Kiwe na ukubwa wa mita za mraba 1000. Kiwe na hati miliki.
Kama unacho wewe binafsi au umesikia mtu anacho naanakiuza piga simu 0784225000 au ni whatsapp kupitia 0755312233.
Habarini wadau?
Tunakamua maziwa ya ng'ombe, ni halisi. na salama.
Hayana chembe ya nyongeza ya vitu vyovyote visivyohitajika ambavyo hupunguza ubora wake au ambavyo ni hatari kwa binadamu.
Bei...
Ina vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebure na sehemu ya kulia chakula. Bei ya kuuzia pamojana za uzio.
Inauzwa Tshs 150mil.
Mawasiliano kwa kupiga tumia 0784225000. Kwa whatsapp tu tumia...
3 Bedrooms all en-suite apartment, fully furnished with imported furniture, giving you the comfort with the view of the ocean and Jangwani creek. It's in a tranquil location, close to the...
Wadau habari zenu!
Nahitaji pesa haraka kwa ajili ya kulipia registration (usajili) Chuo ili nimalize module niliyoilaza toka 2013 - Univesity of Pretoria (South Africa).
Pesa ambayo...
Nauza laptop yangu samsung mini
HDD 320GB
RAM 1GB
Processor 1.6GHz (duo core)
Used for 7 months na ipo ktk hali nzuri.
Bei ni 350,000/= (maongezi yapo)
Piga namba hii 0788312588 au 0719663328...
Nauza Eneo halina hati ila lipo barabarani karibu na makutano ya barabara ya Goba Tangi bovu na Goba MAkongo.Lina ukubwa wa square meter 2000 .Linafaa kwa biashara au makazi.Bei million 35...
Sony Xperia z1 ninaiuza nimeitumia miezi miwili tu ntakupa kila kitu
box
charger
earphones
na receipt niliyonunulia dukani
bei 650,000 tunanegotiate
for pics na mengineyo nichek whatsapp
Nipo...
Salamu nyingi wadau wa Jamii forums.
Kuna nyumba ya kupanga kwa Mworombo, Arusha (6km) kutoka City center. Ni nyumba yenye vyumba vitatu (3) Master moja+vyumba viwili vya kawaida na sebule kubwa...
Je una asili ya Kigoma na ungependa ujenge nyumba kwenu?
Je umejaribu mara kibao kutuma pesa nyumbani kwa ajili ya ujenzi na umeishia kugombana na ndugu ambao wamekula pesa zako?
Usiwaze zaidi...
Habari za leo wadau nawakaribisha kwenye stationery mpya iliyofunguliwa sinza kamanyola ukitoteka shekilango baada ya kituo cha legho ukivuka daraja mkono wa kulia kabla haujafika kituo cha...
Habari
gani wakuu?
Natumaini mnaendelea vyema. Ninawalatea taarifa njema ya kuuzwa kwa
kiwanja cha Barabarani katika eneo la Mwasonga Kigamboni.
Barabara kilipo kiwanja ni ile ya Kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.