DETAILS:-
Kiwanja kipo madale kwa kawawa,Unaingilia Tegeta Kibaoni, ni umbali wa kilomita zisizo pungua 7KM toka barabarani mpka kiwanja kilipo, kuna makazi ya watu tayari huko wamejenga tu...
Kiwanja kinauzwa kipo kimara mwisho ni kikubwa na kinafaa kwa ujenzi wa kitu chochote kama yad, bar, nyumba za biashara na kuishi nk gari inafika adi uwanjani. mimi sio dalali ni kiwanja cha mama...
Wadau!
Naomba kufahamu wapi ntapata gari aina ya PRADO ya bei nzuri na isiyokuwa mbovu. Naihitaji sana na haraka kwa bei isiyozidi Tshs. 13,000,0000.
Mengineyo:
Rangi iwe sliver, kijivu...
Nauza camera ya kisasa aina ya gopro hero 3 black
SPECIFICATIONS
Sensor 12 mega pixels
Lens f/2.8 6-element aspherical glass lens
Memory sd card class 10 up to 64 gb
3.5 headphone jack...
Three in one (printer, copier and scanner) full colour
Brand: Konika Minolta
Model: Bizhub C450
Printing media: up to 250gram
Price: 2.5m negotiable
Picha inazingua ku-upload
0652 494919
Kama mpo kwenye vikundi, maofisi, vikoba, mashirika makubwa huduma hii inawafaa kwa maana ni huduma inayoitwa CUG ni maalumu kwa watu waliokuwa katika magroup inayowawezesha kuongea bure nyie...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya Ukonga Moshi bar kwa Diwani. Ukubwa ni 35 kwa 35 bei inaanzia 11m meza ya mazungumzo ikowazi. Gari linafika mpaka mahali kiwanja kilipo, na umeme upo karibu. tuwasiliane...
Wakuu ninaomba mwenye uwezo au uzoefu wa kutengeneza Vitambulisho vya kazi (Wafanyakazi) please ani PM tufanye kazi nina wafanyakazi almost 75.
Eneo: DSM - Chang'ombe.
Naomba PM nitakujibu soon.
Location: Msasani opst bar be que village restaurant
- 3 bedrooms self contained.
- big kitchen
- living room
- dining room
- garden
- parking
- full security
- rent $2000 per month
SMS 0687029276
Habari nauza frigde ya milango2
Nimenunua mpya nauza bei laki2 na nusu bei inapungua
Ni PM kama unataka picha
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Pata products zilizotengenezwa kwa mmea wa asiliwa alovera navirutubisho muhimu kwako, punguza uzito kwa kutumia product ya clean 9. yote haya kutoka forever living products. kwa mawasiliano zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.