Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Ram 1gb hard disk 160 32 os in gud condition aliye na 290 anichek kwa hiyo no. 0714316116
0 Reactions
0 Replies
631 Views
Lowest price printing and cutting services available near mlimani city.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye simu tajwa hapo juu kuna best yangu anahitaji kwa mkwanja huo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Get the best website that is professionally designed at affordable price, we will organize for you online forms, online payment options with PayPal, MasterCard, visa card,Tigo pesa and M-pesa for...
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Ati nauliza hivi pool table brand new ni bei gani??
0 Reactions
1 Replies
8K Views
nina laki 230 nataka experia P used ila iwe katika hali nzuri. nitext kwa 0652112026 tuya jenge
0 Reactions
2 Replies
782 Views
Habari za Kazi wakuu. Kama kichwa kinavyojieleza, tunauza na kusupply material za ujenzi, kama: cement, nondo - 6mm - 32 mm, mbao (soft wood from iringa za size zote) gypsum boards & powder...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Anahitajika Dalali wa nyumba. Nyumba iko dar mbezi beach Ina ghorofa 2. inafaa kwa ofisi. Ukifanikiwa kuleta mteja na Dili likakamilika utapata Chako. Kwa maelezo zaidi pm
1 Reactions
2 Replies
857 Views
Habarini za kazi! Natafuta kampuni inayotoa Hr system. Tafadhali tuwasiliane kwa email hii hrgntz@yahoo.com. Asante.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa, nahitaji generator ndogo ya kutoa kama 100w ila isiwe 2stroke kwani zimeonesha kuwa mbovu na umeme wake sio stable. Kama unayo unaweza kunipm na specification tukaweka plan asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UNAKARIBISHWA KWENYE MKUTANO MKUBWA WA KIBIASHARA CITY CENTER POSTA SIKU:- 15 AUGUST 2014 MUDA:- SAA 04:30 JION UKUMBI:-GOLDEN JUBILEE TOWER MERU HALL, 4TH FLOOR (mtaa wa ohio...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Iphone 4s 32gb inauzwa 480,000.
0 Reactions
2 Replies
880 Views
Nahitaji ambaye anajua/anaweza kutengeneza website ambayo naweza kupload mp3,naweza kupload video bila kutegemea video player ya youtube,nikimaanisha siyo kudownload video kwanza youtube then...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
SHAMBA la Ekari 4 linauzwa. Lipo Miyuji mashariki mwa hospital ya St Gemma; limepimwa na lina hati; lipo karibu na barabara kuu, kuna availability ya maji na umeme. Kwa watakaohitaji wasiliana...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Gari inauzwa first registratio ni 17/8/2010 make susuzi Model Grand vitara Model number j20A Body type Station wagon Colour green Class light pasenger vehicle(less than 12) Year of manufactute...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Huwawei y 511 180000 Techno p5 1750000 H 5 140000 Itel 2070 220000 Itel 2050 25000 Itel 2020. 25000 Tecno 605. 55000 Na nyingine kibaao 071879657
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari ndogo ya kukodi inahitajika. Iwe katika hali nzuri. Itatumika kwa matumizi ya kawaida tu sio biashara kwa muda wa wiki mbili. Ikiwa Toyota Vitz, Toyota Starlet au Toyota Passo itafaa zaidi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari waungwana, kama kuna mtu wa wizara ya elimu hama ulishapitia kozi ya ualimu tafadhari, nina kjana wangu aliomba tunataka kujua wanatangaza majina ya waliochaguliwa mwezi gani? na mafunzo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wandugu, Hivi kuna anayefahamu wataalam wa kutengeneza cheap windmill water pump hapa Dsm?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1) Kiwanja chenye square metre 900, sifa zake ni kama ifatavyo..... Kiko umbali 0.5 km kutoka barabara kuu itakayo kigamboni kwenda Kongowe. kiko mita 50 kutoka barabara ndogo za mtaa. Umeme...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom