Nauza portable laptop aina ya ACER ina 1Gb memory, storage ni 160 GB na betri yake inafanya kazi kwa muda wa masaa 6 mfululizo kwa Tshs. 300,000 tu. Laptop bado mpya nimeitumia kwa muda wa wiki...
Nina proposal ya fund source kwa charity organisations, mwenye registered charity organisation tuwasiliane na kuona kama tunaweza fanya kazi pamoja.ni PM tuwasiliane.Asanteni wakuu
Samahani nlikua naomba msaada wa kufahamishwa kujua gharama ya maji yanayosambazwa na hayo magari like uwa ni ujazo gani na gharama yao ni shilllingi ngapi?
Naweza kupata msaada wa contact zao...
Ni samsung Galaxy S inauzwa kwa Tsh laki moja tuu!! sababu inayonifanya niuze ni tatizo langu binafsi wasiliana nami kwa 0764361843... ni samsung original kutoka at&t..
Ili biashara yako iweze kufanikiwa, moja ya mambo ya msingi kufanya ni kuitenganisha biashara yako na wewe mwenyewe. mapato na matumizi ya biashara yasiingiliane na mapato na matumizi yako...
Nauza saa za ukutani zenye ubora na toleo la kisasa zipo aina tofauti!bei ni kulingana na aina!call 0686854242 or watsup for images
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Naomba nianze kwa kusema kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake! nakuja mbele yenu wakuu nikitangaza nia yakununua gari kulingana na urefu wa kamba yangu! nahitaji gari kati ya aina zifuatazo:-...
Make : Toyota
model : Cresta
color: Pearl
year of manufacture ; 1999
engine : 1g6619635
cc : 1980
fuel : Petrol
km 56,000
going very cheap! Only 8.55 millions
just pm or call 0658 554 992...
JF habari za majukumu
Jamani nauza kuku wa kienyeji pure kabisa kutoka Dodoma, nauza kwa bei ya elfu 10000/-@1 wapo kuku 20 majike kumi na moja na majogoo tisa, nasikitika sana kwani kuku hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.