Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Iwe silver/gold+accesories zake. Inbox me offer zenu, au post hapa hapa. Nipo Dar
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ndugu zangu,kiwanja chenye ukubwa wa sq m2 1800 na msingi wa nyumba kubwa ya kisasa ninakiuzwa. Kwa anayehitaji kuona huo msingi wa nyumba ani add kwenye whatsap kupitia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naitaji printer ndogo used. bei isizidi 50elf. niko dar unaweza kuni pm kama unayo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwenye kuihitaji apige cm 0783736379,0754533784. Ipo arusha
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Habari wanajamii! Nahitaji cm tajwa hapo juu used iliyo ktk hali nzuri kwa alienae anichek na bei yake ataje!
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Natafuta duka au wapi wanauza baiskeli zenye engine au wanakozifunga msaada tafadhali.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Natamani nipate boxa, lakini kutokana na bajeti yangu ilivyo ndogo, naweza kununua pikipiki yoyote. Kwa mwenye nayo nitumie picha, bei na mawasiliano hapa au PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, kwa anaefahamu wapi naweza kupata nyumba kwa bei ya laki tatu na nusu au nne kwa vyumba viwili,jiko,sebule.Kama ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Inauzwa bei milioni 1.5
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakazi wa Manyara frexon company,inawatangazia nafasi za kazi (SALES &MARKETING). Qualifications: -Aliemaliza kidato cha sita (form six) -Stashahada (Diploma) yeyote na kuendelea Tuma curriculum...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, Nimeombwa niweke hili Tangazo na mwenye hiyo tovuti. Mmiliki anaenda masomoni na anahisi hatakuwa na muda wa kuihudumia. Kwa yeyote mwenye kuhitaji tovuti ya matangazo ya ajira Tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunazo lipsticks zinazokaa kwenye lipstick masaa 24..bei yake ni 26,000
1 Reactions
8 Replies
4K Views
CD inauzwa ina ramani za nyumba za kisasa 100 zilizokamilika bei ya cd hii ni sh 450,000 maongezi yapo Simu : 0765164046 / 0786410889 Kitabu chenye ramani kamili za nyumba za kisasa kina...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Screen ya LG TV imevunjika, kama Kuna mdau anahusika na repair za design hiyo naomba anisaidie kui fix hii, au wapi ntapata screen nyingine. Asante wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza Nokia lumia 620 rangi ya blue bahari imetumika miezi miwili bei laki mbili na sabini 270,000/=
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina hitaji mtungi tupu offer yangu ni 40,000/= mwenye nao aweke namba ya mawasiliano hapa nimpigie.tufanye bihashara.....nipo dar es salaam
0 Reactions
3 Replies
2K Views
husika na kichwa cha habari hapo juu. ukiwa nayo nichek kwa pm na bei yake na vitu utakavyoniuzia nayo.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani call me if u know where i can find this stand or look-a-like 0658013140 Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
5 Replies
1K Views
deals with: electrical installation, electrical goods supply, installation of electrical machines, maps drawing , installation of solar system & installation of satellite dish. cont...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
deals with:- electrical installation, electrical goods supply, installation of electrical machines, electrical maps drawing, installation of solar system, installation of sattelite dish etc. cont...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Back
Top Bottom