana huruka pamoja. Na mimi pia naamini kwenye mzunguko wa watu wangu wa karibu nikiwa na watu wanaofanya kitu kama changu itanisaidia kukua...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimeona wajasiriamali tukutane hapa kwa kubadirishana mawazo juu ya madini ya aina mbalimbali. Ni kwa kuuliza maswali, kurusha picha za madini, kupeana ushauri, kujenga mtandao, masoko, nk. Sent...
0 Reactions
28 Replies
13K Views
Karibu ujipatie nightdres kali mtumba grade 1 kwa 12000 tu Piga 0699379175, wtsp 0678900498 popote zinakufikia.
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Apple Iphone 13 pro 128 GB •Face id✅ •Battery health 81 •Ina network lock(unaweza tumia •Gevey sim card au ukalipia deni ikawa unlocked) Simu Imetumika wiki moja tu tangu itoke nje ya nchi Price...
3 Reactions
29 Replies
662 Views
Back
Top Bottom