Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Chumba kipo mwenge mitaa ya TRA kinapangishwa kwa mwezi 80,000, kwa maelezo piga 0713415537
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tuna bind Reseach kwa had cover material. Material imetoka canada ipo ya kutosha na ni kwa haraka sana I mean within 2hrs unapewa kazi yako. vile vile tuna print kwa bei poa kabisa 100/= per...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Starlet Carina Corola Sprinter and the like... Iliyotumika ila iko katika hali nzuri sana badget 4m na ahitaji matengenezo Au Mwenye body la rav 4 au nilizotaja hapo juu lakin liwe zima sana...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu, Shamba la ekari 3 linauzwa hapo kisarawe karibu tu na Dar Es Salaam, ekari zote 3 unapewa kwa milioni 4 tu na bei inapunguwa. Mawasiliano: +255769142586 sms/call/whatsapp
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Gari tajwa hapo juu coster mpya inauzwa! kwa mwenye kuhitaji ani pm! picha nimeshindwa kuzi upload
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau jug langu la maji ya moto(heater) limeharibika na nilitumia kama mwezi tu nitapata wapi fundi? maeneo ya kariakoo au kigamboni itakuwa vizuri zaidi.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Tank limeshauzwa jamani
0 Reactions
36 Replies
13K Views
techno F7 =380,000...samsung note3=600,000...bei inashuka...kwa mawasiliano nicheck 0713 190 118...nipo Dar es salaam...mabibo
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Salama wakuu. King'amuzi tajwaa kinaitajika haraka mwenye nacho PM me tufanye biashara. Asante.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
shamba lenye ukubwa wa Ekari 3 linauzwa Kiwangwa. Lipo Km 3 kutoka baraa kuu ya Bagmoyo -Msata. Ni zuri sana kwa Kilimo au Ufugaji. Kuna chemchem ya maji shambani, unaweka pampu tu unamwagilia...
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Wakuu, Daf nyingine kutoka UK imetoka port jana inauzwa. Data zake kifupi ni kama zifuatazo: Mwaka: 2005 General Condition; Iko vizuri sana na very clean pia Mileage: 400,000 Gear box: Manual...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Fullyfurnished lovely apartment having two bedrooms, having parking, in a quiet location, area with access tarmac road, is available in a conducive environment with good neighborhood. One of the...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nyumba inauzwa kigamboni mikwambe dar es salaam. Nyumba ina vyumba vitatu na sebule na eneo na la uwanja lipo.nyumba ipo karibu kabisa na kwa mizengo pinda au (katavi) Umeme upo na maji hayana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi Naomba kujuzwa upatikanaji wa mashamba ya kukodi na kununua huko rufiji uko vipi? Siku za nyuma nilianzisha thread ya mashamba ya kukodi huko ruvu, na napenda kuwashukuru sana...
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Nipo Iringa, ni wapi hususani Dar kuna kiwanda cha kutengeneza maboksi ya kupakia bidhaa kubwa na ndogo?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
anayeuza s3min kwa bei tajwa hapo juu,nina cku 2 mjin dar, ni pm fasta 2fanye bizness
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Wakuu kwema, Kiwanja cha hekari 10 kinauzwa Singida eneo la Mandewa karibu na hospitali ya rufaa, km 6 kutoka round about iliyo karibu na uwanja wa peoples,kila heka inauzwa milion 3, eneo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza iphone 5s tsh650000 unatumia LAINI zote kwa nchi yeyote na iphone 4s tsh.500000 mazungumzo yapo 4s ipo full na box lake full na head 0783298701, sms, whatsapp, call.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu poleni na pilika Nahitaji ramani ya nyumba ya vyumba 4 vya kulala singo storey building kwa yeyote anayefahamu ninapoweza kuipata na gharama zake please ani PM mbarikiwe sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inamatokeo mazuri kwa kutibu,kusaidia na kuzuia uvimbe(fibroid),tezi na maotea katika tumbo la uzazi. Maumivu ya tumbo la mwezi-mgongo,kiuno,nyonga na miguu. Kuzibua mirija ya uzazi na kurekebisha...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Back
Top Bottom