Ndugu wadau mimi nimepata uhamisho kikazi toka Dar kwenda Geita kwahyo nataka niuze vitu vinavyoweza sumbua kubeba.
Kwanza ni kitanda cha 5*6 na godoro lake aina ya Dodom
Ni kiwanja chenye eneo la kutosha na chenye ubora, hakipo kwenye mgogoro wa mladi wowote, kina hati na building permit, kina square 1047, kina fence nzuri ya ukuta, kuna kisima. Kipo kigamboni...
husika na kichwa cha habari hapo juu vigaranga wa Malawi wana wiki 1 na kuku wa kienyeji wana miezi 6 wanauzwa. vifaranga sh. 2000 na kuku wa miezi 6 sh. 10000. 0754078015
natunga na kuandika script na story za aina ya kutisha na love story.Naitaji mzamini wakuni zamini kazi yangu hata kwa mkataba wa aina yoyote! kama atanifadhili kazi zangu...
nauza samaki wa kufuga aina
tofauti na ntakeletea mpaka
ulipo kwa bei nafuu
gapi pea
5000
red pea
10000
gold pea
10000
gold wakubwa 30000
gulam 20000 Picha...
With three bedrooms, you will be all comfortable. The house is spacious; you will be very pleased to find this home for your family. You need your space and this is perfect. The home has...
Ni kiwanja kilicho sehemu nzuri na hakina mgogoro wa mradi wowote, kina square 1047, kina fence nzuri ya ukuta,kuna kisima pia. Kipo maeneo ya kigamboni kibanda plot 344 block 19 karibu kabisa na...
Nyumba yenye vyumba viwili na varanda iliyopo Kibwegere karibu na mto mpiji upande wa Kibaha inauzwa.
Kuna choo na bafu ya nje pamoja na fremu ya stoo.
Bei 10 Milion
Mawasiliano 0658977330
Nyumba iliyoko karibu na Makumbusho Bus Terminal inauzwa. Ina ukubwa wa 4,000 SF (371 SQM).
Bei TZS 180 Million
Ina offer. Process ya kupata Title deed ilianza na kusimama wakati wa kutakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.