Habari wandugu, ninauza gari
model: Toyota Spacio
Mile: 95,000km
cc: 1490
Iko katika hali nzuri, nina shida na pesa ya kulipia ada ndio sababu naiuza kwa bei ya 5.5Million.
Simu: 0686-654180
kiwanja kipo Mwandege-DSM, kina ukubwa wa unaozidi robo eka lakin hakifiki nusu eka, bei ni Tsh.milion 5 kama una pungufu njoo tuelewane,. sio lazima ulipe yote kwa mara moja, unaweza kulipa...
Nyumba ya vyumba 3 kimoja ni master public toilet jiko ina tiles. Bei yake ni shilingi 300,000/=kodi ya mwaka au miez 10 itapokelewa. Maji yapo hakuna malipo kwa dalali.. anayeitaji apige simu...
JE WEWE NI MCHIMBAJI WA DHAHABU, AU UNAFANYA BIASHARA YA KUNUNUA NA KUUZA KWA FAIDA?
Kama hivyo ndivyo, Wacha nikupe deal.
TUNAUZA MGODI MZURI WA DHAHABU.
Mgodi wetu ni rasmi, Wemye vibali...
Ina vyumba vitatu vya kulala.kimoja master, jiko.public toilet.ina maji ndani.ina simtank nje.ipo kimara resort karibu na barabara kodi laki 350000.inahitajika kodi ya miez 7.mawasiliano 0716 160639
Kontena hili lina vyumba viwili ndani,nafasi ya nje ni kubwa linafaa kwa grosary,kwani eneo la nje ni kubwa au duka la vinywaji vya jumla.lipo kimara korogwe pembeni ya barabara kama unaenda...
Open university kitengo cha masuala ya technology kinatangaza nafasi ya masomo ya computer ya muda mfupi(short course)na ya muda mrefu(certificate &diploma)katika computer pamoja na masomo ya pre...
Ombi kwa mafundi simu kama yupo aliye na mashine nzima ya Nokia N8 aniuzie. Simu yangu imekufa njia za kusoma line na haiwezi kupona. Nimeamua kubadilisha mashine yote. Aliyenayo please
Haya..kwa wale wanaoitaj camera kwa ajili ya video shooting, na picha ...nauza camera haraka .. zilikuz 3 imebaki moja .. ipo in good condition na bei ni nzurii...ina betri 3 ambazo zinakaa na...
guys natafuta jailbreaked modem au flasged modem ambayo inaweza kukubali line yoyote but isiwe universal modem iliyokua cracked especially ya voda na ningependa iwe ya huawei zte kwa yeyote mwenye...
Husafisha damu na kuondoa sumu mwilini.
Kuondoa lehemu(cholestrol)mwilini.
Maumivu ya miguu,baridi yabisi na gauti.
Maumivu ya fizi kuvimba au kutoa damu.
Tonsillitis-tezi sugu na madonda kooni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.